Zee la Mandandu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 1,064
- 2,603
Wacha weeeee. Nyie wakusoma na kula kulala mnajifanyaga vidume kweli.Huyo ni dada yako au demu wako? Kama ni demu wako basi mpelekee moto tuu mana sisi wengine tunatafuta wanawake kama hao afu ww unakuja kulialia hapa.
Kwa hali hiyo mkitoa miaka 3 nipo pale,tena kwenye ndoa mkisha anza kuchokana mnaweza maliza hata week bila ku sex kazi unayo.ndo kwanza nimeoa mwaka huu
Nipo sana muhenga mwenzangu Kila nikiipata nafasi ya kuperuzi majukwaa mbalimbali ya jf huwa siachi kufuatilia comments zako nafurahi sana ππNlikumiss π€£π€£
duuh wiki mnalala kitanda kimojaKwa hali hiyo mkitoa miaka 3 nipo pale,tena kwenye ndoa mkisha anza kuchokana mnaweza maliza hata week bila ku sex kazi unayo.
πππhuyu hata achoke hawezi acha mjegejo[emoji23][emoji23] huyo mtafutie kaz afanye uhakikishe anafanya kaz haswa ili usiku akilala amelal na asubuhi ana amka mapema kwenda kazini ata Kwa wiki mbili au mwez na wew upumzike uku unamkusanyoa nguvu,, siku mkikutana ichape haswa Yani piga mpk uhakikishe imechanika chanika
kazi kwako dakitari wa akili!Hivi mleta mada una akili timamu kweli?
Yaani mkeo anataka umkung'ute mikunyubenga ya kutosha wewe unakuja kulalamika hapa!,Hivi kichwani zinakutosha kweli!?kazi kwako dakitari wa akili!
Nani aliwahi kufa kwa kufanya mapenzi sana. Kama nguvu zipo ww piga show tuuWacha weeeee. Nyie wakusoma na kula kulala mnajifanyaga vidume kweli.
Yaani utoke kwenye mahangaiko ikiwemo kuchimba madini, kufyetua tofali au shambani alafu uje nyumbani mwanamke naye anataka umfanye kila siku round 3 au 4. Kisa cha kufa mapema ni nini. We piga chako kimoja then lala kesho ukapambane. Inawezekana hao wote hawana shughuli za kufanya.
Shangazi em sema kweli? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aise napenda lakn kiasi,
Siku hizi na hivi vikoba naweza Kaa miez kibao sinahata mpango [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ivi unajua kuchoka brother Yani achoke kama kuruti wanavokua jeshini kipindi cha kozi akikaa dakika mbili chini usingizi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huyu hata achoke hawezi acha mjegejo
Kuna mtoto wa ma mkwe kanishikilia mnoo, yaan sifurukutiii, ila mie nipoo sana humu.Aah mkuu umepotele wapi?
Mwanangu kua uyaone. Samahani naomba kujua Umri na majukumu yako please? Nina watoto 4 na miaka 20+ kwenye ndoa. Ninafanya kazi ngumu na mahangaiko mengi. Ninajua nisemalo mkuu.Nani aliwahi kufa kwa kufanya mapenzi sana. Kama nguvu zipo ww piga show tuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee piga nyapu hiyo hadi itoe harufu ya mshikaki na ifuke moshiii.Nilikua sijui kama mpenda show hivi maana tulikua mbali kwa hali hii inaezekana nilikua naibiwa sana
Sawa mkuu π tusifike mbali nakuelewa mkuuMwanangu kua uyaone. Samahani naomba kujua Umri na majukumu yako please? Nina watoto 4 na miaka 20+ kwenye ndoa. Ninafanya kazi ngumu na mahangaiko mengi. Ninajua nisemalo mkuu.
Nilikutana na 19 years of age at the 28 years of age alinipeleka nilikuwa na mpango wa kuweka ndan lakin niliacha tu mtoto aenda roud nying per day utadhani ni UZI Gun
YaaniHiyo kitu sio ya kuifakamia[emoji3][emoji3][emoji3]