Course Coordinator
JF-Expert Member
- Jul 27, 2019
- 1,742
- 3,224
Sio kwa Corona umeongeza chumvi kwenye uzi wako...Amefariki kwa Stroke.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukome kukimbia nchi zetu; angekuwa Congo angekunywa Mwarobaini au dawa nyingine za magamba ya mitiKwa wahenga naamini mtakuwa mnamkumbuka Aurlus Mabele mwanamziki mahiri wa kongo Brazzaville [emoji1077].
Leo hii 20-02-2020 amefariki akiwa huko nchini Ufaransa akiwa na umri wa miaka 67.Amekuwa akiugua kwa kipindi kirefu ugonjwa wa kupooza na corona imemkuta akiwa bado yu mgonjwa hivyo kuondoa kirahisi nguri huyo wa soukous.
In God we Trust
Loketo
Lukasa ya Mbongo
R.I.P
Sio kwa Corona umeongeza chumvi kwenye uzi wako...Amefariki kwa Stroke.
R.I.P legendary ..you will always be remembered...
Huyo ni kamanda wa ufipa kuongeza chumvi ni sehemu ya majukumu yake!Sio kwa Corona umeongeza chumvi kwenye uzi wako...Amefariki kwa Stroke.
RIP ILA SIO KORONA ILIYOMUONDOA
Huyo ni kamanda wa ufipa kuongeza chumvi ni sehemu ya majukumu yake!
Congo DRKwa wahenga naamini mtakuwa mnamkumbuka Aurlus Mabele mwanamziki mahiri wa kongo Brazzaville [emoji1077].
Leo hii 20-02-2020 amefariki akiwa huko nchini Ufaransa akiwa na umri wa miaka 67.Amekuwa akiugua kwa kipindi kirefu ugonjwa wa kupooza na corona imemkuta akiwa bado yu mgonjwa hivyo kuondoa kirahisi nguri huyo wa soukous.
In God we Trust
Kwa mujib wa haya maelezo kifo chake kina ukakasi kidogo, hauwezi kukihusianisha moja kwa moja na Corona.
Bado ntaendelea kuwa wa mwisho kuamini Corona itaua mwafrika. Tuendelee kuchukua tahadhari na kuzingatia tahadhari zote. Huu ugonjwa una athari kijamii, kiuchumi na kisiasa.
@Moderators, kama asemayo huyu mdau ni ya kweli, do the needful na kufuta huu upotoshaji....Sio kwa Corona umeongeza chumvi kwenye uzi wako...Amefariki kwa Stroke.
Tuko pamoja ktk hili.Kwa mujib wa haya maelezo kifo chake kina ukakasi kidogo, hauwezi kukihusianisha moja kwa moja na Corona.
Bado ntaendelea kuwa wa mwisho kuamini Corona itaua mwafrika. Tuendelee kuchukua tahadhari na kuzingatia tahadhari zote. Huu ugonjwa una athari kijamii, kiuchumi na kisiasa.
@Mods, kama asemayo huyu mdau ni ya kweli, do the needful na kufuta huu upotoshaji....