Mwananchi waomba radhi baada ya wananchi wengi kupiga kura ya kuridhishwa na Sera za Uchumi za Magufuli dhidi ya marais wengine

Mwananchi waomba radhi baada ya wananchi wengi kupiga kura ya kuridhishwa na Sera za Uchumi za Magufuli dhidi ya marais wengine

We want team Ndugai,Lukuvi, kabudi

Nilitaka ujilete hivyo mbwa ww! Swali,
Magufuli kutoka 800bln to 1.5,mbona team Samia na Kikwete hwakufika hapo? Hayo mapato yaliyopanda Kwa Samia,ni njia aliyowekewa na Magu namna ya kukusanya mapato. Na ndio maana Samia since have never iniated anyways to increase Revenue!
Wewe takataka ,Lini hiyo Samia amewahi kuwa na Kikwete? Hapa tunalinganisha Samia na Magufuli au Magufuli na Kikwete?

Mijitu kijinga Huwa logically zero.Njia aliyowekewa na Magufuli njia ipi? Umeona Samia anapora watu hela?
 
Kwa hiyo wewe ndo mfano wa werevu?
Jitu unakaa Mbeya huko kwenye majumba ya tope unaweza kuwa mwerevu kuzidi wote waliohojiwa?
Ndio Mimi ni mwerevu maana nafanya judgement Kwa hoja, takwimu na uhalisia sio moyo.

Narudia kukwambia Samia amemzidi Magufuli mbali sana,bila kujalisha wajinga wengi wanasemaje.
 
Wewe takataka ,Lini hiyo Samia amewahi kuwa na Kikwete? Hapa tunalinganisha Samia na Magufuli au Magufuli na Kikwete?

Mijitu kijinga Huwa logically zero.Njia aliyowekewa na Magufuli njia ipi? Umeona Samia anapora watu hela?
Screenshot_20240425-194459_Chrome~2.jpg
 
kwa Mkapa uko sahihi lkn usisahau Mkapa hakuwa mtu wa kujipiga kifua na hivyo watu wengi hata hawajui mambo ambayo Mkapa alifanya, mfano mdogo tu shule za Kata wanamsifia lowasa (RIP) wafuasi wake at least lkn hawajui kwamba ni brain ya Mkapa kupitia Paris club ambapo tulitimiza masharti na ku-qualify kusamehewa madeni na sharti lilikuwa hela ya msamaha wa madeni iende kwenye ujenzi wa Shule ndipo shule za Kata ziliposambaa nchi nzima sasa lowasa was at the right place at the right time akasema amejenga shule za Kata lkn hawaambii fedha alitoa wapi huo ni mfano tu, na hukuwahi kumsikia Mkapa akipigaia hiyo legacy alikaa kimya tu hata mradi wa maji ya Ziwa Victoria yote kazi alipiga Mkapa lkn wengine wakasema ni wao wamefanya.

Mkapa alifanya makubwa klk raisi yoyote yule sema inahitaji uelewa pia kuliona hilo, uchumi wote unaoshamiri Tanzania ni kazi ya Mkapa kuanzia Banking industry kama NMB au CRDB leo hii anasifiwa raisi samia kwa faida ya NMB, hata TRA kama ilivyo leo hii ilikuwa reformed na Mkapa, alianzisha EPZ kule barabara ya mandela Mabibo viwanda vya nguo Arusha yote Mkapa, kampuni zinazofanya vizuri leo hii TZ kama TBL kabla ya Mkapa hakuna aliyekunywa bia ya Tanzania bila kuumwa kichwa kesho yake, kiwanda cha Sigara ni success story yote brain ya Uongozi wa Mkapa kwanza unaweza kusema miaka 10 iliyofwata baada ya Mkapa ilikuwa ni lost decade.

hivyo kwa Mtanzania wa kawaida ni ngumu kuelewa kazi ya Mkapa usisahau hata waliita ukapa kipindi chake sababu ya fiscal discipline na kufight against wizi wa fedha za uma kama leo hii ambapo wanaambiwa wale kwa urefu wa kamba.

