Mwananchi: Aliyemtishia Nape bastola ni miongoni mwa wanaoshikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya mfanyabiashara Mtwara

Mwananchi: Aliyemtishia Nape bastola ni miongoni mwa wanaoshikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya mfanyabiashara Mtwara

Dunia inazunguka kwa kasi.

Askari huyu, tarehe 23.3.2017 alimtishia Nape Nnauye bastola asiongee na waandishi wa habari baada ya kutumbuliwa na Rais Magufuli kwa sakata la Makonda kuvamia Clouds FM usiku.

Leo hii ni miongoni mwa maaskari waliokamatwa kwa tuhuma za mauaji mfanyabiashara mkoani Mtwara, Mussa Mussa kijana aliyekuwa anajitafutia maisha yake.

Sirro na Makonda walijua Mtwara ni mkoa wa kusadikika wakimficha mtu wao huko hatajulikana kama ambavyo tuliaminishwa kuwa hafanyi kazi Jeshi la Polisi.

Askari huyu wa Sirro ni ndugu Gilbert Kalanje na anashikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya mfanyabiashara wa madini mkoani Mtwara

Pia soma:

Nape Nnauye atishishiwa Bastola na kusukumizwa kwenye gari


View attachment 2098004
Gazeti la mwananchi la leo tarehe 28.1.202

Wasiojulikana wanaendelea kujulikana.

View attachment 2097971
Askari wa Sirro akiwa na bastola na pingu mwaka 2017.


View attachment 2097979
View attachment 2098356
Kwani huyu anayesoma gazeti hili la mwananchi anasemaje? Maana nadhani ndiye aliyehusika kumsukuma na kumwachanisha na Nape?
 
Kwa mfumo huo bora hata mgambo wa akiba wapewe mafunzo ya muda mfupimfupi wachukue Polisi Service. Police Force imejihalalishia kinyume na PGO.

Makamu wa Rais anasema tumechoka, nini maana yake.
Serikali ya Samia na Magufuli zote naona zinaanza kuwa sawa.
Utekaji umeanza
Polisi wameanza kubambikia watu kesi
 
Hivi kwa nini Siro anatumika sana kwenye uongo? Tukio la MO yeye ndo alidanganya Umma kwa kuleta picha za kawaida kusema ni za CCTV camera, ili la Nape nalo akadanganya kumbe bado ni askari, limekuja la Mbowe kaja kwenye camera anatoa na macho kua Kuna ushahid wa kutosha kua mbowe ni gaidi afu ushahidi wake ni huu tunao usikia. Huyu Siro inawezekana ana maovu mengi ndo inakua rahisi kutumika na waovu
Siro ni toothless
Ujue pia IQ yake ndogo anaendeshwa sana na watawala
 
Dunia inazunguka kwa kasi.

Askari huyu, tarehe 23.3.2017 alimtishia Nape Nnauye bastola asiongee na waandishi wa habari baada ya kutumbuliwa na Rais Magufuli kwa sakata la Makonda kuvamia Clouds FM usiku.

Leo hii ni miongoni mwa maaskari waliokamatwa kwa tuhuma za mauaji mfanyabiashara mkoani Mtwara, Mussa Mussa kijana aliyekuwa anajitafutia maisha yake.

Sirro na Makonda walijua Mtwara ni mkoa wa kusadikika wakimficha mtu wao huko hatajulikana kama ambavyo tuliaminishwa kuwa hafanyi kazi Jeshi la Polisi.

Askari huyu wa Sirro ni ndugu Gilbert Kalanje na anashikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya mfanyabiashara wa madini mkoani Mtwara

Pia soma:

Nape Nnauye atishishiwa Bastola na kusukumizwa kwenye gari


View attachment 2098004
Gazeti la mwananchi la leo tarehe 28.1.202

Wasiojulikana wanaendelea kujulikana.

