Inabidi tujue na wewe upoje ili tukushauriMkuu maelezo niliyoweka hapo nadhani yapo very clear. Imagine ndio wewe sasa na yakupasa ufanye maamuzi kwa kuzingatia hiyo scenario, utafanyaje mkuu. ushauri wako ni muhimu sana
Mtu ana mtoto anakuaje mdogo?Bora huyo wa 2000. Bado mdogo akikua atatulia
Sio kila mwenye mtoto ni mtu mzima,kuna mtoto anazaa mtotoMtu ana mtoto anakuaje mdogo?
1. Tofauti ya umri kati ya kila mmoja na wewe ni miaka mingapi?Naomba ushauri wako kati ya hawa wanawake wawili yupi anaweza kuwa sahihi kwangu?
MWANAMKE WA KWANZA
Ana elimu ya darasa la saba lakini ni mjanja sana maana hata text za kiingereza anajua kusoma na kuandika baadhi ya maneno, amezaliwa 1988 (miaka 36), ana watoto wawili wote wa kike - sio watoto wangu.
Mrefu, mweupe, ana akili ya maisha, anafanya kazi private sekta, na mjasiria mali (anajishughulisha na ufugaji kuku), amepanga anaishi na mtoto huyo mdogo (2 years) na dada wa kazi. Ni msafi, anajipenda, anajua maisha, anaweza ku-plan maisha yake (so far ana kiwanja, na bati kanunua) kifupi ni hayo. Niliwahi kuwa na mahusiano nae hapo awali, baadae nilipotezana nae, nilipokuja kukutana nae ndio akawa na huyo mtoto. Wazazi wake wote wamefariki.
MWANAMKE WA PILI
Ana elimu ya form 4 (division 3 point 25), ni wa mwaka 2000, ana mtoto wa miaka 4 (mtoto wa kike), anaishi na babu na bibi yake - (kwa upande wa mama yake) kwa sababu baba na mama yake walishafariki. Mrefu wastani, maji ya kunde, hana akili ya maisha zaidi ya kujua kupika na kufua na yale mengine ya chumbani (chumbani ni wa moto), ni tegemezi kwa asilimia 100% hata ukimueleza kuhusu kufanya biashara au kumtafutia shughuli ya kufanya anasema yeye kwasasa anataka tu ku-enjoy maisha na kikubwa azae alee familia.
Kwa jinsi alivyo hana matumizi mazuri ya fedha kwa kile apewacho, sijui kama ni akili ya utoto au laaa.
Huyu wa 1988 na huyu wa 2000 tofauti yao ni miaka 12, kwa maana mmoja ni 36 years, na mmoja ni 24 years.
Naomba toa ushauri wako kuhusu mwelekeo wa nani kati ya hawa wawili anaweza kuwa mama bora wa familia.
Akina dada na wamama wa hapa JF, na nyie wanaume kulingana na uzoefu wenu wa maisha , TAFADHALI NAOMBA USHAURI WENU.
Vipi kama kaanza kubanduliwa akiwa na 14 years na akapata mimba, then anafika 17 years of age kitu na box kingine kinatinga kwa tumbo lake??Mtu ana mtoto anakuaje mdogo?
Naomba ushauri wako kati ya hawa wanawake wawili yupi anaweza kuwa sahihi kwangu?
MWANAMKE WA KWANZA
Ana elimu ya darasa la saba lakini ni mjanja sana maana hata text za kiingereza anajua kusoma na kuandika baadhi ya maneno, amezaliwa 1988 (miaka 36), ana watoto wawili wote wa kike - sio watoto wangu.
Mrefu, mweupe, ana akili ya maisha, anafanya kazi private sekta, na mjasiria mali (anajishughulisha na ufugaji kuku), amepanga anaishi na mtoto huyo mdogo (2 years) na dada wa kazi. Ni msafi, anajipenda, anajua maisha, anaweza ku-plan maisha yake (so far ana kiwanja, na bati kanunua) kifupi ni hayo. Niliwahi kuwa na mahusiano nae hapo awali, baadae nilipotezana nae, nilipokuja kukutana nae ndio akawa na huyo mtoto. Wazazi wake wote wamefariki.
