Mwananchi amwaga Machozi akimtaka Rais Samia kufuta Mkataba wa DP World

Mwananchi amwaga Machozi akimtaka Rais Samia kufuta Mkataba wa DP World

Ataandika Kitabu kwamba alikosea na ingewezekana angebadilisha....; Na ana Cushion huko Kijijini kwake huenda wanaona anachofanya ni sahihi

Anyway upuuzi unaofanyika sasa unaweka nyufa kwenye misingi ya Taifa letu..., There is only one Big Looser, and that is Tanzania and Future Tanzanians - Tanganyikan or whomever will be hating and fighting each other...
 
Rais Samia ameanza kufoka ati "stupid"?

Huu ni mwanzo tu wa ripoti za CAG kuumbua zaidi utawala wako , ufisadi uliuasisi mwenyewe mwanzoni kabisa ya utawala wako.

Wakati anaingia madarakani, kwa kutumia hekima zake na uungwana wake, alianza kuyafungulia majizi na mafisadi yaliyofungwa jela.

Tukaona wazalendo wote wanafukuzwa kazi na kurudishwa majizi kama akina Nape, Kinana, Makamba! Majizi yakaanza kurudishiwa hela zao, symbion wakalipwa billion 360 chapchap bila kufuata utaratibu wa bunge.

Akatuambia kuwafunga majizi jela ni udikteta, na kwamba majizi wanatakiwa kuachiwa huru na kupewa kongole. Hiyo ndiyo demokrasia ya kweli.

Na baada ya hapo, tukaambiwa kwamba majizi wanatakiwa kulipwa fidia na ruzuku. Hatupaswi kuwasumbua kwa namna yoyote ili kulinda misingi ya utawala wa sheri.

Akina Makamba wakawa wanaleta makampuni kutoka nje Kwa mikataba ya hovyo Kwa mabilioni ya pesa..
Hizi ndio zile mada za upotoshaji. Hakuna anayeuza bandari wala kingine chochote.

Nchi inataka ufanisi wa kiuchumi kupitia bandari. Mkuu mleta mada, unapenda kuona Kenya na Msumbiji wakifaidika kiuchumi kuliko Tanzania kupitia bandari zao?.
 
Ataandika Kitabu kwamba alikosea na ingewezekana angebadilisha....; Na ana Cushion huko Kijijini kwake huenda wanaona anachofanya ni sahihi

Anyway upuuzi unaofanyika sasa unaweka nyufa kwenye misingi ya Taifa letu..., There is only one Big Looser, and that is Tanzania and Future Tanzanians - Tanganyikan or whomever will be hating and fighting each other...
Mfumo upo kazini ndio maana unaona kuna ukimya katika upande wa serikali. Hawakurupuki kufanya maamuzi.

Na wanajua mengi yanayoandikwa humu JF ni mada za upotoshaji zenye lengo la kujenga fikra hasi juu ya rasilimali yetu muhimu sana.

Huko mitaani watu wanafahamu nani ni msaliti na nani anao uchungu wa kweli wa kuiona TZ ikifikia uchumi wa kati na kuuvuka kwenda uchumi wa juu.
 
Mfumo upo kazini ndio maana unaona kuna ukimya katika upande wa serikali. Hawakurupuki kufanya maamuzi.
Huko nyuma madudu yaliyotokea Serikali ilikuwa uzingizini; Wizi uliogunduliwa na CAG na wale Madalali kutoka Uturuki waliotaka kutuuzia / kutengeneza Meli serikali ilienda likizo
Na wanajua mengi yanayoandikwa humu JF ni mada za upotoshaji zenye lengo la kujenga fikra hasi juu ya rasilimali yetu muhimu sana.
Na wanajitahidi vipi kuelemisha na kuweka mambo sawa ili kuepusha huo upotoshaji
Huko mitaani watu wanafahamu nani ni msaliti na nani anao uchungu wa kweli wa kuiona TZ ikifikia uchumi wa kati na kuuvuka kwenda uchumi wa juu.
Kwamba waliopo huku ndani mtaani hawapo ? Au ni wewe pekee unayeishi mtaani ? Na wale waliotaka kuandamana wakazuiwa walitaka kuandamana kwenye waya za Broadband ?
 
Rais Samia ameanza kufoka ati "stupid"?

Huu ni mwanzo tu wa ripoti za CAG kuumbua zaidi utawala wako , ufisadi uliuasisi mwenyewe mwanzoni kabisa ya utawala wako.

