Hata mbili huanza na moja. Mdogo mdogo tutafika. Mama anaonesha njia tu kwamba tuliibiwa kitambo sana na watanzania wasiowazalendo na Bado wanawatumia akina Shivji na Tundu lisu kuwanusulu ili waendelee kuibaKwamba DP World watafanya kazi ya TRA ? kama TRA walishindwa kukusanya wakato ule leo ndio watakusanya
Umesahau kumtukana MBOWE, LISU, LEMA, MSIGWA Na zito! Pia hujaitaja MIGA na kujapiga picha masink y choo cha ufipa hivyo hujaandika kituRais Samia ameanza kufoka ati "stupid"?
Huu ni mwanzo tu wa ripoti za CAG kuumbua zaidi utawala wako , ufisadi uliuasisi mwenyewe mwanzoni kabisa ya utawala wako.
Wakati anaingia madarakani, kwa kutumia hekima zake na uungwana wake, alianza kuyafungulia majizi na mafisadi yaliyofungwa jela.
Tukaona wazalendo wote wanafukuzwa kazi na kurudishwa majizi kama akina Nape, Kinana, Makamba! Majizi yakaanza kurudishiwa hela zao, symbion wakalipwa billion 360 chapchap bila kufuata utaratibu wa bunge.
Akatuambia kuwafunga majizi jela ni udikteta, na kwamba majizi wanatakiwa kuachiwa huru na kupewa kongole. Hiyo ndiyo demokrasia ya kweli.
Na baada ya hapo, tukaambiwa kwamba majizi wanatakiwa kulipwa fidia na ruzuku. Hatupaswi kuwasumbua kwa namna yoyote ili kulinda misingi ya utawala wa sheri.
Akina Makamba wakawa wanaleta makampuni kutoka nje Kwa mikataba ya hovyo Kwa mabilioni ya pesa..
Kaanza kuonyesha njia lini au ataanza lini ? Wizi mwingi tu umetokea under her watch (kilichofuata alishangaa akapiga kimya) sasa hivi business as usual kama hakuna kilichotokea..., hio ndio njia unayosema au sijakuelewaHata mbili huanza na moja. Mdogo mdogo tutafika. Mama anaonesha njia tu kwamba tuliibiwa kitambo sana na watanzania wasiowazalendo na Bado wanawatumia akina Shivji na Tundu lisu kuwanusulu ili waendelee kuiba
Mama Huwa anashughulika na wizi kimyakimya siyo kupiga makelele kama enzi zile mpaka wakafikia hatua ya kuanzisha eti kishindo Cha jpm kupitia tbc. Mama siyo mtu wa kujionesha eti amefanya Bali vitendo ndo vinaongeaKaanza kuonyesha njia lini au ataanza lini ? Wizi mwingi tu umetokea under her watch (kilichofuata alishangaa akapiga kimya) sasa hivi business as usual kama hakuna kilichotokea..., hio ndio njia unayosema au sijakuelewa
Mna uhakika hiko kilio alichotoa sio kwakuwa alikuwa anapigwa miti muda huo?
Kwa hapa Tanzania haitakaa itokee. Watanzania ni viumbe ambao ubinadamu wao haukukamilika.huyo. mama asilie.asubiri tukio.kama LA ufaransa