ugaidi selective uko wapi hapo!!!unadhani angemwoma mwanajeshi angemuacha hapo!!!
hawa watu huwa wanatumia akili hii ili kushika vichwa vya watu wenye ram ndogo ndogo kama baadhi yenu.
hamza kushikwa akiwa hai labda hai ya kilimanjaro kwa mbowe.
nikueleweshe sasa,aliacha raia sababu alijua hakuna mwenye ujasiri wa kumfata amdhibiti,angetokea raia yeyote kujaribu kufanya kitu,story ingekaa vingine kabisa,kaulize gari la walinzi ambao mmoja amefariki na dereva amejeruhiwa,msipende sana kutumia viungo kufikiri.
polisi waliofika eneo la tukio,hawakutoka sehem moja wala kisimama sehem moja,hivyo haikuwa rais kujadili nini cha kufanya,ukizingatia jamaa aliishajua wamefika.
wewe hukumu,laumu,dharau,ila yatabaki kuwa makelele yasiyozingatia uhalisia,na utaalamu wa jambo husika.