Mwanamuziki Robert Kelly (R. Kelly) afungwa kifungo cha miaka 30 jela

Ukiwazingua freemason ni lazima wakuzingue.tupac,BIG small, michael jackson,dmx,left eye,kobe bryant,bob marley,and moore.
Hela ya shetani haiendi bure.
Were Bob Marley and Kobe the ones of them?
 

Kwa hiyo wanasheria wake Kelly wameshindwa kumtetea,aonewe ili iweje
 
Sheria za Us zingeletwa bongo na viongozi wakabadilishwa nakuambia wanaume robo tatu wangeenda jela wangebaki robo tu ndio watakatifu
Umetumia utafiti upi kusema ni robo tatu wangeenda jela na siyo robo?
 
Sure....LABDA ukiingia unapewa masharti ikiwamo kuwa sodomize watoto na wakubwa na huku ukirekodiwa kisiri Ili ukiwageuka wapate kukupiga kisheria...bora hilo la kufungwa kuliko adhabu ya kuuawa....wazee misuti sio watu wazuri
True hata hapa nchini pana watumishi feki wa Mungu Wana maagano ya kufanya ngono na watoto Ili kupata nguvu za kiroho ikiwemo kutenda miujiza feki.
Ngono ni ibada na ni kafara pia kwao thus wanamuziki wote maarufu wakubwa ni lazima wavae uchi au kuonyesha viungo vyao kwenye public unaweza ukadhani ni bahati mbaya kumbe ni maelekezo, Ili wazidi kuwa maarufu, ikiwemo kuvaa milegezo hii ni sign ya kupromote ushoga, kuacha vifua wazi, kuonyesha nguo za ndani,kuimba matusi, nk zote ni behind the scenes.
 
Sii wangemuacha tu alipe malimbikizi ya kodi zake kuliko kumuhujumu hivi...
 
Deep deep kiongozi.....yaaan hakuna hata ushahidi wa maana zaidi ya blah blah mimi hizi kesi nilikkuwa nazifatilia, ni ana ugomvi na nani sijui kaamua kumchoma hivi jamaa[emoji848]

Nasikia kawekewa security ya kufa mtu maana anataka kujiua?
 
Hivi ni nani yuko nyuma ya hii saga
 
Niseme tu pole yake, lakini pia niseme kwa pande zote sio jepesi. Hebu fikiria Binti yako wa under 18 alikuwa analiwa mbususu na kijeba ungefill vipi? Lakini pia wazia R Kell angekuwa ndugu yako na kala hizo mvua 30 ungejisikiaje? Ila wenzetu huko wako serious sana, mbususu ililiwa takribani miaka 15 huko lakini leo mtu anahukumiwa lakini hapa bongo mtu anampa mimba mwanafunzi kesi inaenda polisi mtuhumiwa anakimbilia mkoa mwingine anajificha tu hapo mwaka mmoja anarudi na kesi ilishasahaulika anaendelea kudunda tu kitaa.
 
Ni vile tu nchi yetu haina taasisi imara kupambana na watu aina hii ta R Kelly,, wanaume wengi wana tabia chafu,,mfano wa mtu km huyu yupo ktk familia mtu mzima ila ana unyama mwingi wa matukio ya kingono, na sipatani nae kabisa mfano ikitokea leo tunabumbulua ya nyuma na ushahidi ukatolewa wapo watu watabisha hata wakati matukio yanafanyika, wapo walioyafumba fumba kuficha aibu,,

Kwahiyo wanaomtetea huyu mtu sababu ya uafrika mnakosea mteteeni pasipo kuhusisha rangi yake ya ngozi,,

Kuna makala niliisoma kuwa kati ya wanawake 3 basi 2 walishanyanyaswa kingono na wanyanyasaji ni wanaume,, so msemo wa Dinazarde zaidi ya nusu ya wanaume wataozea jela endapo haya yakichukuliwa hatua za kisheria
 
Kabisa wanaume wengi wana tabia za ajabu wachache sana ndio waadilifu
 
OMG! So, it means no one can strive and be a rich or powerful in this world with no being the one of them?
Not yet,you can be rich without sale your soul to bustard systems.
 
Nafurahi kuwa miongoni mwa wanaume wachache ambao hawataozea jela.
 
Mtu kuamini Freemasons is another Idiot
Everything is hidden
 
Deep deep kiongozi.....yaaan hakuna hata ushahidi wa maana zaidi ya blah blah mimi hizi kesi nilikkuwa nazifatilia, ni ana ugomvi na nani sijui kaamua kumchoma hivi jamaa[emoji848]

Nasikia kawekewa security ya kufa mtu maana anataka kujiua?

Hapana hataki kujiuwa wala hakuwaza kujiuwa
Na yeye amesema wala hajafikiria kujiuwa ila wanamdhalilisha tu

Unajua ukiisha onekana unataka kujiuwa, unavuliwa nguo zote na kupewa za karatasi [emoji23] ili usijinyonge na nguo zako
Hapo ni udhalilishaji wa pili na wa kwanza unatengwa na kufungwa peke yako ili uzidi kuchanganyikiwa

Halafu hii ndio kali huwezi kupewa chakula kwenye sahani zozote na hata kijiko wala uma maana utajidhuru navyo

Hawa watu wakitaka kukuuwa kwa msongo utaondoka mwenyewe
Sasa anataka kufungua kesi kwa kusingiziwa kutaka kujiuwa daaa

Haya mambo yao hawa ni kiboko na sisi tunasoma tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…