Mwananchi amwaga Machozi akimtaka Rais Samia kufuta Mkataba wa DP World

Nimeona msigwa anaambiwa huo mjadara angepeleka redioni ambako wasikilizaji ni wengi ila kakaza fuvu.
Msigwa ni mjinga,analeta mjadala halafu anachagulia watu maswali ya kuuliza.
 
apo sasa umetusanua labda upande wa pili mnatumiana msg kuunga huu mkataba mbovu alafu hizo hospitali zinatoa huduma kwa jamii nzima sio dini fulani yani hazina tofauti na hospitali za serikali .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha upotoshaji
 
Mjadala unaendelea, maswali na majibu now... huyo dada alisema neno moja tu kwa sauti ya kilio "Msigwa, mwambie dada Rais Samia afute huo mkataba, sisi hatuutaki"
Sasa apo aliongea nini ni drama tu

Angetoa sababu kweli alipoteza muda
 
Rais Samia ameanza kufoka ati "stupid"?

Huu ni mwanzo tu wa ripoti za CAG kuumbua zaidi utawala wako , ufisadi uliuasisi mwenyewe mwanzoni kabisa ya utawala wako.

Wakati anaingia madarakani, kwa kutumia hekima zake na uungwana wake, alianza kuyafungulia majizi na mafisadi yaliyofungwa jela.

Tukaona wazalendo wote wanafukuzwa kazi na kurudishwa majizi kama akina Nape, Kinana, Makamba! Majizi yakaanza kurudishiwa hela zao, symbion wakalipwa billion 360 chapchap bila kufuata utaratibu wa bunge.

Akatuambia kuwafunga majizi jela ni udikteta, na kwamba majizi wanatakiwa kuachiwa huru na kupewa kongole. Hiyo ndiyo demokrasia ya kweli.

Na baada ya hapo, tukaambiwa kwamba majizi wanatakiwa kulipwa fidia na ruzuku. Hatupaswi kuwasumbua kwa namna yoyote ili kulinda misingi ya utawala wa sheri.

Akina Makamba wakawa wanaleta makampuni kutoka nje Kwa mikataba ya hovyo Kwa mabilioni ya pesa..
 
Hiyo ni lazima, uwezi kuzaa watoto kakosa wajukuu. Mateso ni mjukuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…