Mwanamke wa Miaka ile sio Mwanamke wa leo

Mwanamke wa Miaka ile sio Mwanamke wa leo

Kwako ni ya kipuuzi, kwa wenzio ni jukumu la kawaida.
Jukumu? Kupelekea mume maji bafuni ni Jukumu la mke? Before alikuwa anapelekewa na Nani?.
Jukumu la mke kuzaa tu kitu ambacho mume hakiwezi, vingine vyote ni vya wote
 
Jukumu? Kupelekea mume maji bafuni ni Jukumu la mke? Before alikuwa anapelekewa na Nani?.
Jukumu la mke kuzaa tu kitu ambacho mume hakiwezi, vingine vyote ni vya wote
Ni jukumu la MKE anayejua majukumu yake na anayejua kuwa ni Msaidizi kwa Mumewe.

Kabla ya kuoa alijiwekea mwenyewe kwakuwa hakuwa na Msaidizi, kwakuwa ameoa hayupo tena peke yake ana Mtu wa kusaidiana nae
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ukweli wa kutufanya ma housegirl, yeeeeuwiiiii sio poa.
Yaani leo hii Mwanamke kufanya majukumu yake kwa Mumewe ni Uhouse girl?
 
Yani baadhi ya wanaume wanavyovimba kwny huu uzi utadhani wana'provide kila kitu huko majumbani

Mtu anadhani watu wakishakula yatosha...tunashukuru ila that's the bare minimum/basic need
 
Yani baadhi ya wanaume wanavyovimba kwny huu uzi utadhani wana'provide kila kitu huko majumbani

Mtu anadhani watu wakishakula yatosha...tunashukuru ila that's the bare minimum/basic need
Suala sio kuprovide kwa Mke na familia, kuna Wanaume wanaprovide kidogo sana au hawaprovide kabisa lakini still Wake zao wanawajali, na wanawatii waume zao

Suala kama kuwafulia waume zao au kuwatengea maji kwao sio case at all
 
Kwakweli maisha yamebadilika.

Kwa sababu content zinazofanya ndoa iitwe ndoa zimebadilika,basi kuishi mke na mume ndani kusiitwe ndoa,kuitwe jina jingine.

Ndoa ambayo kila mtu anarudi saa nne nyumbani halafu kachoka,hii sio ndoa ni kitu kingine.

1.Ndoa ambayo kila mtu ana malengo yake kwenye familia yao,hii sio ndoa.

2.Ndoa ambayo mwanamke akipandwa na mumewe juu anahisi kaburuzwa na hakubali,hii sio asili ya ndoa ni kitu kingine.

3.Ndoa ambayo mke hasimami kama msaidizi,hii sio ndoa ni kitu kingine.

Asili ya ndoa ni mume kuwa kichwa,yaani kuna udictator kiasili,hakuna demokrasia hapo.haya mambo ya mke kutafuta usawa ndio yamesababisha wasomi wanakimbiwa,na ndoa zao ziko taaban,mwanaume msomi anakwenda kujiliwaza kwa mwanamke asiyejua hata kusoma maana ndiko uko asili ya mwanamke anaipata.
 
Yani baadhi ya wanaume wanavyovimba kwny huu uzi utadhani wana'provide kila kitu huko majumbani

Mtu anadhani watu wakishakula yatosha...tunashukuru ila that's the bare minimum/basic need
Na wewe umekubali kabisa kuwa tegemezi?
 
Salam ndugu zangu: Uvivu au uzembe katika kutimiza wajibu kwenye majukumu ya kifamilia kwa kutumia mwavuli wa usomi, kazi za ma~ofisini na pengine dunia ya leo kwamba ipo tofauti na zamani ni tabia ya kukemewa vikali maramoja pindi inapo onekana. Kwasababu zifuatazo

1. Wanawake wasomi wengi kwenye ndoa zao hawachangii kwenye miradi mikubwa ya familia kama ujenzi kwa hofu kwamba ikitokea tumeachana ntafukuzwa kwenye nyumba ambayo nimeitolea jasho kwa mshahara wangu, Hivyo wengi wanawekeza makwao na huwezi kupinga kwasababu kwanza haukumsomesha na mwanaume ni kichwa cha familia ni lazima ahakikishe kila kitu kinaenda sawa kwenye familia kama vile chakula, ujenzi na kusomesha watoto.

2. Kwasababu Mwanamke pia yuko busy na mambo ya kazini unakuta nyumbani kuna house girl ambaye mwanaume ndio anae mlipa mshahara kwa kuhudumia familia hasahasa watoto wadogo wakati baba na mama wanapokua kazini.

Kwa factor hizo tu unakuta mwanamke yupo yupo tu, hapiki, hafui wala kipato chake kutoka huko kazini hakionekani kwenye familia. Halafu unakuta mwanaume amepigana kwa hali na mali kila kitu kimeenda sawa asset za maana kama nyumba, gari, viwanja na biashara ziko sawa. Kwa bahati mbaya hatuombei ikitokea mmegombana kiasi cha kuachana Sheria ya ndoa na talaka inatambua mchango mpaka ule wa kupika, kufua na kupiga deki kwamba ana share 50% ya vyote vinavomilikiwa na familia.

Sitetei mfumo dume ila majukumu ya mwanaume na mwanamke kwenye familia bado ni yale yale hata kama dunia imebadilika kwasababu ya utenda wazi.
 

Attachments

  • Screenshot_20220705-234052.png
    Screenshot_20220705-234052.png
    103 KB · Views: 7
  • Screenshot_20220705-233933.png
    Screenshot_20220705-233933.png
    45.2 KB · Views: 7
Mwenyezi Mungu akampatia Adam Msaidizi. Nini maana ya Msaidizi?

