Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16]Mkuu wajaze mabichwa tu,, wajazeeee[emoji106][emoji106][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hayo ni maoni yangu, nawe toa yako ya kuwajenga.
Hii ni Kwa gender zote unapo lala Mika kuwa wanaume wana chepuka kwani hao wanaume Huwa wana chepuka na wanaume wenzao !?Sasa si ndio mpaka hao wapenzi wapendane kweli na waamue kwa dhati ya mioyo yao kutulia. Ila kwa wengi ni mabalaa tu na vile mapenzi ya kipindi hiki ni full kuviziana basi tabu tupu.
Yeah hivi ndio inavyo takiwa , hii generation yetu masuala ya ndoa tuachane nayo tu hatuyawezi tuta kuja kutoana rohoNdo maana nona ni vyema nikapata watoto 3 tu then niwalee
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]Hapa unamaanisha kuoa wanawake wa Beijing na si kama ilivyo Kwa matakwa ya maandiko si ndio eeee, umesema;
1. Wanawake wanandoto zao which means hawana haja ya kuolewa hawezi taka kuolewa Bado akataka kutimiza ndoto zake, Bibilia imesema mwanamke ni msaidizi was mwanaume Maana yake anapoamua kuolewa anaacha uelekeo was Maisha yake anaambatana na uelekeo was mwanaume.
2. Umesema sex sio maji, kumbuka Moja ya hitaji la mwanaume lililompelekea kuoa ni sex ya Bila kupangiwa, Sasa kama Mwanamke ameolewa na anampangia mwanaume Kwa habari ya sex hapo ni kukaribisha michepuko na kuwa na michepuko Haina Maana ya kuolewa/ kuoa.
Yaani Kwa kifupi Kwa pointi ulizoziweka hapo HAKUNA HAJA YA KUOA MWANAMKE WA AINA HIYO, NI BORA UKAPAMBANA KISINGLE SINGLE UKIZIDIWA UKANUNUE OVA
Nimejibu kutokana na mada ilivyo, kuchepuka hakuna jinsia.Hii ni Kwa gender zote unapo lala Mika kuwa wanaume wana chepuka kwani hao wanaume Huwa wana chepuka na wanaume wenzao !?
Aje ajichanganye mmoja nimnyooshe aje atoe mrejesho[emoji16]
Mtoa mada anatafuta huruma za kindezi afatwe na Ke PM [emoji13]Mtoa mada either umepitiwa,hauko serious au haujiamini Kama Unaweza kua kichwa Cha familia[emoji28]
[emoji1666]Nimejibu kutokana na mada ilivyo, kuchepuka hakuna jinsia.
Ulemavu unaokua kwa kasi kuliko hata ukosefu wa nguvu za kiume A.K.A "MARIOO"Umeongea Busara sana,,,,,Yote haya yanajadiliwa hapa ni Excuse za kinadada kutoheshimu Waume zao....
Na kuna vijana wa kiume aina ya mleta uzi wanaona KUTOHESHIMIWA ni sawa kabisa.... as long as wanasaidiwa Majukumu.
Amesahau "pesa ya Ke yeyote imefungiwa sabufa" [emoji3]Nnachokiona mtoa mada Ni type zile za Wanaume wanaoogopa majukumu,
Ni mwanaume yule anayeimezea sana mate Ela ya MKE wake, anaamini kwa namna moja ama nyingine inasaidia kwenye bajeti zake.
Ni mwanaume yule anayeamini anaoa ili kupunguza makali ya maisha,
Mwanaume wa Hivi,
Kila mara atagombana na MKE wake kwa kutaka kupata hesabu ya mapato yake, maana ameoa akiwa na MAHESABU tayar.
Niko hapa nilimfanyia yote hayo tena na zaidi ila bado tuliachanaVitu alivyokuwa ananifanyia huyo manzi nilibwata tosha ngoja nikuulize ni mwanamke gani wa sasa hivi Unaweza kumpata akawa anakufulia nguo Tena bila hata kumwambia? Au akawa akusumbui hata pale unapomwitaji kwenye sex? Ni manzi yupi anaweza kuomba ruhusa kazini kwake kusudi akuhudumie wewe unapomwa Sana? Kea hivyo vitu kuna haja ya kupewa limbwata kweli?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kaandika pumba tupu,
Hivi mwanaume unapata wapi guts za kusema heshima kwako sio chochote, kinachojali na pesa iingie mfukoni?
Ndo Hawa wanafulishwa chupi na mikojo kwa kisingizio Cha mke kaenda kutafuta pesa.
Na linakaa kibarazani na bukta linachekelea kabisa meno 32 yote nje, MKE kaleta mboga na unga nyumbani[emoji34]
Epuka kuwa chanzo cha janga lolote lile duniani. Utaishi maisha safi yasiyo na hatia.Kwani kuna siku wanaume mmewahi kuwa na sababu za msingi za kuwa na michepuko? Hata mfanyiwe yote ulimwenguni hapa mkiamua kutoka nje mnatoka.
Hii namba moja saikolojia yao inagoma,wanaume mademocratic wengi wanateswa na wanawake wao,labda tu upate mwanamke matured na sio hawa wanaoshinda kwenye tamthilia.Huu uzi unamjibu member Kamgomoli: Kwenye uzi Faida na hasara za kuoa mwanamke msomi na mtumishi