MWANAMKE WA PILI
Ana elimu ya form 4 (division 3 point 25), ni wa mwaka 2000, ana mtoto wa miaka 4 (mtoto wa kike), anaishi na babu na bibi yake - (kwa upande wa mama yake) kwa sababu baba na mama yake walishafariki. Mrefu wastani, maji ya kunde, hana akili ya maisha zaidi ya kujua kupika na kufua na yale mengine ya chumbani (chumbani ni wa moto), ni tegemezi kwa asilimia 100% hata ukimueleza kuhusu kufanya biashara au kumtafutia shughuli ya kufanya anasema yeye kwasasa anataka tu ku-enjoy maisha na kikubwa azae alee familia.
Kwa jinsi alivyo hana matumizi mazuri ya fedha kwa kile apewacho, sijui kama ni akili ya utoto au laaa.
Huyu wa 1988 na huyu wa 2000 tofauti yao ni miaka 12, kwa maana mmoja ni 36 years, na mmoja ni 24 years.
Naomba toa ushauri wako kuhusu mwelekeo wa nani kati ya hawa wawili anaweza kuwa mama bora wa familia.
Akina dada na wamama wa hapa JF, na nyie wanaume kulingana na uzoefu wenu wa maisha , TAFADHALI NAOMBA USHAURI WENU.
Mtu akishabeba mimba na kujifungua,Vipi kama kaanza kubanduliwa akiwa na 14 years na akapata mimba, the anafika 17 kitu na box jingine?
Asante sana bro kwa mchango wako na muda wako. Umenifanyia analysis ambayo inatakiwa nitulie nayo kichwani1. Tofauti ya umri kati ya kila mmoja na wewe ni miaka mingapi?
2. Kwa mtazamo wangu, wa kwanza ni kama umemfagilia sana kiasi mimi kuona huyo ndo anakufaa. Lakini, ana watotot wawili, swali, amezaa na mwanaume mmoja watoto wote wawili au kila mmoja ana baba yake?
3. Kuhusu huyu wa pili ambaye ameamua yeye ni wa kuzaa tu na kufurahia maisha tena kwa 100% ya utegemezi toka kwako, naamini mtasumbuana sana.
Concl.
HAKUNA ANAYEKUFAA HAPO, SABABU ZANGU NI HIZI;
1. Mwenye watoto utakuja kusumbuana na wazazi/mzazi wa watoto wake. At least mtoto angekuwa mmoja, angalau. Wawili ni risk. Na nikuambia hatakuwa tayari kuwatenga watoto wake kisa wewe.
2. Mwenye kutaka kufurahia maisha, siku ukiishiwa utajuta kumfahamu. Hasa ukizingatia yeye hataki kujihusisha na namna yoyote ya utafutaji hela.
3. Mwenye watoto, anajiweza kiuchumi kwa 100%, hiyo itakutia inferiority complex in a way. Hakunaga mwanaume mwenye ujasili wa kupambana na mke mwenye pesa, elimu, madaraka au vyote vitatu huku mwanaume huna hata kimoja. Kifupi ukipitwa na mwanamke, utakuwa ni mtu wa kutafakali kila neno linalomtoka mdomoni. Na kila neno utalihusisha na uwezo wako kifedha.
Yalabi 😂mimi nimekiwasha kwa single mother wa watoto sita, mara 2 tu kaanza kulia eti ana ujauzito😭😭😭View attachment 3164399
Hivyo tena nini kijana, we mbona una ngangania kuingiza vocha iliyokwisha kwanguliwa unategema kuongeza salio kweli? Nunua vocha mpya ukwangue wewe, mbona mitandao mingi sana.hapana ndugu wapo wengi tu ila ndio hivyo tena
Utu uzima wa mtu hupimwa kwa umri wa muhusika, na si kwa muonekano.Mtu akishabeba mimba na kujifungua,
Mimi naona huyu ni mtu mzima tayari.
Single mother sijui tuliwakosea nini nyie wanaume hapa duniani.Hakuna mke hapo,tafuta ambaye hajazaa,kuhusu akili na hela mtatumia za kwako
Narudia usioe singo maza