Ndio ununue magari yote hayo? Idadi hiyo ya magari ni kwa mtu mwenye familia sio aliyeko single. Jitafakari ndugu yangu unaonekana huyo binti amekutesa sana na huoni mbele bila yeye. Ingawa umetudanganya kwenye hayo magari naomba nikupe scenario nyingine je tuseme huyo dada ukamchukua halafu akakutana na mtu ana LC 300 VXR si atakumwaga na hivyo vi-baby walker vyako. Demu hakutaki tafuta mwanamke sahihi u-move onNiimemaliza Chuo mwaka 2018 nikaoetea dili kadhaa za pesa na kabla sijafanyia pesa jambo lolote nilikuwa na ndoto ya magari kwanza.
hivi ni kweli kuna watu wanapaparikia mwanaume kisa 'gari'..??
smdh..!!
Nilikuwa na mwanamke ambaye nilikuwa nampenda mnoo, naye akasema ananipenda sana, Tukiwa chuo mimi nilikuwa nina kipindi 6 hadi 10 na yeye alikuwa anaingia saa 10 hadi saa 2 nikawa namsubiri atoke kisha namsindikiza kwao kwa daladala. Siku moja akanambie we nenda tu nikasema sawa sasa kuna mshikaji wangu alinichelewesha muda natoka naona pisi yangu inaingia kwenye IST (Vigari visnichi) shwaaa, akaondoka, nikapotezea siku nyingine tupo kwenye daladala akapigiwa simu alipomaliza kuongea akanambia mi nashuka kituo cha mbele, nikwamuuliza amekuja kukufata tena? akanijibi ni rafiki tu. tukateremka wote, jamaa akaja nikamuuliza manzi yangu huyu ni nani yako akanijibu nin mpenzi wangu, dah! niliumia sanaa sikujibu kitu baada yake nikaondoka badaye akanitafuta akanambia alinitania tu.
Tukaendelea ila nilitamani siku ifike ajue kuwa IST sio kitu ya kudharau upendo wangu, Mwenyezi Mungu sio Athumani, saivi nina Magari matatu BMW M5, CROWN, na VANGUARD na huwa napita kumsalimia anapofanyia kazi kuonesha kuwa Wakati wa mungu ni sahihi zaidi. Ila mapenzi bhana, saivi nina Magari anapaparika mnoo.
Tujifunze kuheshimu watu, Maana hatujui nani atakuja kuwa mlango wa Mafanikio Yetu
Mkongwe huyu jamaa anatupiga uongo mchana kweupe. Idadi hiyo ya magari ni ya watu wenye familia ambayo anatumia say mme, mke na nyingine inakuwa reserve. Pia mtu kama huyo hawezi kuwa na mawazo ya kama mtoa mada lazima awe ameshajipata. Hapo ukute anaandika kalala kitandani anapigwa na joto umeme umekatika kajichanua anakuna fangasi za pumbuniMtu mwenye magari matatu hawezi kuumizwa na hili. Badala yake anafurahi kupunguziwa zigo. Mtu mwenye magari matatu anakuwa busy na biashara au kazi.
Unataka kumrudia?Ndiyo nampenda ila nataka kumpa somo kwanza aelewe katika maisha mambo hubadilika
Ndiyo tena wanawake wanaotoka kwenye familia Duni siyo wote lakinihivi ni kweli kuna watu wanapaparikia mwanaume kisa 'gari'..??
smdh..!!
Asilimia 90 labda wewe upo kwenye ile 10hivi ni kweli kuna watu wanapaparikia mwanaume kisa 'gari'..??
smdh..!!
Sio ya kitanganyika eti?Huwa niki Sena we ni mkimbizi?!, Una semaga naku onea?!.
👉Hiyoo roho yako ni ya kigeni kabisa😆🤔
Bado alikuathiri sana. Hapo bado pia huna magari ya maana labda hiyo BMW hukuwa unalazimika kupita kumwonesha kama ulipona. Ungesonga mbele na maisha yako.Nilikuwa na mwanamke ambaye nilikuwa nampenda mnoo, naye akasema ananipenda sana, Tukiwa chuo mimi nilikuwa nina kipindi 6 hadi 10 na yeye alikuwa anaingia saa 10 hadi saa 2 nikawa namsubiri atoke kisha namsindikiza kwao kwa daladala. Siku moja akanambie we nenda tu nikasema sawa sasa kuna mshikaji wangu alinichelewesha muda natoka naona pisi yangu inaingia kwenye IST (Vigari visnichi) shwaaa, akaondoka, nikapotezea siku nyingine tupo kwenye daladala akapigiwa simu alipomaliza kuongea akanambia mi nashuka kituo cha mbele, nikwamuuliza amekuja kukufata tena? akanijibi ni rafiki tu. tukateremka wote, jamaa akaja nikamuuliza manzi yangu huyu ni nani yako akanijibu nin mpenzi wangu, dah! niliumia sanaa sikujibu kitu baada yake nikaondoka badaye akanitafuta akanambia alinitania tu.
Tukaendelea ila nilitamani siku ifike ajue kuwa IST sio kitu ya kudharau upendo wangu, Mwenyezi Mungu sio Athumani, saivi nina Magari matatu BMW M5, CROWN, na VANGUARD na huwa napita kumsalimia anapofanyia kazi kuonesha kuwa Wakati wa mungu ni sahihi zaidi. Ila mapenzi bhana, saivi nina Magari anapaparika mnoo.
Tujifunze kuheshimu watu, Maana hatujui nani atakuja kuwa mlango wa Mafanikio Yetu
Ni ya wagai gaiSio ya kitanganyika eti?