jje's
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 10,812
- 16,487
SahihiAisee jamaani keep calm, ngoja protocol zikae sawa please.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SahihiAisee jamaani keep calm, ngoja protocol zikae sawa please.
Bahati mbaya mwanamke akikutana na mwanaume anayejua kujifanyia mambo yake huwa hajisikii vizuri. Naweza fanya yote anayofanya bola tatizo lolote, actually kufanyiwa vitu kunaboa.Wanaume wengi wakioa wanakua walemavu ghafla. Mtu hawezi hata kujisogezea glass anataka afanyiwe kila kitu wanadhani wake zao ni maroboti hawachoki.
. Ni afadhali kuwa na mwanamke msomi asiyeniheshimu kuliko niwe na mwanamke asiyemsomi anayeniheshimu kwasababu namzidi kila kitu.
.
Hujawahi niangusha, panga unaliita panga, sio kisu kikubwaKama wanandoto zao kwanini wasiolewe na ndoto zao ?!! Usasa unawaharibu na wanaume mario ndio mnatetea huu ujinga kina team Uchebe.
Ok Uchebe nikujuze tu mume ndio hubeba maono ya familia na ni jukumu lake kwa asili yake na mwanamke yupo kumsaidia mume kufikia malengo SIO KUJA NA MAONO NA MANDOTO YAKE.
Ndio maana ndoa zenu zinawaya waya kama machela, mwanaume anataka familia ielekea Kaskazini mwanamke anataka ielekee Mashariki hakuna maono ya pamoja.
Umeongea Busara sana,,,,,Yote haya yanajadiliwa hapa ni Excuse za kinadada kutoheshimu Waume zao....La kuangalia ni maelewano kwenye familia, baba apewe heshima yake no matter what.
Sahii kabisa,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mwanamke anataka afunguliwe mlango wa gari kwani yeye hawezi?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huu Ni msiba,Demokrasia.!??
Kuishi na Mke asiyekuheshimu mkuu unaona ni sawa..!??????...
Hakika WANAUME tunahitaji maombi..
The unpaid Seller toa neno Bro.
Huu Ni msiba,
One man down,
Mtoa mada keshatutoka tayar
😂😂😂Tangu nilovyo owa make wa kwanza Hadi uyu wanne nimekuwa kiwete ghafla
Mtoa mada anatia aibuNamba 3. Haujajibu hoja umeleta porojo na preference eti nani hataki bla bla blah acha habari ya nani hataki jibu hoja ni kweli au sio kweli mwanamke mwenye ajira hana muda wa kulea watoto, watoto wanalelewa na house girl.
Umeongea vema kabisa,Kama wanandoto zao kwanini wasiolewe na ndoto zao ?!! Usasa unawaharibu na wanaume mario ndio mnatetea huu ujinga kina team Uchebe.
Ok Uchebe nikujuze tu mume ndio hubeba maono ya familia na ni jukumu lake kwa asili yake na mwanamke yupo kumsaidia mume kufikia malengo SIO KUJA NA MAONO NA MANDOTO YAKE.
Ndio maana ndoa zenu zinawaya waya kama machela, mwanaume anataka familia ielekea Kaskazini mwanamke anataka ielekee Mashariki hakuna maono ya pamoja.
Sahii kabisa[emoji106]Hapa unamaanisha kuoa wanawake wa Beijing na si kama ilivyo Kwa matakwa ya maandiko si ndio eeee, umesema;
1. Wanawake wanandoto zao which means hawana haja ya kuolewa hawezi taka kuolewa Bado akataka kutimiza ndoto zake, Bibilia imesema mwanamke ni msaidizi was mwanaume Maana yake anapoamua kuolewa anaacha uelekeo was Maisha yake anaambatana na uelekeo was mwanaume.
2. Umesema sex sio maji, kumbuka Moja ya hitaji la mwanaume lililompelekea kuoa ni sex ya Bila kupangiwa, Sasa kama Mwanamke ameolewa na anampangia mwanaume Kwa habari ya sex hapo ni kukaribisha michepuko na kuwa na michepuko Haina Maana ya kuolewa/ kuoa.
Yaani Kwa kifupi Kwa pointi ulizoziweka hapo HAKUNA HAJA YA KUOA MWANAMKE WA AINA HIYO, NI BORA UKAPAMBANA KISINGLE SINGLE UKIZIDIWA UKANUNUE OVA
Kabisa,Mkuu wanaume wa kileo wapenda kitonga wameuza heshima yao kwa kutaka "kusaidiwa" maisha.
Furaha ya mwanamke ni kupendwa na furaha ya mwanaume ni kuheshimiwa ila hawa mario wamekubali kuishi kwa fedhea na kudharauliwa ili "wasaidiane maisha"
Uyu jamaa Ni bure kabisa[emoji3525]Iko hivyo pia mkuu, kuna baadhi ya wanaume hua wanaamua kujitoa ufahamu kutetea ujinga eidha kwa kutaka kuwatafuna wanawake au kujifanya wakombozi wao ili tu wasifiwe nakadhalika,
Lakini ndani yao wanajua wanachokisema sio na hakiwezi kua sawa. Mtoa mada kamipa wasiwasi na ulijari wake pale aliposema "... ni bora asiheshimiwe ....."