Mwananchi: Hamza alikuwa na msongo wa mawazo kwa kupoteza milioni 400

Mwananchi: Hamza alikuwa na msongo wa mawazo kwa kupoteza milioni 400

kama ana mtoto anabwia unga basi ni wazi kwamba anajisikia vibaya kama wazazi wa hamza wanavyojiskia kuzaa mtoto ambaye kwa sasa anatambulika kama gaidi.

ni watu wazima ti wataelewana na sirro,wengine vichwa vitapata moto tu.


Alitakiwa amtaje na mtoto wake pia...ila.kwa ile kauli kwa wazazi wa Hamza utadhani yeye wtoto wake ni malaika kumbe wanabwia unga...nasikia Kuna wa kike hawajaolewa wamejazana nyumbani mpaka siku moja ameenda kwenye harusi ya mtoto wa afande mwenzake akawa anawapromote kuwa ana watoto wa kike wazuri na bado hawajaolewa.. mwambie zirro aweke Alina ya maneno tafadhali.
 
hakuna nafuu yeyote ya ugumu wa maisha utakayoipata hata baada ya hamza shujaa wako kufanya aliyoyafanya,zaidi uaendelea kumiss kwa mambo aliyokuwa akikupa akiwa hai.

Polisi sisiem watatu wamepelekwa jehanamu na mtu mmoja...Kuna Jambo nzuri Kama Hilo???
 
Polisi sisiem watatu wamepelekwa jehanamu na mtu mmoja...Kuna Jambo nzuri Kama Hilo???

polisi kufa ni sehem ya kazi yao,ila wewe kifiliwa na mwamba wako,sijui utaishije hapa town.
 
Alitakiwa amtaje na mtoto wake pia...ila.kwa ile kauli kwa wazazi wa Hamza utadhani yeye wtoto wake ni malaika kumbe wanabwia unga...nasikia Kuna wa kike hawajaolewa wamejazana nyumbani mpaka siku moja ameenda kwenye harusi ya mtoto wa afande mwenzake akawa anawapromote kuwa ana watoto wa kike wazuri na bado hawajaolewa.. mwambie zirro aweke Alina ya maneno tafadhali.

kumbe unaskia tu!!!kajifunze watoto wa watu maarufu na vyeo wanaolewa wakifika miaka mingapi!!

by the way wewe umeolewa lini??
 
Ukweli Tanzania naona Amani imewachosha sn sababu kila Mtu analitamka neno GAIDI nafikiri WATANZANIA walio wengi hawajui Repaction ya hili NENO GAIDI na hawajui limekuwa likitumiwa na WESTERN COUNTRIES kwa sababu gani?

Ushauri wangu wachane kabisa Kulitumia hili neno kwa ustawi wa NCHI sabubu hili neno linatengeneza CHUKI mbaya sn sababu watu wengi wana-LINK na DINI ya uislam hii ni hatari tena iliyombaya hasa.Leo hao waliolianzisha wanajaribu kuliondoa kwenye midomo ya watu sababu wamengundua wamefeli kwenye hilo .

Nimeangalia kwenye vyomba vya kimataifa hili tukio halipo kabisa na sikawaida maana tukio limetokea maeneo ya UBALOZI lingekuwa limetokea kipindi cha nyuma ungeliona lingekepewa COVERAGE KUBWA sn hata kama linge kuwa halina uhusiano wowote na UGAIDI.
 
polisi kufa ni sehem ya kazi yao,ila wewe kifiliwa na mwamba wako,sijui utaishije hapa town.
Nani kukuambia nipo kwenye hili jiji lenu linalonuka...yaani hata wangekufa wote hao ngedere sawa tu....maana hawana wamalojua zaidi ya rushwa...dhuluma na kuchukua wake za watu..
 
Nani kukuambia nipo kwenye hili jiji lenu linalonuka...yaani hata wangekufa wote hao ngedere sawa tu....maana hawana wamalojua zaidi ya rushwa...dhuluma na kuchukua wake za watu..

embu tuachie jiji letu bana.kumbe hata jambo lenyewe umehadithiwa!!!mimi nikajua ulikuwa mmoja wa wafanyakazi ubarozi wa ufaransa au hapo stanbic!!!!!

swala la kula rushwa na wake za watu,wenye shida ni hao wake za watu na wanaowakabidhi rushwa.
 
Naona gazeti la Mwananchi wanasema Hamza alipata msongo wa mawazo baada ya kuwekeza milioni 400 Mbeya na kutofika malengo aliyokusudia, jana pia imesambaa video ikionyesha Hamza lengo lilikuwa ugaidi.

Polisi wangejitokeza basi kutupa muelekeo wa tukio, naamini sababu ya Hamza kufanya alichofanya wameshajua.

Pia watu wa media mmeshindwa kabisa kupata watu waliokuwa ndani ya ile daladala na kuwahoji alichozungumza Hamza? Mambo yashakuwa tafrani.

View attachment 1912045
Polisi wanahusika vipi na upotevu wa mil, 400
 
Back
Top Bottom