Mwanamke yupi sahihi kati ya hawa wawili? USHAURI WAKO NI MUHIMU

Sikiliza moyo wako mzee. Mwanamke kikubwa anakuheshimu,anakusikiliza,anaridhika na hali yako kiuchumi uliyo nayo kwa wakati husika, kikubwa kulivyo vyote HAKUSALITI NJE lakini pia kama sio mchoyo kwako.
 
Mkuu maelezo niliyoweka hapo nadhani yapo very clear. Imagine ndio wewe sasa na yakupasa ufanye maamuzi kwa kuzingatia hiyo scenario, utafanyaje mkuu. ushauri wako ni muhimu sana
Yawezekana hata wewe hawakuelewi hata kidogo, jichunguze mzee, mpaka sasa hakuna aliyekubali kukubebea mimba?
 
Sikiliza moyo wako mzee. Mwanamke kikubwa anakuheshimu,anakusikiliza,anaridhika na hali yako kiuchumi uliyo nayo kwa wakati husika, kikubwa kulivyo vyote HAKUSALITI NJE lakini pia kama sio mchoyo kwako.
mkuu naheshimu sana mawazo yako kama GT mwandamizi wa JF lakini naomba uthibitishe kwenye hili swala moyo unahusika?

njoo na ushahidi

Kazi za moyo ni hizi
 
mkuu naheshimu sana mawazo yako kama GT mwandamizi wa JF lakini naomba uthibitishe kwenye hili swala moyo unahusika?

njoo na ushahidi

Kazi za moyo ni hiziView attachment 3165117
Moyo
mkuu naheshimu sana mawazo yako kama GT mwandamizi wa JF lakini naomba uthibitishe kwenye hili swala moyo unahusika?

njoo na ushahidi

Kazi za moyo ni hiziView attachment 3165117
Jibu langu si la kisayansi lakini; moyo hubeba tafsiri ya hisia,upendo,hasira,huzuni,furaha n.k. Tafsiri hiyo inakuja kuonekana katika matokeo kwa nje,utaonekana au utajihisi kumpenda zaidi fulani kuliko fulani,yawezekana wote wakawa na sifa na vigezo sawa ila ukahisi kuwa unampenda zaidi fulani kuliko fulani au unamchukia zaidi fulani kuliko fulani na ni katika muktadha huo na mimi nimesema ausikilize moyo wake.
 
Kama ashapenda huwezi kumshauri akaelewa
 
Aisee duh.
Pole kwa kuwa njia panda. Ndoa ni kipindi Cha mwisho Cha maishabya mtu. Ufanye uamuzi wa busara sana. Aidha, kwa kukufahamisha tu kama shida yako ni watoto. Humu ndani kuna mabinti ambao wako tayari kuolewa na hawana watoto. Pia, kama shida yako ni kuwa na mahusiano ya nyuma humu ndani na hata nje ya hapa wapo mabinti ambao hawajatumika kabisa. Fata moyo wako unataka nini.
 
Wote ni single mother hawafai. Wewe una umri gani na unajishughulisha na nini?
 
Usioe Ila wasaidie wape mtaji ili waendelee na maisha yao
 
Kuna jamaa yangu alimpeleka ''single maza'' wake kwa wazazi. Baba yake akamwonya kwa kumwambia ''unayoaje mwanamke aliyezaa, huyo aliyemzalisha kwa nini hakumuoa?''. Jamaa akakaidi na kuoa. Walija achana kwani iligundulika baadae kuwa hakuwa ''single maza'' tu bali alikuwa ''double maza'' kwani alikuwa na mtoto mwingine akamficha na alikuwa jeuri kweli kweli ndiyo maana hakuweza kuishi na baba wa watoto aliozaa.
 
Mkuu kwamba nyota yako imewaka kwa wanawake walozalishwa pekee?

Usitake kuanza mechi huku agrigeti inakubana namna hiyo utaumia sana
 
Tupe na CV yako ili tukiwashe vizuri kwa Pande zote...
Yeah aweke wazi pia cv yake tusije tukamshauri kuishi na mshangazi wakati yeye binafsi pengine ni mtoto wa 2000 wa kunyoa viduku na kucheza amapiano hapo ushauri wetu hautafanya kazi vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…