Thus kapewa kesi baada ya kutaka kujitoa kwenye systems kwa makosa ya miaka ya nyuma.Ndo ivo mkuu japo naamini sheria ni msumeno ila sio kwa watu wenye ukwasi na umaarufu.
Huyu jamaa kuna mahali alikanyaga nya tu si bure.
Mzee unavuta ndumu gani?Ukiwazingua freemason ni lazima wakuzingue.tupac,BIG small, michael jackson,dmx,left eye,kobe bryant,bob marley,and moore.
Hela ya shetani haiendi bure.
Ndumu ndo niniMzee unavuta ndumu gani?
Ukiingia mkataba wa kufanya Kazi na freemason utakiwi kujitoa ukijifanya kujitoa wanakunyoosha.Yaan kuwazingua? Ugomvi wao ninini?
Jamaa kwa umaalufu wake ameshakula za wale wazee 50+, akaja wale wa 40+, 30+, 25+, akala sana Slay queens wa Under 20. Sasa akaona ahamie under 18 aendele kuchimba dhahabu.
Mwanamuziki wa Marekani, R. Kelly leo amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la Sex Trafficking
---
Mwanamuziki wa Marekani wa miondoko ya R&B Robert Kelly amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa unyanyasaji wa kingono kwa wanawake na mabinti wadogo.
R. Kelly amepatikana na hatia za kulazimisha, kushawishi na usafirishaji wa kingono wa binti aliyekuwa chini ya miaka 18.
Tuhuma za uhalifu wa kingono wa Kelly ulijulikana kwa umma baada ya vuguvugu la #MeToo kuanza mnamo 2017. Hatimaye Kelly alikamatwa na Februari 2019 kwa madai ya unyanyasaji wa kingono uliokithiri.
===
R&B star R. Kelly was sentenced to 30 years in prison on Wednesday for charges related to nearly 30 years’ worth of allegations that he physically and sexually abused women and minors.
His 2021 trial was one of the most high-profile cases to spring from the #MeToo movement. It is also one of the most prominent cases in which the victims were mostly Black women.
Prosecutors had asked for a 25-year sentence while Kelly’s defense team had argued for 14 to 17½ years.
“The public has to be protected from behaviors like this,” Judge Ann M. Donnelly said as she delivered Kelly’s sentence, according to media reports.
“These crimes were calculated and carefully planned and regularly executed for almost 25 years.”
Last year, a jury in the U.S. District Court in Brooklyn found Kelly, 55, guilty of one count of racketeering and eight violations of the Mann Act, a law created to curb sex trafficking across state lines.
Kelly’s racketeering conviction included 14 underlying acts. Witnesses, for example, testified that the ’90s hitmaker fraudulently married R&B singer Aaliyah, who was 15 and believed to be pregnant at the time, by bribing a government official to give her a fake ID that claimed she was an adult.
Kelly did this to protect himself legally while he sexually abused Aaliyah, starting when she was 12 or 13 years old, according to prosecutors. She died in a plane crash at 22 years old.
As R. Kelly's career flourished, an industry overlooked allegations of abusive behavior toward young women
He was also convicted of traveling across state lines for illegal sexual activity, coercion and enticement, and transportation of a minor.
Utaila watu wa nje wanaona unakula raha lakini mateso yake kama sio leo basi utayalipa kesho.Ukiwazingua freemason ni lazima wakuzingue.tupac,BIG small, michael jackson,dmx,left eye,kobe bryant,bob marley,and moore.
Hela ya shetani haiendi bure.
Unakula bata duniani kwa mda uliokula punje then maisha yote yaliyobaki unaenda kuteseka kuzimu.Utaila watu wa nje wanaona unakula raha lakini mateso yake kama sio leo basi utayalipa kesho.
Mkuu usishie kusema tu wayahudi bali malizia na neno feki, ili isomeke vizury wayahudi feki.Hollywood imeanzishwa na Wayahudi mazayuni ambao ni illuminati kama center ya kusambaza ideology za kishetani
Vipi unafahamu kutumia too inaitwa google.com ?Nambie mtu mweupe Maarufu aliepewa hiyo kesi akafungwaaaa...???
Mazayuni ni mayahudi feki,ambao ndio illuminati.Mkuu usishie kusema tu wayahudi bali malizia na neno feki, ili isomeke vizury wayahudi feki.
On his side the storm has just startedDah! Manigga Kelly! The storm is over!
Sukuma gang nani atampa urais? Tanzania haiwezi kurudia kosa tena, Jiwe alitupa fundishoAkirudi mtaani pipi moja itakuwa tsh 4000 na sukari kilo moja itakuwa laki tatu na nusu, kwa lugha nyepesi jamaa anarudi uraiani anakuta hadi Humphrey Polepole amemaliza term yake ya pili ya urais.
Una roho mbaya kisa ni mgalatia. Angekuwa reject Tyson usingecomment hivi.
Mkuu kwenye kubaka hapo sijakuelewa [emoji849][emoji849][emoji848][emoji848][emoji1745]
Hao Malaya si wazazi wao waliwaleta kwake? Kwani Walilazimishwa?
Kuhusu kuangalia images za watoto wakiwa uchi bila kuwafanyia vibaya shida iko wapi?
Halafu hizi kesi kwa blacks zinafanana sana recall MJ na case zake za molestation wakati hata jamaa alikuwa hadindishi[emoji1745][emoji849]...badae wanasema hana hatia while too late wamempa depression ya kufa mtu , hatimae akafa...
Hata hii ya R.Kelly lazima kuna madudu tu , hii case haijanyooka
Unajua hili la RK limeanza zamani sana nafikiri tulianza kujua 2007
Alikuwa anawalaghai wasichana wadogo na kuwapeleka kwenye locations tofauti tofauti na kuwa abuse
Kweli alikuwa na masharti yake akiyaita Rob’s Rules ukikiuka anabaka anawafanya anavyojua yeye na kuwaadhibu haswa
Wengi walikuwa ni Blacks na mostly underage girl and boys
Kuhusu picha za watoto wadogo wakiwa uchi
Hili linakera sana
Binadamu wengine huwa wanafanya na kupenda mambo ya ajabu sana kama jirani zetu wao wamevunja rekodi kwa kutembea na wanyama Na hata kuku
Hivi kweli kama kwa mfano unamkuta baba zima linamuangalia mtoto wa miaka mitatu uchi wake utafanya nini
Sasa hili halina tofauti na ku download picha za uchi za watoto wadogo tena infants
Kuna mda fulani walikamatwa hapa [emoji636] watu 2 mwanamke na mwanaume wakijifanya wauguzi toka hospitali wakifuatilia wanawake wenye watoto wachanga mpaka wajue wanaishi wapi
Halafu wanaenda ku visit wanajitambulisha kuwa wanapeleleza kama watoto wamekuwa abused
Wanaomba picha kama wakiwa wanaogeshwa au hata kuwaambia Kina mama wawavue nguo watoto ili waangalie majeraha
Lakini hawaishii hapo wanaomba kupiga na picha watoto wakiwa uchi eti zikachunguzwe kwa umakini kama kuna majeraha yaliyopona
Baada ya hapo wanaziuza kwenye mitandao na wapo washenzi kama hawa ndio wana download hizo picha
Ila hao wawili walikamatwa baada ya kushtukiwa wanachofanya
Kelly he’s guilty as sin na anastahili kifungo
Tena wanaweza kumuuwa jela just wait
Nilikuwa napenda sana nyimbo zake ila kwa aliyoyafanya ni mabaya sana na binadamu anaweza kufika mbali kwa fantasy