Mwananchi aliyefiwa mtoto wake Muhimbili adaiwa kutakiwa kulipia Tsh. 10,695,000 ili kuikomboa maiti

Mwananchi aliyefiwa mtoto wake Muhimbili adaiwa kutakiwa kulipia Tsh. 10,695,000 ili kuikomboa maiti

Mkuu shida Nini kwenye hiyo kauli? Unaniniita zuzu kisa kusema tutafuteni Hela Mzee. Well ubarikiwe.
Wewe una shida mbili: kwanza umeshindwa kujua kwamba kila siku serikali inasema, tena bungeni ni marufuku mwili wa marehemu kuzuiwa kwa kisingizio cha deni, lakini wewe hiki kinachofanyika umeona ni sawa tuuu. Pili unapomwambia atafute pesa ni wewe uliyemsaidia kutafuta pesa ya kumuuguza mgonjwa wake hospittalini mpaka akafariki? Je unajua mpaka mgonjwa anafariki ametumia sh ngapi hospitalini kabla ya wewe kuja na kejeli zako za kijinga??

Mwisho ukiona mtanzania anamwambia mwenzake tafuta pesa jua ni zuzu kwa sababu hujui maisha ya huyo unayemwambia tafuta pesa zaidi ya kumuona akiposti mtandaoni. Siyo kila mtu anayepata pesa huwa anapita nazo mtaani kuwaonyesha kama anazo.
 
Wewe una shida mbili: kwanza umeshindwa kujua kwamba kila siku serikali inasema, tena bungeni ni marufuku mwili wa marehemu kuzuiwa kwa kisingizio cha deni, lakini wewe hiki kinachofanyika umeona ni sawa tuuu. Pili unapomwambia atafute pesa ni wewe uliyemsaidia kutafuta pesa ya kumuuguza mgonjwa wake hospittalini mpaka akafariki? Je unajua mpaka mgonjwa anafariki ametumia sh ngapi hospitalini kabla ya wewe kuja na kejeli zako za kijinga??

Mwisho ukiona mtanzania anamwambia mwenzake tafuta pesa jua ni zuzu kwa sababu hujui maisha ya huyo unayemwambia tafuta pesa zaidi ya kumuona akiposti mtandaoni. Siyo kila mtu anayepata pesa huwa anapita nazo mtaani kuwaonyesha kama anazo.
Nimesema tutafuteni Hela, Sasa mjomba kuwa serious ni wapi Sheria imetamka maiti isizuiwe?. Chief kuwa serious achana na maneno ya wanasiasa tupambane kujiimarisha kiuchumi tuepukane na adha hizi. Jioni njema.
 
Nimesema tutafuteni Hela, Sasa mjomba kuwa serious ni wapi Sheria imetamka maiti isizuiwe?. Chief kuwa serious achana na maneno ya wanasiasa tupambane kujiimarisha kiuchumi tuepukane na adha hizi. Jioni njema.
Na mimi nimekujibu kwamba watu wote hapa Tanzania wanaofanya maisha yao ni wewe uliwaambia watafute pesa?? Achana ha hizi kauli za reja reja za mtaani ndugu yangu kwani mwenye pesa hawezi kuja inbox kukuambia tayari nimejipata.

Wewew kuniambia mimi niachane na wanasiasa ndiye unapaswa uwe seriuos, hivi unajuaje kama mimi siyo mwanasiasa? Unanifahamu kwani?
 
Nadhani anachodaiwa sio gharama za 'kukomboa maiti' kama unavyodai ila ni gharama za matibabu alizopata akiwa anatibiwa. Kama unaona hastahili kudaiwa basi ata wagonjwa wanaokuwa wamelipa gharama za matibabu na ikatokea wakafariki basi nao ungependekeza wawe wanarudishiwa pesa wanazolipa. Binafsi naona Muhimbili wamejali uhai kwanza na ndio maana waliendelea kutoa huduma bila kujali deni limefikia kiasi gani. Kama ni kweli wahusika hawana uwezo wa kulipa kuna utaratibu mzuri tu wa kufuata ili jambo lao lifanyiwe kazi
Shida ni kwamba waweza kuta utaratibu upo ila hauwekwi wazi kwakua wanaojua utaratibu upo wanalenga kuipiga pesa ikitolewa nzima.