Leo Mwanaume unaenda kupambana ili kumtunza mke na familia kwa ujumla kwa chakula na mavazi ikiwa ni jukumu lako (Utakula kwa jasho)...yeye Mke ashindwe kukufulia, kukupikia au kukuandalia maji ya kuoga??? Eti ni kupelekeshwa au Utumwa.[emoji23]

Aisee ile mada imenifanya nikajua wazi kwanini ndoa nyingi zina migogoro kwasasa na wanaoolewa wanaachika ndani ya miezi.

Wanavunja ndoa zao kwa mikono yao wenyewe, mwingine anasema kabisa ''Mimi sio Housegirl'' [emoji23]

Sasa si bora Mwanaume akiwa na Housegirl amuoe tu cause ndiye anayemsaidia, aachane na huyo Mke.
 
Salam ndugu zangu: Uvivu au uzembe katika kutimiza wajibu kwenye majukumu ya kifamilia kwa kutumia mwavuli wa usomi, kazi za ma~ofisini na pengine dunia ya leo kwamba ipo tofauti na zamani ni tabia ya kukemewa vikali maramoja pindi inapo onekana. Kwasababu zifuatazo
anaume na mwanamke kwenye familia bado ni yale yale hata kama dunia imebadilika kwasababu ya utenda wazi.
Kiasili Mwanamke ni mama wa nyumbani tu na msaidizi wa mume kichwa cha familia, kuzaa na kulea ndio jukumu lake la kwanza na la msingi aliloumbiwa. sasa jifanye mwamaume dizaini ya kina Daby kwamba una-akili sana, upendo na kujali sana kuliko Mungu aliyewaumba na kuamua wawe ivyo kwa majukumu hayo ya usaidizi na ulezi tu uje ulie mwenywe.

Kazi na majukumu ya mwanamke 100% yapo nyumbani kwa familia na watoto (malezi).

Ukikutana na mwanamke mwenye mtizamo na misimamo dizaini ya wanaolezewa na akina daby na Harekebishiki wala kufundishika, wewe tumia ukirizika pita kushoto sasa kajifanye una-akili na upendo sana kuliko aliyewaumba ivyo, kisha mfanye mke uone.
 
Hii namba moja saikolojia yao inagoma,wanaume mademocratic wengi wanateswa na wanawake wao,labda tu upate mwanamke matured na sio hawa wanaoshinda kwenye tamthilia.

Dharau ni inborn character,mtu anaiga kwa mama yake anachomfanyia baba yake brain zao zinacopy na kuzipaste kwenye ndoa.

Wanaume madikteta,wababe ndio zao udumu.
Lakini wanawake kwenye hizo ndoa za wababe huwa wanaumia na kuvumilia mengi. Ni kwa sababu hawana mahali pa kwenda.
 

Attachments

  • VID-20220706-WA0001.mp4
    1.9 MB
Haki mwenzake wajibu, Kama Wanawake mnajua vzuri haki zenu anzen kujua na wajibu wenu period.
 
Sitetei mfumo dume ila majukumu ya mwanaume na mwanamke kwenye familia bado ni yale yale hata kama dunia imebadilika kwasababu ya utenda wazi.
Kama dunia imebadilika unategenea mwanamke asibadolike? Kiufupi binafamu amebadilika hata mwanaume wa sasa sio kama wa zamani.

Tegemea mabadiliko zaidi na zaidi na mabango kama haya hayataweza kufanya mambo yarudi kama zamani. Lakini uzuri ni kwamba wanawake/wake ambao wana tabia ambazo unazitaka bado wapo ni kiburi chenu tu wanume kutaka kuoa mnaowaita wasomi halafu mkitegemea wawe na tabia za ambao hawajasoma kabisa.
 
Lakini wanawake kwenye hizo ndoa za wababe huwa wanaumia na kuvumilia mengi. Ni kwa sababu hawana mahali pa kwenda.
Wao ndio chanzo cha maumivu yao.

Mtu mwanamke ni mbabe yaani ni mgomvi,mtukanaji tena mbele za watu, makelele, vurugu hio nguvu ya kumuita baby,baby au kumpeti peti utaitoa wapi wakati moyo wako saaa zote umeumizwa kwa vurugu na ubabe wake na kauli zake kali chafu maana pana wanawake ndimi zao hazina filter yaani neno linatoka bila kuchujwa ni kama lilivyo, upendo ujengwa na heshima Hakuna heshima Hakuna upendo bali ni bora liende kufake either kwa interest za watoto au kulinda undugu.

Kwann makahaba wanawanasa waume za watu mwanaume asiyepata heshima kwa mke wake hasa hawa kizazi kipya ataenda kuitafuta heshima kwa kahaba nje, ambapo atatekwa kabisa asikumbuke nyumbani hadi ATM itakapokata. Jiulize kwann wanaume ufa mapema tena bado Wana nguvu kuliko wanawake utapata jibu.
 
Kama dunia imebadilika unategenea mwanamke asibadolike? Kiufupi binafamu amebadilika hata mwanaume wa sasa sio kama wa zamani.

Tegemea babadiliko zaidi na zaidi na mabango kama haya hayataweza kufanya mambo yarudi kama zamani. Lakini uzuri ni kwamba wanawake/wake ambao wana tabia ambazo unazitaka bado wapo ni kiburi chenu tu wanume kutaka kuoa mnaowaita wasomi halafu mkitegemea wawe na tabia za ambao hawajasoma kabisa.
Hakuna kitu kinanikera kama mmekaa sitting room anakuja house girl eti "chakula tayari, karibuni chakula"
Wife sasa " sauwaaa dadakeee" Duh hatari kweli
 
Back
Top Bottom