View attachment 2097971
Askari wa Sirro akiwa na bastola na pingu mwaka 2017.


View attachment 2097979
View attachment 2098356

Mwigulu: Sikusema aliyemtishia Nape si Askari bali nilisema si Polisi; ni askari wa Idara nyingine​

 
Unafanya maovu makusudi ili ukatubu? Wacha kujijaza UJINGA hapa! Hata hivyo kutubu SI kusamehemwa mpaka muumba mwenyewe akusamehe.

Watu kama Hitler, Iddi Amin, Mobutu, Mussolini, Magufuli hata wakitubu, ni vigumu kusamehewa
Unge kuwa Mungu tungekoma.

Tukengukwa tunatoka loji ama guest unatupiga kipigo kitakatifu.
 
Walimuua Yesu akawaombea Msamaha.

Kwani una uhakika Magufuli aliua mtu?
Ukikua utaelewa.Huwezi ukafanya dhambi za kujirudia rudia tena kwa makusudi na kwa kiburi huku ukionywa, then Mungu akusamehe, pili uhakika upi kama iliombwa toba.
KILA mwanadamu uchague wapi aende kuzimu au paradiso ni uamuzi binafsi.
Kuuwa ni kumkosoa Muumba.
 
Ukikua utaelewa.Huwezi ukafanya dhambi za kujirudia rudia tena kwa makusudi na kwa kiburi huku ukionywa, then Mungu akusamehe, pili uhakika upi kama iliombwa toba.
KILA mwanadamu uchague wapi aende kuzimu au paradiso ni uamuzi binafsi.
Kuuwa ni kumkosoa Muumba.
Unauhakika aliua?

Tangu aondoke watu hawauwai tena?

Uliaminishwa vibaya bila wewe kuelewa.
 
Unauhakika aliua?

Tangu aondoke watu hawauwai tena?

Uliaminishwa vibaya bila wewe kuelewa.
Tuambie wewe kama umesikia mtu maarufu, tajiri au mkosoaji amekamatwa au kufa kama akina Ben Saanane?
 
Tuambie wewe kama umesikia mtu maarufu, tajiri au mkosoaji amekamatwa au kufa kama akina Ben Saanane?
Kwa hiyo Mbowe humuoni au? .

Hujui ile kesi ya vijana watano walio potea tangu December hadi leo?
 
Kwa hiyo Mbowe humuoni au? .

Hujui ile kesi ya vijana watano walio potea tangu December hadi leo?
La Mbowe liko tofauti sana. Msilazimishe Samia afanane na yule Dikteta. Dikteta alikuwa anateka nakukupeka mafichoni kama alivyofanyiwa Roma na MoDewji.

Dikteta Magufuli alikuwa anaua na kukufunga kwenye vi sulphate kisha kukutupa baharini kama akina Ben Sanane na Azory Gwanda.

Mbowe ametuhumiwa na kesi iko Mahakamani na inasikilizwa. Kumbuka Uamsho walikaa rumande miaka 8 bila kesi yao kusikilizwa
 
La Mbowe liko tofauti sana. Msilazimishe Samia afanane na yule Dikteta. Dikteta alikuwa anateka nakukupeka mafichoni kama alivyofanyiwa Roma na MoDewji.

Dikteta Magufuli alikuwa anaua na kukufunga kwenye vi sulphate kisha kukutupa baharini kama akina Ben Sanane na Azory Gwanda.

Mbowe ametuhumiwa na kesi iko Mahakamani na inasikilizwa. Kumbuka Uamsho walikaa rumande miaka 8 bila kesi yao kusikilizwa
Timu Bi Tozo utawajua tu.

Na vijawana watano waliopotea hadi leo?.

Na yule mfanya biashara wa madini aliyekufa kituo cha polisi kule Mtwara, na yule kijana aliye pigwa risasi na policy?

Au wewe hayo huyaoni?. Acha hizo.
 
Back
Top Bottom