TANZIA Mwanamuziki mkongwe wa Soukous, Aurlus Mabele afariki dunia. Coronavirus yahusishwa

TANZIA Mwanamuziki mkongwe wa Soukous, Aurlus Mabele afariki dunia. Coronavirus yahusishwa

Kwa wahenga naamini mtakuwa mnamkumbuka Aurlus Mabele mwanamziki mahiri wa kongo Brazzaville [emoji1077].

Leo hii 20-02-2020 amefariki akiwa huko nchini Ufaransa akiwa na umri wa miaka 67.Amekuwa akiugua kwa kipindi kirefu ugonjwa wa kupooza na corona imemkuta akiwa bado yu mgonjwa hivyo kuondoa kirahisi nguri huyo wa soukous.

In God we Trust
Tukome kukimbia nchi zetu; angekuwa Congo angekunywa Mwarobaini au dawa nyingine za magamba ya miti
 
Kwa mujib wa haya maelezo kifo chake kina ukakasi kidogo, hauwezi kukihusianisha moja kwa moja na Corona.

Bado ntaendelea kuwa wa mwisho kuamini Corona itaua mwafrika. Tuendelee kuchukua tahadhari na kuzingatia tahadhari zote. Huu ugonjwa una athari kijamii, kiuchumi na kisiasa.
 
Kwa wahenga naamini mtakuwa mnamkumbuka Aurlus Mabele mwanamziki mahiri wa kongo Brazzaville [emoji1077].

Leo hii 20-02-2020 amefariki akiwa huko nchini Ufaransa akiwa na umri wa miaka 67.Amekuwa akiugua kwa kipindi kirefu ugonjwa wa kupooza na corona imemkuta akiwa bado yu mgonjwa hivyo kuondoa kirahisi nguri huyo wa soukous.

In God we Trust
Congo DR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh..Huyu mwamba alipotea sana miaka ya hapa kati. Toka atoe vile vibao vyake hatari kama evelline, stop artezz ile 1990s alipotea mazima..kuna miaka ya 2000s nilimuona ila hakuwa yuleyule tena alikuwa ameongeza uzito kinyama.

Rip mwamba, msalimie Jean Ballon

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo habari ni kwa mujibu wa kituo cha radio Jambo nchini Kenya [emoji1139] leo asubuhi
Kwa mujib wa haya maelezo kifo chake kina ukakasi kidogo, hauwezi kukihusianisha moja kwa moja na Corona.

Bado ntaendelea kuwa wa mwisho kuamini Corona itaua mwafrika. Tuendelee kuchukua tahadhari na kuzingatia tahadhari zote. Huu ugonjwa una athari kijamii, kiuchumi na kisiasa.

In God we Trust
 
Kwa mujib wa haya maelezo kifo chake kina ukakasi kidogo, hauwezi kukihusianisha moja kwa moja na Corona.

Bado ntaendelea kuwa wa mwisho kuamini Corona itaua mwafrika. Tuendelee kuchukua tahadhari na kuzingatia tahadhari zote. Huu ugonjwa una athari kijamii, kiuchumi na kisiasa.
Tuko pamoja ktk hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anafutaje wakati kuna chanzo? Source ya hii taarifa ni RADIO JAMBO YA KENYA leo hii asubuhi
@Mods, kama asemayo huyu mdau ni ya kweli, do the needful na kufuta huu upotoshaji....

In God we Trust
 
Back
Top Bottom