Mwanamke wa Miaka ile sio Mwanamke wa leo

Mwanamke wa Miaka ile sio Mwanamke wa leo

Huu uzi unamjibu member Kamgomoli: Kwenye uzi Faida na hasara za kuoa mwanamke msomi na mtumishi

Tunapaswa kuelewa maisha yamebadilika na yanatubadilisha, tutake tusitake. Tunapoweka faida za kuoa mwanamke msomi na asiye msomi tujue tunaelezea hizo sifa tukiwa katika era ipi.
Hapa unamaanisha kuoa wanawake wa Beijing na si kama ilivyo Kwa matakwa ya maandiko si ndio eeee, umesema;

1. Wanawake wanandoto zao which means hawana haja ya kuolewa hawezi taka kuolewa Bado akataka kutimiza ndoto zake, Bibilia imesema mwanamke ni msaidizi was mwanaume Maana yake anapoamua kuolewa anaacha uelekeo was Maisha yake anaambatana na uelekeo was mwanaume.

2. Umesema sex sio maji, kumbuka Moja ya hitaji la mwanaume lililompelekea kuoa ni sex ya Bila kupangiwa, Sasa kama Mwanamke ameolewa na anampangia mwanaume Kwa habari ya sex hapo ni kukaribisha michepuko na kuwa na michepuko Haina Maana ya kuolewa/ kuoa.

Yaani Kwa kifupi Kwa pointi ulizoziweka hapo HAKUNA HAJA YA KUOA MWANAMKE WA AINA HIYO, NI BORA UKAPAMBANA KISINGLE SINGLE UKIZIDIWA UKANUNUE OVA
 
Demokrasia.!??

Kuishi na Mke asiyekuheshimu mkuu unaona ni sawa..!??????...

WANAUME tunahitaji maombi..

The unpaid Seller toa neno Bro.

Mkuu wanaume wa kileo wapenda kitonga wameuza heshima yao kwa kutaka "kusaidiwa" maisha.

Furaha ya mwanamke ni kupendwa na furaha ya mwanaume ni kuheshimiwa ila hawa mario wamekubali kuishi kwa fedhea na kudharauliwa ili "wasaidiane maisha"
 
Hakuna sehemu nimesema wanaume wote , ila wengi wapo hivyo.
Hata hao wengi wanasababu zao za msingi ndio maana wanakimbilia kuwa na michepuko hivi mwanaume ampate mwanamke kama huyo niliyempata mimi nilikuwambia hiv unafikiri atakimbilia kutafuta mchepuko?

Kuna vitu asilimia kubwa wanawake wasasa hivi mnavikosa mnatakiwa mjifunze kwa wanawake wa pwani wale wanajua how to treat a man.Na kea utafiti niliyoufanya nimegundua kitu Moja mnawabania Sana Wanaume Zenu kwenye sex na hiyo ndio shida asilimia kubwa inapelekea wanaume wengi kuwa na michepuko
 
Ndoto ya mwanaume ni ndoto ya familia nzima and vice versa is true

Endeleeni kulazimisha uzungu na usomi wenu (wa kukalili) kwenye maisha ya kiafrica

Hili ndio wengi hawalijui au wanajisahaulisha, daima dira hutolewa na kiongozi huwezi kua na wanajeshi 7 (squad unit) na kila mmoja ana malengo, dira na maono yake.

Ndio maana familia nyingi za kileo hazina mbele wala nyuma ni mivutano na minyukano isiyokwisha kisa mwanaume ana ndoto zake na mwanamke zake hakuna dira ya pamoja, hakuna kiongozi.
 
Kama wanandoto zao kwanini wasiolewe na ndoto zao ?!! Usasa unawaharibu na wanaume mario ndio mnatetea huu ujinga kina team Uchebe.

Ok Uchebe nikujuze tu mume ndio hubeba maono ya familia na ni jukumu lake kwa asili yake na mwanamke yupo kumsaidia mume kufikia malengo SIO KUJA NA MAONO NA MANDOTO YAKE.

Ndio maana ndoa zenu zinawaya waya kama machela, mwanaume anataka familia ielekea Kaskazini mwanamke anataka ielekee Mashariki hakuna maono ya pamoja.
Naona umempa za uso oya vipi ule mpango wakuja na uzi wako umeishiaje naona upo kimya sana
 
Hilo tendo la ndoa mtu kama hataki hata awe mama wa nyumbani hakupi ataishia kukulalamikia.

Hao wa nyumbani wana muda wa kukutana na mwanaume wakati wowote, sababu nilienda shop, market or else.

Siku iwe bahati mbaya mume ameitwa na Bwana ujue mkeo cannot stand with family, lazima aolewe haraka ili amudu maisha.
 
