TypingError
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 293
- 313
Mwenye Ny*sh...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasema mna visirani na mnapasha sana na wazazi wenzenu. Wanaume wanaumia sana wakichapiwa nje!Single mother sijui tuliwakosea nini nyie wanaume hapa duniani.
Yawezekana hata wewe hawakuelewi hata kidogo, jichunguze mzee, mpaka sasa hakuna aliyekubali kukubebea mimba?Mkuu maelezo niliyoweka hapo nadhani yapo very clear. Imagine ndio wewe sasa na yakupasa ufanye maamuzi kwa kuzingatia hiyo scenario, utafanyaje mkuu. ushauri wako ni muhimu sana
mkuu naheshimu sana mawazo yako kama GT mwandamizi wa JF lakini naomba uthibitishe kwenye hili swala moyo unahusika?Sikiliza moyo wako mzee. Mwanamke kikubwa anakuheshimu,anakusikiliza,anaridhika na hali yako kiuchumi uliyo nayo kwa wakati husika, kikubwa kulivyo vyote HAKUSALITI NJE lakini pia kama sio mchoyo kwako.
Moyomkuu naheshimu sana mawazo yako kama GT mwandamizi wa JF lakini naomba uthibitishe kwenye hili swala moyo unahusika?
njoo na ushahidi
Kazi za moyo ni hiziView attachment 3165117
Jibu langu si la kisayansi lakini; moyo hubeba tafsiri ya hisia,upendo,hasira,huzuni,furaha n.k. Tafsiri hiyo inakuja kuonekana katika matokeo kwa nje,utaonekana au utajihisi kumpenda zaidi fulani kuliko fulani,yawezekana wote wakawa na sifa na vigezo sawa ila ukahisi kuwa unampenda zaidi fulani kuliko fulani au unamchukia zaidi fulani kuliko fulani na ni katika muktadha huo na mimi nimesema ausikilize moyo wake.mkuu naheshimu sana mawazo yako kama GT mwandamizi wa JF lakini naomba uthibitishe kwenye hili swala moyo unahusika?
njoo na ushahidi
Kazi za moyo ni hiziView attachment 3165117
Kama ashapenda huwezi kumshauri akaelewaWanawake wote ni sawa awe na PhD awe ni darasa la 7B. Ww cha kushukuru tu mwanamke awe msafi,asiwe mvivu, awe na heshima ajue kupika na ajue kuzungusha kiuno. Tofauti na hapo ww unachotafuta ni kitonga na kwaharaka haraka nikufahamishe hao viumbe hela zao zinabajet sana na ukiila utasimangwa hatare.
Bwana mdogo toka usingizini katafute hela uache upuuzi wa kuwaza kusaidiwa majukumu na mwanamke.
Mwanaume hutakiwi hata kuchukua ushauri kwa mwanamke,mwanamke ndo anatakiwa achukue ushauri kwako hapo utaiona heshima.
Huyo SINGO MAZA kakuzidi akili ndomaana anakuzuzua.Toka kimbia mbio katafute uliyemzidi akili, acha ujinga.
Nashaurika na ndio maana nimeleta hapa ili niweze kushaurika !Kama ashapenda huwezi kumshauri akaelewa
Wote ni single mother hawafai. Wewe una umri gani na unajishughulisha na nini?Naomba ushauri wako kati ya hawa wanawake wawili yupi anaweza kuwa sahihi kwangu?
MWANAMKE WA KWANZA
Ana elimu ya darasa la saba lakini ni mjanja sana maana hata text za kiingereza anajua kusoma na kuandika baadhi ya maneno, amezaliwa 1988 (miaka 36), ana watoto wawili wote wa kike - sio watoto wangu.
Mrefu, mweupe, ana akili ya maisha, anafanya kazi private sekta, na mjasiria mali (anajishughulisha na ufugaji kuku), amepanga anaishi na mtoto huyo mdogo (2 years) na dada wa kazi. Ni msafi, anajipenda, anajua maisha, anaweza ku-plan maisha yake (so far ana kiwanja, na bati kanunua) kifupi ni hayo. Niliwahi kuwa na mahusiano nae hapo awali, baadae nilipotezana nae, nilipokuja kukutana nae ndio akawa na huyo mtoto. Wazazi wake wote wamefariki.
MWANAMKE WA PILI
Ana elimu ya form 4 (division 3 point 25), ni wa mwaka 2000, ana mtoto wa miaka 4 (mtoto wa kike), anaishi na babu na bibi yake - (kwa upande wa mama yake) kwa sababu baba na mama yake walishafariki. Mrefu wastani, maji ya kunde, hana akili ya maisha zaidi ya kujua kupika na kufua na yale mengine ya chumbani (chumbani ni wa moto), ni tegemezi kwa asilimia 100% hata ukimueleza kuhusu kufanya biashara au kumtafutia shughuli ya kufanya anasema yeye kwasasa anataka tu ku-enjoy maisha na kikubwa azae alee familia.
Kwa jinsi alivyo hana matumizi mazuri ya fedha kwa kile apewacho, sijui kama ni akili ya utoto au laaa.
Huyu wa 1988 na huyu wa 2000 tofauti yao ni miaka 12, kwa maana mmoja ni 36 years, na mmoja ni 24 years.
Naomba toa ushauri wako kuhusu ot wa kati ya hawa wawili anaweza kuwa mama bora wa familia.
Akina dada na wamama wa hapa JF, na nyie wanaume kulingana na uzoefu wenu wa maisha , TAFADHALI NAOMBA USHAURI WENU.
🤣🤣🤣hebu tudiscuss hapo kwenye u.t.i.nani kamuambukiza mwenzie,?mimi nimekiwasha kwa single mother wa watoto sita, mara 2 tu kaanza kulia eti ana ujauzito😭😭😭View attachment 3164399
mwambie atoemimi nimekiwasha kwa single mother wa watoto sita, mara 2 tu kaanza kulia eti ana ujauzito😭😭😭View attachment 3164399
Kuna jamaa yangu alimpeleka ''single maza'' wake kwa wazazi. Baba yake akamwonya kwa kumwambia ''unayoaje mwanamke aliyezaa, huyo aliyemzalisha kwa nini hakumuoa?''. Jamaa akakaidi na kuoa. Walija achana kwani iligundulika baadae kuwa hakuwa ''single maza'' tu bali alikuwa ''double maza'' kwani alikuwa na mtoto mwingine akamficha na alikuwa jeuri kweli kweli ndiyo maana hakuweza kuishi na baba wa watoto aliozaa.Kabisaaa
Yeah aweke wazi pia cv yake tusije tukamshauri kuishi na mshangazi wakati yeye binafsi pengine ni mtoto wa 2000 wa kunyoa viduku na kucheza amapiano hapo ushauri wetu hautafanya kazi vizuriTupe na CV yako ili tukiwashe vizuri kwa Pande zote...
Kupasha lazima, sema tusizidishe sana.Wanasema mna visirani na mnapasha sana na wazazi wenzenu. Wanaume wanaumia sana wakichapiwa nje!