Mwananchi waomba radhi baada ya wananchi wengi kupiga kura ya kuridhishwa na Sera za Uchumi za Magufuli dhidi ya marais wengine


Pitia kwanza uzi wako huo.
Uhalisia unaujua lkn hua unapenda kuchallenge watu
 
Mfu amewashinda walio hai, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona mabwakuuu.
 
Kwani Shilingi ya Tzn kuwa dhaifu imeanza Leo?

Mwisho udhaifu wa Shilingi Imezuia miradi ya serikali na Huduma za jamii? πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ikifika 2030 , utawaonea vijana huruma. Wewe pia nafasibuliyonayo hutakuwa nao. Weka pension Yako vizuri
Niwaonee huruma Kwa sababu zipi? Wewe huko kwenu Chunya kazi ya mama hujaona? Au unajibalaguza hapa?

Ona Chunya ilivyokuza Mapato ya ndani chini ya Uongozi wa mama hapa πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/C5iCLtKNKkU/?igsh=eHhqMGVtczBtanM1
Unajua sababu? Mama amegawia mtambo wa kutafuta Madini wachimbaji wadogo huko na pia Soko la Madini limejengwa ,Kituo Cha GST na umeme umepelekwa Kwa wachimbaji wadogo bila kusahau Huduma zingine.

Pia mama amefufua Kilimo Cha tumbaku huko Chunya ,saizi Tzn ni ya kwanza Afrika Kwa Kuzalisha tumbako.

Harafu anatokea mjinga mmja na Kundi lake anaongea shit Kwa Samia
 
Sarafu kuwa na thamani ndogo Dhidi ya Dola has insignificant effect kwenye uchumi
 
'Power Point presentation' hizi ndizo mnamwandalia Samia kutafutia kura kwa wananchi 2025?
Itapendeza sana kama mtazitegemea hizi kupata kura za wananchi, badala ya kutumia polisi na njia zingine haramu za kuwabakiza madarakani.

Wananchi wanazifahamu na kuziamini sana zile pesa CAG anazodai zimepotea/liwa kila mwaka; bila hata ya kuwaonyesha haya madoido ya mawasilisho tu kwao.
 
Magufuli huwezi kumpiga kijinga kijinga mbele za watu ukabaki salama! Marais wote wameangukia pua mbele ya Magufuli! Samia mwenyewe licha ya makelele ya machawa bado kapigwa chini!
Hiyo poll haihusiha watu wenye akili labda wanyonge, hakuna mtu mwenye akili atampigia magufuli
 
Watu hawaelewi hata dhana ya CAG.Hivi wao wanadhani let say Machadema wanashika Dola ndio hela zitaacha kupotea? Maya be zitapungua Kwa kiasi tuu
 
Yote hayo wananchi wanajuwa yametoka kwa kichaa Magufuli. Kazi za Samia wanazijuwa ni kuuza mali za nchi nje hovyo hovyo tu kwa ujinga wa uwekezaji.
 
Yote hayo wananchi wanajuwa yametoka kwa kichaa Magufuli. Kazi za Samia wanazijuwa ni kuuza mali za nchi nje hovyo hovyo tu kwa ujinga wa uwekezaji.
Mwendazake hana huo ubavu wa ku deal na maisha ya watu yeye alikuwa busy na Sgr,bwawa na mambo kama hayo ambayo hayana maana Kwa maisha ya individuals wa huko Chunya,Katavi and the likes.

Mali ipi imeuzwa na Kwa bei gani? Hata Mkapa mlisema ameuza Mali ya Nchi ila ndio hizo Bado zipo 🀣🀣
 
Huwezi kumnyima 'credit' zake juu ya hao wachimbaji wadogo wadogo wa madini na soko la madini. Huwezi kuuficha ukweli huo kwa yeyote.
Katika ukichaa wako, kuna mambo mazuri aliyafanya pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…