Hapa unamaanisha kuoa wanawake was Beijing na si kama ilivyo Kwa matakwa ya maandiko si ndio eeee, umesema;
1. Wanawake wanandoto zao which means hawana haja ya kuolewa hawezi taka kuolewa Bado akataka kutimiza ndoto zake, Bibilia imesema mwanamke ni msaidizi was mwanaume Maana yake anapoamua kuolewa anaacha uelekeo was Maisha yake anaambatana na uelekeo was mwanaume.

2. Umesema sex sio maji, kumbuka Moja ya hitaji la mwanaume lililompelekea kuoa ni sex ya Bila kupangiwa, Sasa kama Mwanamke ameolewa na anampangia mwanaume Kwa habari ya sex hapo ni kukaribisha michepuko na kuwa na michepuko Haina Maana ya kuolewa/ kuoa.

Yaani Kwa kifupi Kwa pointi ulizoziweka hapo HAKUNA HAJA YA KUOA MWANAMKE WA AINA HIYO, NI BORA UKAPAMBANA KISINGLE SINGLE UKIZIDIWA UKANUNUE OVA

Igweeee !!
 
Mkuu wajaze mabichwa tu,, wajazeeee[emoji106][emoji106][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Iko hivyo pia mkuu, kuna baadhi ya wanaume hua wanaamua kujitoa ufahamu kutetea ujinga eidha kwa kutaka kuwatafuna wanawake au kujifanya wakombozi wao ili tu wasifiwe nakadhalika,

Lakini ndani yao wanajua wanachokisema sio na hakiwezi kua sawa. Mtoa mada kamipa wasiwasi na ulijari wake pale aliposema "... ni bora asiheshimiwe ....."
 
Iko hivyo pia mkuu, kuna baadhi ya wanaume hua wanaamua kujitoa ufahamu kutetea ujinga eidha kwa kutaka kuwatafuna wanawake au kujifanya wakombozi wao ili tu wasifiwe nakadhalika,

Lakini ndani yao wanajua wanachokisema sio na hakiwezi kua sawa. Mtoa mada kamipa wasiwasi na ulijari wake pale aliposema "... ni bora asiheshimiwe ....."
Kwani shingapi,, acha awajaze tu [emoji48][emoji48][emoji48]
 
Mkuu nawavutia upepo mods wameniandama sana kufuta thread zangu naona kwa sasa wananizoom na binoculas najua kwa kipindi hiki nikiweka tu wataushusha. Hivyo nawalia timing mkuu.
Sawa mkuu nimekupata ila usinisahau kunitag ukiweka uzi
 
Hilo tendo la ndoa mtu kama hataki hata awe mama wa nyumbani hakupi ataishia kukulalamikia.

Hao wa nyumbani wana muda wa kukutana na mwanaume wakati wowote, sababu nilienda shop, market or else.

Siku iwe bahati mbaya mume ameitwa na Bwana ujue mkeo cannot stand with family, lazima aolewe haraka ili amudu maisha.

Nisaidie kujibu hii hoja yangu, ambayo naona kwa hakika wanawake wenye kazi hawafai na hawawezi kua mama na hata wake bora, kwa sababu hawana muda wa kulea watoto (ambalo kiasili na kma maumbile ndio jukumu lao) na pili kipaumbele chao sio familia bali kazi na vyeo. Hamnaga muda na familha na ni kichaka cha kutegea majukumu yenu ya asili.
 
Wanawake wana ndoto zao kama ilivyo kwetu...wanahitaji kufanya kazi au kumiliki biashara zao. [emoji1545]
Yani wewe na mauchawi yako yote umeshindwa kutambua mwanaume na mwanamke ni viumbe tofauti, walioumbwa tofauti kwa ajili ya majukumu tofauti na ya kwamba mwanamke yupo kwa ajili ya kumsaidia mwanaume kutimiza maono kwa ajili ya familia ?! Sasa kama hata hilo haujui, mauchawi yako yanafaida gani ?!

Kama kanunu rahisi kabisa za ulimwengu zinakupiga chenga.
 
Tunapaswa kuelewa maisha yamebadilika na yanatubadilisha, tutake tusitake. Tunapoweka faida za kuoa mwanamke msomi na asiye msomi tujue tunaelezea hizo sifa tukiwa katika era ipi.
Kuna vitu vikikaliwa kimya hasa vikiwahusisha Wanawake vinazidi kuwaharibu Wanawake, mfano wa haya ni huu uzi wako.