Pili, ni sahihi zaidi wakimpa mgonjwa options za huduma ili ajue nini kinafuata kwa mgonjwa ama akipona ama akifariki. Nimeona kuna mtu kaandika kitanda 50K per day. Why? Ilikua ni private ward au vipi? Kama ni ndiyo kwanini mzazi asingeambiwa?
 
Umesoma thread hadi mwisho? Umeelewa?

Tunajadili sera ya afya na huduma za afya ya serikali ya CCM kwa kutumia scenario ya ndugu huyu na maiti yake kuzuiliwa.

Umeipata point yangu? Umeelewa sasa?

Haya twende kazi. Leta hoja yako wajumbe wakusome
Point yako ni ipi? Kwamba kwakuwa alifariki usilipe?
 
Tukate bima za afya kuliko kuanza ilaumu Serikali
 
Probably, YES.

Lakini wameshindwa kuokoa uhai wa mtoto huyu, amefariki na kazi ya hospitali/madaktari ni kuokoa uhai.

Ktk scenario hii, wanapata wapi uhalali wa kudai bill ya matibabu? Wametibu nini?

Hapa kwa kuwa uhai hayupo na badala yake ipo mati, there's no way utasema hii ni bill ya matibabu. Usahihi ni kuwa, hii ni bill ya kugomboa maiti!
Kwa hichi ulichokiandika, hakuna sababu ya kuendelea kujadiliana na wewe. Tayari una perception yako iliyojaa judgement ndani yake. Ila in humanity, hospitali walijali utu kabla ya pesa. Kama bill ya matibabu imewashinda, fuateni utaratibu wa kulimaliza swala hilo kwa kufata taratibu husika.
 
Nisiseme mengi, mimi nimeleta humu Ili kuibua mjadala wa Sera ya Afya ya CCM na makandokando yake katika sekta na huduma za kiafya hapa nchini.

Hayo chini ndio maelezo ya ushuhuda wake aliyotuma kwa wanagrupu wenzake kule WhatsApp ili wamsaidie kumchangia pesa aweze kugomboa maiti wake ili akazike. Nimekopi na kupesti kama yalivyo. Nimeondoa majina yake na ya maiti wake kwa kuwa sikupata idhini yake kuposti kama ilivyo.

Ufafanuzi na utambulisho wa BABA Mfiwa

"..Tunasikitika kuwataarifu kuwa tumepata msiba wa mtoto, amefia Muhimbili ICU baada ya kukaa toka 11th May, 2024 na kufa 11th June, 2024 jioni.

"Ni binti wa....... (ni kijana wa kaka yetu......... kijana wa mama mdogo wa...........).

"Alikuwa ndiye anamtunza sana Mzee pale Kong'ongo hadi Mzee alipofariki, anaishi hapo hapo na MSIBA UKO HAPO HAPO. Inawezekana maziko yakawa leo tarehe 13 saa 10 jioni kama tukifanikiwa kupewa maiti Muhimbili.

Kikwazo ni Bill ambayo million 10,695,000/=. Wametupunguzia 2,000,000/= Muhimbili hospitali.

Deni tunalodaiwa ni Tsh. 8,695,000/= Ili turuhusiwe kuitoa maiti mochwari. Tumelia sana lakini wanataka tutafute 3,000,000/= kama advance kwa sasa ili watupatie mwili kwenda kuzika.

Wametuambia pia tuache kadi ya NIDA ya baba wa mtoto (marehemu). Balance itakayobaki tumeambiwa tutalipa polepole.

Ahsanteni sana."


Why is this?
Hiyo 10m ni pesa ya kununua goli Moja cc Sa100.
 
Zuzu mwingine huyu hapa...
Jambo jema ungetueleza ni vipi aliyefariki hadaiwi anadaiwa asiyefariki kwa huduma ambayo hospitali haikumpa! Je, ambao hawana ndugu nani anadaiwa? Na unadaiwa nini wakati mgonjwa alilipia gharama za tiba! Kosa ni kufia hospitalini! Hiyo kwa kifupi ni kodi ya kifo.
 
Mimi ningewaachia hiyo maiti wanisaidie kuzika, na hata mimi nikifa wakakaza niacheni tu haiwezekani Engineer aangushe ghorofa kisha adai malipo tena makubwa kiasi iko.
Kifo ni kifo na Maziko ni maziko tu, Ukoo urelax.
 
Back
Top Bottom