Wakati anaingia madarakani, kwa kutumia hekima zake na uungwana wake, alianza kuyafungulia majizi na mafisadi yaliyofungwa jela.

Tukaona wazalendo wote wanafukuzwa kazi na kurudishwa majizi kama akina Nape, Kinana, Makamba! Majizi yakaanza kurudishiwa hela zao, symbion wakalipwa billion 360 chapchap bila kufuata utaratibu wa bunge.

Akatuambia kuwafunga majizi jela ni udikteta, na kwamba majizi wanatakiwa kuachiwa huru na kupewa kongole. Hiyo ndiyo demokrasia ya kweli.

Na baada ya hapo, tukaambiwa kwamba majizi wanatakiwa kulipwa fidia na ruzuku. Hatupaswi kuwasumbua kwa namna yoyote ili kulinda misingi ya utawala wa sheri.

Akina Makamba wakawa wanaleta makampuni kutoka nje Kwa mikataba ya hovyo Kwa mabilioni ya pesa..
Hivi hizi nyimbo zenu hazijaisha tu. Hamuoni mnapoteza calories nyingi sana kitetea ulaji uliokiwepo bandarini uendelee? Mama yule ni muislamu safi hataki Yale madudu yajirudie tena mana mikristo kwa wizi ni dole na Pete. Kule bandari ya zanzibar huwezi Kuta wizi mana uislamu unakataza tofauti na ukristo ambao unabariki wizi. Na kwa maana hiyo ukristo siyo dini Bali genge la wahuni
 
Hivi hizi nyimbo zenu hazijaisha tu. Hamuoni mnapoteza calories nyingi sana kitetea ulaji uliokiwepo bandarini uendelee? Mama yule ni muislamu safi hataki Yale madudu yajirudie tena mana mikristo kwa wizi ni dole na Pete. Kule bandari ya zanzibar huwezi Kuta wizi mana uislamu unakataza tofauti na ukristo ambao unabariki wizi. Na kwa maana hiyo ukristo siyo dini Bali genge la wahuni
Unatoa ulaji wa watanzania unaleta ulaji wa warabu?
 
Rais Samia ameanza kufoka ati "stupid"?

Huu ni mwanzo tu wa ripoti za CAG kuumbua zaidi utawala wako , ufisadi uliuasisi mwenyewe mwanzoni kabisa ya utawala wako.

Wakati anaingia madarakani, kwa kutumia hekima zake na uungwana wake, alianza kuyafungulia majizi na mafisadi yaliyofungwa jela.

Tukaona wazalendo wote wanafukuzwa kazi na kurudishwa majizi kama akina Nape, Kinana, Makamba! Majizi yakaanza kurudishiwa hela zao, symbion wakalipwa billion 360 chapchap bila kufuata utaratibu wa bunge.

Akatuambia kuwafunga majizi jela ni udikteta, na kwamba majizi wanatakiwa kuachiwa huru na kupewa kongole. Hiyo ndiyo demokrasia ya kweli.

Na baada ya hapo, tukaambiwa kwamba majizi wanatakiwa kulipwa fidia na ruzuku. Hatupaswi kuwasumbua kwa namna yoyote ili kulinda misingi ya utawala wa sheri.

Akina Makamba wakawa wanaleta makampuni kutoka nje Kwa mikataba ya hovyo Kwa mabilioni ya pesa..
🥴Haijauzwa, nimepewa bure.
 
Unatoa ulaji wa watanzania unaleta ulaji wa warabu?
Afadhari mana tulikuwa tunaumizana sisi kwa sisi. Umaskini wetu wengi ulikuwa unasababishwa na wachache hasa wafanyakazi wa bandari. Angalau do worlds atalipa Kodi wakiamua kuibiana wenyewe kwa wenyewe sawa
 
Nyi
Hivi hizi nyimbo zenu hazijaisha tu. Hamuoni mnapoteza calories nyingi sana kitetea ulaji uliokiwepo bandarini uendelee? Mama yule ni muislamu safi hataki Yale madudu yajirudie tena mana mikristo kwa wizi ni dole na Pete. Kule bandari ya zanzibar huwezi Kuta wizi mana uislamu unakataza tofauti na ukristo ambao unabariki wizi. Na kwa maana hiyo ukristo siyo dini Bali genge la wahuni
Nyue mkiambiwa dini yenu ya uislam ni feki mtatoka na mitutu ya bunduki kutaka kumuua msemaji Ila nyie mkikashifu za wenzenu mwaona sawa eeeh yatawashinda

Najua hili litakuuma uko uliko kenge we
 
Nyi

Nyue mkiambiwa dini yenu ya uislam ni feki mtatoka na mitutu ya bunduki kutaka kumuua msemaji Ila nyie mkikashifu za wenzenu mwaona sawa eeeh yatawashinda

Najua hili litakuuma uko uliko kenge we
Sis hatunaga ufisadi kabisa ndo mana hata bank zetu hatutozi riba mana riba ni chukizo mbele za mungu.
 