Kuna jambo unatakiwa kulijua, kuna mambo huwa hayapitwi na wakati na wala hayapaswi kuathiriwa na wakati, utu,silika na nafasi ya mwanaume na mwanamke katika kujenga jamii. Hivi vitu hata mabadiliko yawe yatakavyo kuwa wakati unatakiwa kufata vitu hivyo, yaani utu, silika na nafasi ya mwanamke na mwanamke hii ndiyo asili, ukiviacha vitu hivi madhara yake ni haya tunayo yaona hapa.
mfano:
1. Mwanamke msomi mwenye kazi hatakuheshimu. Hapa itategemea unaishi naye kwa namna gani. Wanawake wa sasa sio wa Miaka ya 90 awe ana kazi asiwe na kazi hawataki kuburuzwa. hapa ni mwanaume kujua kuwa mtemi imeshapitwa na wakati ....ongoza Familia kidemokrasia. Ni afadhali kuwa na mwanamke msomi asiyeniheshimu kuliko niwe na mwanamke asiyemsomi anayeniheshimu kwasababu namzidi kila kitu.
Nukta hii umeilezea kwa kumili upande mmoja, Mwanamke ni kweli hapaswi kuburuzwa na sisi Wanaume hatutakiwi tuwe watemi kwa wake zetu kwani utemi si katika mapenzi bali ni uharibifu.

Lakini, je ni kweli wanawake wa leo wanaelewa vipi tamko kuburuzwa ? Tamko hili wanalielewa vibaya bali wanawake wa leo wametengenezwa kuwa na hofu na kutuona sisi Waume zao kuwa ndiyo maadui zao wakubwa na tunawakwamisha, na kila uchwao wanapambana kushindana na sisi.

Bali hakuna zama ambazo Wanawake wamekuwa wajinga kuzidi zama hizi, mwanamke amekuwa kama Mshumaa tu na amezidi ujinga mno.

Demokrasia si mfumo sahihi kuanzia kwenye afya ya akili mpaka utendaji, ungekuwa mfumo sahihi ungetumika tangu na tangu.
Ni afadhali kuwa na mwanamke msomi asiyeniheshimu kuliko niwe na mwanamke asiyemsomi anayeniheshimu kwasababu namzidi kila kitu.
Hapa kuna tatizo mahali. Unakaaje na mwanamke asiye kuheshimu ?

Umbile la mwanaume linamtaka mwanamke awe chini yetu. Na hii ndiyo furaha yetu sisi Wanaume bsli mpaka wao wsnapenda kuwa chini yetu, ila tu kuna wajinga wamewawahi.
. Ukirudi kutoka kazini haupokelewi vizuri. What for? hili nalo na kulilia! ingia ndani salimiana ndani kwa ndani sio lazima mwanamke akukimbilie kama mbwa. Amechoka kumbuka naye Ametoka kazini
Hili siyo lazima, ila hapa pa Mwanamke kutoka kazini, hivi wanaume wenzangu huwa mnawaza nini au mnawezaje kuandika jambo kwamba "Mwanamke ametoka kazini" na wewe Mwanaume upo ?
. Hatapata muda wa kuwatunza watoto na kuijali Familia. Wanaume tuwe wakweli kwenye hili. Ni nani anataka mwanae wa kike akawe mama wa nyumbani? be honest... Nataka mwanangu wa kike awe mtu kwenye watu..sio Mwanamke wa kukimbilia mijanaume iktoka kazini.
Mimi mmoja wapo nataka watoto zangu wa kike wakae majunbani mwao sababu huko ndiyo salama yao ilipo, sababu mama zao mama wa nyumbani.
Wanawake wana ndoto zao kama ilivyo kwetu...wanahitaji kufanya kazi au kumiliki biashara zao.
Nani alikudanganya ya kuwa Mwanamke akiwa nyumbani hatimizi ndoto zake ? Wapo wanawake wengi wako majumbani na wametimiza ndoto zao kuliko hata hao ambao wanapambana kuutafuta ugali.

Ndoto zao na wapo Wanawake wengi zaidi waliopo maofisini na wanatafuta ugali hawajitimiza ndoto zao.

Nyinyi ndiyo mnazidi kuwafanya wanawake wazidi kuwa wajinga na wawe wavivu wa kufikiria na mwisho wa siku wanakuwa bidhaa na wao wanao sawa kwamba wamekombolewa
4. Tendo la Ndoa itakuwa ishu. Hapa wote mtakuwa mnachoka..ila bado unanafasi kubwa ya kurekebisha hili..mtoe wife out weekend sehemu tofautitofauti...utaona tofauti. Sex sio maji kila siku mnadandiana.
Hivi kuna haja gani ya Mwanamke kutoka kwenda kazini hali ya kuwa wewe unaleta nyumbani ?
Kwa ufupi nasema Dunia imebadilika na tuwe wakweli kulikubali hili na litatusaidia namna ya kuishi na mwanamke wa sasa.[/b]
Dunia imebadikika ila uhalisia haujabadilika na silika zetu hazijabadilika. Tuishi kwenye asili huko ndiko usalama ulipo.
 
Back
Top Bottom