Mwanamke wa Miaka ile sio Mwanamke wa leo

Mwanamke wa Miaka ile sio Mwanamke wa leo

Wanaume wengi wakioa wanakua walemavu ghafla. Mtu hawezi hata kujisogezea glass anataka afanyiwe kila kitu wanadhani wake zao ni maroboti hawachoki.
Ndio mapenzi yalivyo bibie kea jinsi unavyobehave Muombe Mungu mume wako asipate mchepuko wa kitanga au pwani utasaga meno Sana
 
Ndio mapenzi yalivyo bibie kea jinsi unavyobehave Muombe Mungu mume wako asipate mchepuko wa kitanga au pwani utasaga meno Sana
Aah tushawazoea nyie, unamuhangaikia mtoto wa mtu bado nje anakipeleka na kuhamia kabisa.
 
Hamna demokrasia mpumbavu ndo anaamini demokrasia ni vip kwamba haki sawa na hao wake zenu sikieni ni mizigo kazini acheni ujinga hiyo ni asili ya maumbile

Assume kitengo fulani kinatoa huduma muda wote pameajirwa wanawake Kama maofficers wote wamejifungua kufidia akachukuliwa dogo wa intership na WA field wake sasa WA field kasepa

Huwezi kuleta uzungu mwingi mbele ya uhalisia mwanamke ndo maumbile yake ndoto aendelee kulala Kuna nafasi huwezi kumuweka

Umeongea ujinga mtupu hao Marekani walifanya kila njia raisi asiwe wa kike unajua kwa nn
 
Kwani kuna siku wanaume mmewahi kuwa na sababu za msingi za kuwa na michepuko? Hata mfanyiwe yote ulimwenguni hapa mkiamua kutoka nje mnatoka.
Labda huyo mwanaume awe ni malaya by nature mbona mimi nilipataga demu mmoja wa kislamu wa kitanga huyo demu anajua kutreat mwanaume kiasi ambacho unajiona mwanaume unapendwa Sana upo pekee yako huyo demu alikuwa ananifulia nguo na kunipigia paso bila hata mimi kumuomba au kumwambia nilikuwa naogeshwa, nalishwa nikiwa kwenye mishe mishe zangu unaulizwa baby nikupikia nini leo by the way nilipataga mahaba ambayo mengine sijawahi kupata kwa mwanamke yoyote huyo manzi alinifanya nisitamani kuwa na mwanamke yoyote nami Nilimpenda Sana kiasi mpaka watu wakawa wanadhani nimelishwa limbwata kumbe ni mambo niliyokuwa nayapata ni adimu.

Ni manzi ambaye nilipanga kabisa nije nimuoea sema shida ilikuwa ipo kwa Wazazi wake hawakutaka nimuoea binti yao kwasababu nilikuwa mkristo nilikula beat sizamchezo kwa kaka yake na baba yake na wewe unajua vizuri waislamu hawanaga utani linapokuja kwenye dini unaweza kufanywa chochote so nikaona Bora niachane na huyo manzi ingawa yeye akupenda lakini sikuwa najinsi.
 
Tatizo NI kwamba wenye kazi tayari Wana wapenzi kumpata ukiwa na uhitaji ni issue...while wasio na kazi wako ready mda wowote...kipindi nyege zinakusumbua zinataka uzalishe wako hot...inakuwa NI Vita baina ya akili na mwili....hahahaha na according to yesu always roho i radhi mwili u dhaifu...[emoji23][emoji1787]
 
Labda huyo mwanaume awe ni malaya by nature mbona mimi nilipataga demu mmoja wa kislamu wa kitanga huyo demu anajua kutreat mwanaume kiasi ambacho unajiona mwanaume unapendwa Sana upo pekee yako huyo demu alikuwa ananifulia nguo na kunipigia paso bila hata mimi kumuomba au kumwambia nilikuwa naogeshwa, nalishwa nikiwa kwenye mishe mishe zangu unaulizwa baby nikupikia nini leo by the way nilipataga mahaba ambayo mengine sijawahi kupata kwa mwanamke yoyote huyo manzi alinifanya nisitamani kuwa na mwanamke yoyote nami Nilimpenda Sana kiasi mpaka watu wakawa wanadhani nimelishwa limbwata kumbe ni mambo niliyokuwa nayapata ni adimu.Ni manzi ambaye nilipanga kabisa nije nimuoea sema shida ilikuwa ipo kwa Wazazi wake hawakutaka nimuoea binti yao kwasababu nilikuwa mkristo nilikula beat sizamchezo kwa kaka yake na baba yake na wewe unajua vizuri waislamu hawanaga utani linapokuja kwenye dini unaweza kufanywa chochote so nikaona Bora niachane na huyo manzi ingawa yeye akupenda lakini sikuwa najinsi.
Sasa si ndio mpaka hao wapenzi wapendane kweli na waamue kwa dhati ya mioyo yao kutulia. Ila kwa wengi ni mabalaa tu na vile mapenzi ya kipindi hiki ni full kuviziana basi tabu tupu.
 