Hii nchi haitapata tena mwanamke kama Rais. Milele nawaapia
 
Sis hatunaga ufisadi kabisa ndo mana hata bank zetu hatutozi riba mana riba ni chukizo mbele za mungu.
dini yenu iko kidunia zaidi mbinguni hakuna mambo ya riba na msimsingizie Mungu ana misingi yake mikuu na si riba wala mavazi wala Kula kitimoto na pombe maana nyie ndio mmekomaa navyo😁 pooor you
 
Mungu hapendi wizi. Au nyie kwenu mnaambiwa kwamba wizi ruksa?
dini yenu iko kidunia zaidi mbinguni hakuna mambo ya riba na msimsingizie Mungu ana misingi yake mikuu na si riba wala mavazi wala Kula kitimoto na pombe maana nyie ndio mmekomaa navyo😁 pooor you
 
Rais Samia ameanza kufoka ati "stupid"?

Huu ni mwanzo tu wa ripoti za CAG kuumbua zaidi utawala wako , ufisadi uliuasisi mwenyewe mwanzoni kabisa ya utawala wako.

Wakati anaingia madarakani, kwa kutumia hekima zake na uungwana wake, alianza kuyafungulia majizi na mafisadi yaliyofungwa jela.

Tukaona wazalendo wote wanafukuzwa kazi na kurudishwa majizi kama akina Nape, Kinana, Makamba! Majizi yakaanza kurudishiwa hela zao, symbion wakalipwa billion 360 chapchap bila kufuata utaratibu wa bunge.

Akatuambia kuwafunga majizi jela ni udikteta, na kwamba majizi wanatakiwa kuachiwa huru na kupewa kongole. Hiyo ndiyo demokrasia ya kweli.

Na baada ya hapo, tukaambiwa kwamba majizi wanatakiwa kulipwa fidia na ruzuku. Hatupaswi kuwasumbua kwa namna yoyote ili kulinda misingi ya utawala wa sheri.

Akina Makamba wakawa wanaleta makampuni kutoka nje Kwa mikataba ya hovyo Kwa mabilioni ya pesa..
Tupe risiti
 
Rais Samia ameanza kufoka ati "stupid"?

Huu ni mwanzo tu wa ripoti za CAG kuumbua zaidi utawala wako , ufisadi uliuasisi mwenyewe mwanzoni kabisa ya utawala wako.

Wakati anaingia madarakani, kwa kutumia hekima zake na uungwana wake, alianza kuyafungulia majizi na mafisadi yaliyofungwa jela.

Tukaona wazalendo wote wanafukuzwa kazi na kurudishwa majizi kama akina Nape, Kinana, Makamba! Majizi yakaanza kurudishiwa hela zao, symbion wakalipwa billion 360 chapchap bila kufuata utaratibu wa bunge.

Akatuambia kuwafunga majizi jela ni udikteta, na kwamba majizi wanatakiwa kuachiwa huru na kupewa kongole. Hiyo ndiyo demokrasia ya kweli.

Na baada ya hapo, tukaambiwa kwamba majizi wanatakiwa kulipwa fidia na ruzuku. Hatupaswi kuwasumbua kwa namna yoyote ili kulinda misingi ya utawala wa sheri.

Akina Makamba wakawa wanaleta makampuni kutoka nje Kwa mikataba ya hovyo Kwa mabilioni ya pesa..
Hawa hawateseki maana ni mashetani, shetani hateseki!
 
Afadhari mana tulikuwa tunaumizana sisi kwa sisi. Umaskini wetu wengi ulikuwa unasababishwa na wachache hasa wafanyakazi wa bandari. Angalau do worlds atalipa Kodi wakiamua kuibiana wenyewe kwa wenyewe sawa
Kwamba DP World watafanya kazi ya TRA ? kama TRA walishindwa kukusanya wakato ule leo ndio watakusanya
 
Back
Top Bottom