Mwanamke wastani wa miaka 25 hadi 29 bado ni Bikira

Unapigwa mkuu.

Mwanamke 25+ siyo tu hana bikra, bali huyo tayari kishazaa mtoto ama alimchoropoa akamtupa chooni au yuko hai katunzwa kwa bibi yake.

Bikra aliyo nayo ni bandia (ya ndimu, mkojo wa tembo, shabu, n.k)
Yani ungekua ndo umewasiliana nae
Anajiamini mpk anaapa. 😄😄nikawaza apa shida ipo
 
😍uko vizuri sana. Japo km ni mhenga inawezekana. Maisha ya maadili yalikuepo zamani kabla simu hazijaja mtaani. Pole kwa kutokupata mtu wa kwanza sahihi. Naamini sasaivi unaenjoy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…