Mwanamke yupi sahihi kati ya hawa wawili? USHAURI WAKO NI MUHIMU

Mkuu maelezo niliyoweka hapo nadhani yapo very clear. Imagine ndio wewe sasa na yakupasa ufanye maamuzi kwa kuzingatia hiyo scenario, utafanyaje mkuu. ushauri wako ni muhimu sana
Inabidi tujue na wewe upoje ili tukushauri
 
1. Tofauti ya umri kati ya kila mmoja na wewe ni miaka mingapi?

2. Kwa mtazamo wangu, wa kwanza ni kama umemfagilia sana kiasi cha mimi kuona huyo ndo anakufaa. Lakini, ana watoto wawili. Swali, hao watoto amezaa na mwanaume mmoja wote wawili au kila mmoja ana baba yake?

3. Kuhusu huyu wa pili ambaye ameamua yeye ni wa kuzaa tu na kufurahia maisha, tena kwa 100% ya utegemezi toka kwako, naamini mtasumbuana sana huko mbeleni.

Concl.
HAKUNA ANAYEKUFAA HAPO, SABABU ZANGU NI HIZI;

1.
Mwenye watoto utakuja kusumbuana na wazazi/mzazi wa watoto wake. At least mtoto angekuwa mmoja, angalau. Wawili ni risk. Na nakuambia, yeye hatakuwa tayari kuwatenga watoto wake kisa wewe.

2. Mwenye kutaka kufurahia maisha, siku ukiishiwa utajuta kumfahamu. Hasa ukizingatia yeye hataki kujihusisha na namna yoyote ya utafutaji hela.

3. Mwenye watoto, anajiweza kiuchumi kwa 100%, hiyo itakutia inferiority complex in a way. Hakunaga mwanaume mwenye ujasili wa kupambana na mke mwenye pesa, elimu, madaraka au vyote vitatu huku mwanaume huna hata kimoja katika hivyo. Kifupi ukipitwa na mwanamke, utakuwa ni mtu wa kutafakari kila neno linalomtoka mdomoni mwake. Na kila neno utalihusisha na uwezo wake au wako kifedha.
 

Kuna tusi nilitaka kukutukana lakini nimejizuia
 
Asante sana bro kwa mchango wako na muda wako. Umenifanyia analysis ambayo inatakiwa nitulie nayo kichwani
 
Wanawake wote ni sawa awe na PhD awe ni darasa la 7B. Ww cha kushukuru tu mwanamke awe msafi,asiwe mvivu, awe na heshima ajue kupika na ajue kuzungusha kiuno. Tofauti na hapo ww unachotafuta ni kitonga na kwaharaka haraka nikufahamishe hao viumbe hela zao zinabajet sana na ukiila utasimangwa hatare.

Bwana mdogo toka usingizini katafute hela uache upuuzi wa kuwaza kusaidiwa majukumu na mwanamke.
Mwanaume hutakiwi hata kuchukua ushauri kwa mwanamke,mwanamke ndo anatakiwa achukue ushauri kwako hapo utaiona heshima.

Huyo SINGO MAZA kakuzidi akili ndomaana anakuzuzua.Toka kimbia mbio katafute uliyemzidi akili, acha ujinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…