Labda huyo mwanaume awe ni malaya by nature mbona mimi nilipataga demu mmoja wa kislamu wa kitanga huyo demu anajua kutreat mwanaume kiasi ambacho unajiona mwanaume unapendwa Sana upo pekee yako huyo demu alikuwa ananifulia nguo na kunipigia paso bila hata mimi kumuomba au kumwambia nilikuwa naogeshwa, nalishwa nikiwa kwenye mishe mishe zangu unaulizwa baby nikupikia nini leo by the way nilipataga mahaba ambayo mengine sijawahi kupata kwa mwanamke yoyote huyo manzi alinifanya nisitamani kuwa na mwanamke yoyote nami Nilimpenda Sana kiasi mpaka watu wakawa wanadhani nimelishwa limbwata kumbe ni mambo niliyokuwa nayapata ni adimu.Ni manzi ambaye nilipanga kabisa nije nimuoea sema shida ilikuwa ipo kwa Wazazi wake hawakutaka nimuoea binti yao kwasababu nilikuwa mkristo nilikula beat sizamchezo kwa kaka yake na baba yake na wewe unajua vizuri waislamu hawanaga utani linapokuja kwenye dini unaweza kufanywa chochote so nikaona Bora niachane na huyo manzi ingawa yeye akupenda lakini sikuwa najinsi.
Ila ukilishwa limbwata hujui😅😅😅
 
Labda huyo mwanaume awe ni malaya by nature mbona mimi nilipataga demu mmoja wa kislamu wa kitanga huyo demu anajua kutreat mwanaume kiasi ambacho unajiona mwanaume unapendwa Sana upo pekee yako huyo demu alikuwa ananifulia nguo na kunipigia paso bila hata mimi kumuomba au kumwambia nilikuwa naogeshwa, nalishwa nikiwa kwenye mishe mishe zangu unaulizwa baby nikupikia nini leo by the way nilipataga mahaba ambayo mengine sijawahi kupata kwa mwanamke yoyote huyo manzi alinifanya nisitamani kuwa na mwanamke yoyote nami Nilimpenda Sana kiasi mpaka watu wakawa wanadhani nimelishwa limbwata kumbe ni mambo niliyokuwa nayapata ni adimu.Ni manzi ambaye nilipanga kabisa nije nimuoea sema shida ilikuwa ipo kwa Wazazi wake hawakutaka nimuoea binti yao kwasababu nilikuwa mkristo nilikula beat sizamchezo kwa kaka yake na baba yake na wewe unajua vizuri waislamu hawanaga utani linapokuja kwenye dini unaweza kufanywa chochote so nikaona Bora niachane na huyo manzi ingawa yeye akupenda lakini sikuwa najinsi.
Ukipata demu wa hv,, nje uende kuhangaika kufanya nn
 
Sasa si ndio mpaka hao wapenzi wapendane kweli na waamue kwa dhati ya mioyo yao kutulia. Ila kwa wengi ni mabalaa tu na vile mapenzi ya kipindi hiki ni full kuviziana basi tabu tupu.
Ndio hivyo usijumlishe kwa ujumla kuwa Wanaume wote hata huwafanyie nini lazima tu awe na mchepuko hii sio kweli wapo Wanaume mpaka Leo hawajawahi kuwa na wapenzi achilia tu kufanya mapenzi mfano mimi nina marafiki zangu wawili wa namna hiyo
 
Ila ukilishwa limbwata hujui😅😅😅
Vitu alivyokuwa ananifanyia huyo manzi nilibwata tosha ngoja nikuulize ni mwanamke gani wa sasa hivi Unaweza kumpata akawa anakufulia nguo Tena bila hata kumwambia? Au akawa akusumbui hata pale unapomwitaji kwenye sex? Ni manzi yupi anaweza kuomba ruhusa kazini kwake kusudi akuhudumie wewe unapomwa Sana? Kea hivyo vitu kuna haja ya kupewa limbwata kweli?
 
Ndio hivyo usijumlishe kwa ujumla kuwa Wanaume wote hata huwafanyie nini lazima tu awe na mchepuko hii sio kweli wapo Wanaume mpaka Leo hawajawahi kuwa na wapenzi achilia tu kufanya mapenzi mfano mimi nina marafiki zangu wawili wa namna hiyo
Hakuna sehemu nimesema wanaume wote , ila wengi wapo hivyo.
 
Huu uzi unamjibu member Kamgomoli: Kwenye uzi Faida na hasara za kuoa mwanamke msomi na mtumishi

Tunapaswa kuelewa maisha yamebadilika na yanatubadilisha, tutake tusitake. Tunapoweka faida za kuoa mwanamke

Namba 3. Haujajibu hoja umeleta porojo na preference eti nani hataki bla bla blah acha habari ya nani hataki jibu hoja ni kweli au sio kweli mwanamke mwenye ajira hana muda wa kulea watoto, watoto wanalelewa na house girl.
 
Wanawake wana ndoto zao kama ilivyo kwetu...wanahitaji kufanya kazi au kumiliki biashara zao. [emoji1545]

Kama wanandoto zao kwanini wasiolewe na ndoto zao ?!! Usasa unawaharibu na wanaume mario ndio mnatetea huu ujinga kina team Uchebe.

Ok Uchebe nikujuze tu mume ndio hubeba maono ya familia na ni jukumu lake kwa asili yake na mwanamke yupo kumsaidia mume kufikia malengo SIO KUJA NA MAONO NA MANDOTO YAKE.

Ndio maana ndoa zenu zinawaya waya kama machela, mwanaume anataka familia ielekea Kaskazini mwanamke anataka ielekee Mashariki hakuna maono ya pamoja.
 
Back
Top Bottom