Tupo nae saaaaaana; nyie mawakala wa mashetani mlionunuliwa tunawachora tu na propaganda zenu za kjjinga mitandaoni humu.Mama Samia kabaki mwenyewe tu katika mkataba huu. Hali ni mbaya sana tena sana. Mbarawa hana amani kabisa. Bogus mkataba huu kila msomi analia. Mama kabaki na Baba Levo na Mauldi Kitenge na yule kuwadi Stev Nyerere.
Nae huyo kitoga tu anaacha kutoa hoja anaanza kupoteza muda kujiliza ili akikiKatika mjadala unaoendelea Clubhouse, mwananchi mmoja aliyetambulika kwa jina la Edna ameshaindwa kuuliza swali baada ya kushikwa na kilio kabla ya kuuliza swali lake kwa wazungumzaji
Kwa sauti ya kulia Edna amesema "Msigwa mwambie dada, Rais Samia afute huo mkataba, sisi hatuutaki"
Msigwa, msemaji mkuu wa serikali ambaye ni muongoza mjadala huo amemwambia Edna asiharibu mjadala, kama hana swali awape fursa wengine waulize
Habari Maelezo, inaongoza mjadala wa kuhusu bandari huko Clubhouse ambapo wananchi wanapewa fursa ya kuuliza maswali na kupewa ufafanuzi na state actors
Yawezekana alikuwa na kibopa bandarini anamhonga mipesa mingiMdada wa watu ameamua kutoa machozi baada ya kuona anaenda kugeuzwa mtumwa ndani ya mipaka ya nchi yake, moyo wake umeshindwa kuvumilia maumivu ya kuona watoto, wajukuu, vitukuu vyake vitakaposhindwa kufaidi rasilimali watanganyika tulizopewa na Mungu.
itakuwa ndo wale walikuwa wanarudi na fuko la hela nyumbani kila wiki. TPA kulikuwa na upigaji sana aiseeTeh teh Edna yuko TPA nini [emoji1]
Ova
Kwani mpaka kumhonga mwanamke sharti ufanye kazi bandarini pekee?!Yawezekana alikuwa na kibopa bandarini anamhonga mipesa mingi
Huyo ni takataka ya chooni [emoji90]Sa100 na genge lake wanaacha Kuhamasisha watu kufanya kaz, badala yake kazi yao imekuwa kuuza nchi tu
Kwaiyo ukiwa unafanya kazi bandarini huwezi kumhonga mwanamke?Kwani mpaka kumhonga mwanamke sharti ufanye kazi bandarini pekee?!
Thinking za ajabu sana.
Upo nae wewe sio kujumuisha na wengine ila kama upo kundi la ukasuku sawa. Hali ni mbaya sana huyo bibi yako anajuta vibaya sana.Tupo nae saaaaaana; nyie mawakala wa mashetani mlionunuliwa tunawachora tu na propaganda zenu za kjjinga mitandaoni humu.
Utakuwa unajielewa mwenyewe!.Kwaiyo ukiwa unafanya kazi bandarini huwezi kumhonga mwanamke?
Suala la kusema TPA kuna upigaji ni hoja mfu sana hii, CCM wanatembelea hii hoja wakati ni Rais ndiye anayeteua Mwenyekiti wa bodi na mkurugenzi mkuu. Tukubaliane mfumo wote wa uongozi wetu haufai.itakuwa ndo wale walikuwa wanarudi na fuko la hela nyumbani kila wiki. TPA kulikuwa na upigaji sana aisee
Sasa hivi wapigaji watakuwa waarabuitakuwa ndo wale walikuwa wanarudi na fuko la hela nyumbani kila wiki. TPA kulikuwa na upigaji sana aisee
hivi alikuwa anajua anacholilia?Katika mjadala unaoendelea Clubhouse, mwananchi mmoja aliyetambulika kwa jina la Edna ameshaindwa kuuliza swali baada ya kushikwa na kilio kabla ya kuuliza swali lake kwa wazungumzaji
Kwa sauti ya kulia Edna amesema "Msigwa mwambie dada, Rais Samia afute huo mkataba, sisi hatuutaki"
Msigwa, msemaji mkuu wa serikali ambaye ni muongoza mjadala huo amemwambia Edna asiharibu mjadala, kama hana swali awape fursa wengine waulize
Habari Maelezo, inaongoza mjadala wa kuhusu bandari huko Clubhouse ambapo wananchi wanapewa fursa ya kuuliza maswali na kupewa ufafanuzi na state actors
Acute kwa comments zenu nyie haters?!!!!! Ah, wapi!!Upo nae wewe sio kujumuisha na wengine ila kama upo kundi la ukasuku sawa. Hali ni mbaya sana huyo bibi yako anajuta vibaya sana.
Duuuh, kwahiyo Faizafoxy akasemaje?Katika mjadala unaoendelea Clubhouse, mwananchi mmoja aliyetambulika kwa jina la Edna ameshaindwa kuuliza swali baada ya kushikwa na kilio kabla ya kuuliza swali lake kwa wazungumzaji
Kwa sauti ya kulia Edna amesema "Msigwa mwambie dada, Rais Samia afute huo mkataba, sisi hatuutaki"
Msigwa, msemaji mkuu wa serikali ambaye ni muongoza mjadala huo amemwambia Edna asiharibu mjadala, kama hana swali awape fursa wengine waulize
Habari Maelezo, inaongoza mjadala wa kuhusu bandari huko Clubhouse ambapo wananchi wanapewa fursa ya kuuliza maswali na kupewa ufafanuzi na state actors
Sisi hatuutaki,yeye na nani?Katika mjadala unaoendelea Clubhouse, mwananchi mmoja aliyetambulika kwa jina la Edna ameshaindwa kuuliza swali baada ya kushikwa na kilio kabla ya kuuliza swali lake kwa wazungumzaji
Kwa sauti ya kulia Edna amesema "Msigwa mwambie dada, Rais Samia afute huo mkataba, sisi hatuutaki"
Msigwa, msemaji mkuu wa serikali ambaye ni muongoza mjadala huo amemwambia Edna asiharibu mjadala, kama hana swali awape fursa wengine waulize
Habari Maelezo, inaongoza mjadala wa kuhusu bandari huko Clubhouse ambapo wananchi wanapewa fursa ya kuuliza maswali na kupewa ufafanuzi na state actors