Mwanamke wa Miaka ile sio Mwanamke wa leo

Mwanamke wa Miaka ile sio Mwanamke wa leo

Kuna vitu vikikaliwa kimya hasa vikiwahusisha Wanawake vinazidi kuwaharibu Wanawake, mfano wa haya ni huu uzi wako.

Kuna jambo unatakiwa kulijua, kuna mambo huwa hayapitwi na wakati na wala hayapaswi kuathiriwa na wakati, utu,silika na nafasi ya mwanaume na mwanamke katika kujenga jamii. Hivi vitu hata mabadiliko yawe yatakavyo kuwa wakati unatakiwa kufata vitu hivyo, yaani utu, silika na nafasi ya mwanamke na mwanamke hii ndiyo asili, ukiviacha vitu hivi madhara yake ni haya tunayo yaona hapa.

Nukta hii umeilezea kwa kumili upande mmoja, Mwanamke ni kweli hapaswi kuburuzwa na sisi Wanaume hatutakiwi tuwe watemi kwa wake zetu kwani utemi si katika mapenzi bali ni uharibifu.

Lakini, je ni kweli wanawake wa leo wanaelewa vipi tamko kuburuzwa ? Tamko hili wanalielewa vibaya bali wanawake wa leo wametengenezwa kuwa na hofu na kutuona sisi Waume zao kuwa ndiyo maadui zao wakubwa na tunawakwamisha, na kila uchwao wanapambana kushindana na sisi.

Bali hakuna zama ambazo Wanawake wamekuwa wajinga kuzidi zama hizi, mwanamke amekuwa kama Mshumaa tu na amezidi ujinga mno.

Demokrasia si mfumo sahihi kuanzia kwenye afya ya akili mpaka utendaji, ungekuwa mfumo sahihi ungetumika tangu na tangu.

Hapa kuna tatizo mahali. Unakaaje na mwanamke asiye kuheshimu ?

Umbile la mwanaume linamtaka mwanamke awe chini yetu. Na hii ndiyo furaha yetu sisi Wanaume bsli mpaka wao wsnapenda kuwa chini yetu, ila tu kuna wajinga wamewawahi.

Hili siyo lazima, ila hapa pa Mwanamke kutoka kazini, hivi wanaume wenzangu huwa mnawaza nini au mnawezaje kuandika jambo kwamba "Mwanamke ametoka kazini" na wewe Mwanaume upo ?

Mimi mmoja wapo nataka watoto zangu wa kike wakae majunbani mwao sababu huko ndiyo salama yao ilipo, sababu mama zao mama wa nyumbani.

Nani alikudanganya ya kuwa Mwanamke akiwa nyumbani hatimizi ndoto zake ? Wapo wanawake wengi wako majumbani na wametimiza ndoto zao kuliko hata hao ambao wanapambana kuutafuta ugali.

Ndoto zao na wapo Wanawake wengi zaidi waliopo maofisini na wanatafuta ugali hawajitimiza ndoto zao.

Nyinyi ndiyo mnazidi kuwafanya wanawake wazidi kuwa wajinga na wawe wavivu wa kufikiria na mwisho wa siku wanakuwa bidhaa na wao wanao sawa kwamba wamekombolewa

Hivi kuna haja gani ya Mwanamke kutoka kwenda kazini hali ya kuwa wewe unaleta nyumbani ?

Dunia imebadikika ila uhalisia haujabadilika na silika zetu hazijabadilika. Tuishi kwenye asili huko ndiko usalama ulipo.
Kamwe mabadiliko ya sayansi na utandawazi hayawezi kubadili nafasi na majukumu ya wanaume na wanawake.

Habari mbaya ni kua wanaume wa kileo wanataka kua kama wanawake (wasaidiwe) na wanawake wanataka kua kama wanaume (watafute kwa jasho na wawe na mamlaka)
 
Nisaidie kujibu hii hoja yangu, ambayo naona kwa hakika wanawake wenye kazi hawafai na hawawezi kua mama na hata wake bora, kwa sababu hawana muda wa kulea watoto (ambalo kiasili na kma maumbile ndio jukumu lao) na pili kipaumbele chao sio familia bali kazi na vyeo. Hamnaga muda na familha na ni kichaka cha kutegea majukumu yenu ya asili.
Sema huo ni msimamo wako.

Kwani hao watoto wanaozaliwa na Mungu anawachukua mama zao hawakui ?

Iweje you're wife material kushinda even bila kuzalisha mia akungoje mpaka kununua chumvi.

La kuangalia ni maelewano kwenye familia, baba apewe heshima yake no matter what.
 
Waambie hao eti mwanaume anataka apelekewe maji bafuni ya kuoga yeye kujiepelekea hawezi 😂😂

Kwanini upelekewe maji bafuni? Siuweke maji bafuni..hata sio milioni 1.

Wanaume wengi wakioa wanakua walemavu ghafla. Mtu hawezi hata kujisogezea glass anataka afanyiwe kila kitu wanadhani wake zao ni maroboti hawachoki.

Kuna familia moja naiona yani ety mkewe akiondoka atakusanya nguoo chafu mpka mkewe arud......akitoka kazni kila kitu anfnyiwa na mkewe had maji ya kunywa anatengewaa...mpaka nahis kuolewa utumwa
Kuna wanawake wanapenda kumhudumia mume.

Kama ilivyo kwa baadhi ya wanaume kujihisi fahari na raha kuhonga.

Tusiwashangae wala kuwaona watumwa au watu wa ajabu baadhi yao ndivyo walivyofunzwa na wanapenda kufanya hivyo na sio utumwa ni upendo.
 
Habari mbaya ni kua wanaume wa kileo wanataka kua kama wanawake (wasaidiwe) na wanawake wanataka kua kama wanaume (watafute kwa jasho na wawe na mamlaka)
Hapa huwa nawashangaa sana, yaani Mwanaume unaanzaje kuwaza kusaidiwa na Mwanamke yaani msaidiane kuendesha familia, hilo ni jukumu letu sisi Wanaume peke yetu.
 
Hapa huwa nawashangaa sana, yaani Mwanaume unaanzaje kuwaza kusaidiwa na Mwanamke yaani msaidiane kuendesha familia, hilo ni jukumu letu sisi Wanaume peke yetu.
Mkuu ukistaajabu ya Kitonga utayaona ya Uchebe. Mwanaume kamili wazo la kusaidiwa tu linamkera, tena mbaya zaidi kusaidiwa na mwanamke.
 
Ubaya wa mwanamke msomi hata uishi nae vizuri kwa muda gani atakuja kubadilika tu akikutana na wanaharakati wenzake wakianza kumjaza ujinga hapo ndo utakuwa mwisho wako wakati huo mna watoto na mmeshajenga hapo ndo ujiandae kuhudhuria mahakamani.
 
Umenena vyema...

Nasisi tunachoka...maana tunafanya kazi kama wanaume...

Pia kusaidiana majukumu ni muhimu, hivyo ndio maana tunafanya kazi...

Kuna kufa, ajali...

Hapa mwanamke anaendeleza familia..bila kuwa na woga...

Uje PM upate zawadi Daby
 
Tangu nilovyo owa make wa kwanza Hadi uyu wanne nimekuwa kiwete ghafla
 
Sio rahisi kihivyo na ukimpa uhuru wa hvyo atakuja tu kukudharau. Mwanaume lazma awe juu tu ndo tumeumbwa hvo japo tuishi nao kidemokrasia zaid ila kwa akili pia wanawake hawaeleweki
 
Back
Top Bottom