Usisahau pia Mkapa alijenga Bunge Dodoma hivyo alihamisha mhimili wa kwanza ktk Karimjee kwenda Dodoma, waliofwata walipaswa wahamishe Mahakama na Serikali lkn miaka 10 udom tu ilijengwa hata mpaka leo haijakamilika yote bado…
Umesahahu kitu kimoja muhimu. Watanzania wenzetu wa Kagera na Mwanza na Musoma walikuwa wanapita Nairobi wanaporudi makwao kutokana na ubovu wa barabara zetu.

Mkapa ndiye aliyejenga barabara ya Dodomo-Singida- Nzega- Kahama. Hivyo kurahisisha usafiri wa ndani ya nchi. Bila kusahau na barabara ya Dar- Mtwara na daraja la Rufiji
 
Gazeti la mwananchi lilianzisha kura za mtandaoni ama poll ya kuuliza wadau ni sera za kiongozi yupi wa Tanzania kati ya Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia wanazozikubali.

Matokeo ya kura yakaonesha Kikwete kupata 17% sawa na Samia, Mkapa kupata 7% na Magufuli kupata 57%.

Baada ya matokeo hayo kutoka, Mwananchi wameamua kuomba radhi kwamba uchaguzi ama vigezo vilivyotumika havikuwa sahihi wanaomba radhi😂.

View attachment 2973698View attachment 2973699
Hatari sana..... Mama anaupiga mwingi
 
Mkapa alietuweka kwenye mgao wa umeme unawaka saa sita usiku hadi kumi na moja asubuhi? Mkapa alieuza nyumba za Oyster Bay? Mkapa aliye binafsisha mashirika bila faida kwa umma. CCM haijawahi kuwa na viongozi wazuri.
Mkuu nenda kaangalie tena kichwa chako kama kina akili au tope. Yaani bado unalilia mashirika ya umma kuwa chini ya Serikali??
 
Huna hoja lazima ukimbilie kwenye matusi 😂😂

Narudia kukwambia Samia is way better than Magufuli,nakupa takwimu ndogo tuu hapa 👇View attachment 2973828
Kaka ni better kwako sio kwa watu wote na huu ujinga wa kusema ni better kuliko Magufuli jitahidi kuuficha hasa utaje humu jukwaani! Ila huko mtaani utakuwa kituko!
 
'Statistics' kama ilivyo kwa taaluma ya uchumi, huwezi kukosa sababu ya kisingizio kwa nini namba hazionyeshi kama ulivyotegemea wewe. Hapa unahoji 'demographics'; lakini isingewezekana Mwananchi wachambue watu maalum wa kuwauliza maswali ili wapate majibu sahihi. Labda unachoweza kusema sasa hivi, ni kuchambua hizo data walizopata, kama kulikuwepo na kipengere cha umri, sasa waangalie hao 'responders' wa umri gani wanalalia kwa kiongozi yupi.
Lakini hilo haliwezi kufanya matokeo ya utafiti yasiwe halali.
Bahati mbaya online polls haziko scientific. Yeyote anauliza maswali na ku fit in parameters. Hizo aspects zingine labda utumie "survey monkey" ambayo ni application specific kwa research
 
Mwalimu wako alipata shida sana shuleni.
Atapataje shida wakati darasani tunajaza majibu sahihi? Yaani Mimi Nina div 1 kuanzia Std seven hadi form 6 atapataje shida?

Nyie wajinga ambao mnatumia hisia za chumbani kwenu kulinganisha na mnakimbia takwimu ndio Walimu wenu waliokata shida 🤣🤣

Takwimu za uhalisia hizi hapa 👇
20240319_101511.jpg
 
Atapataje shida wakati darasani tunajaza majibu sahihi? Yaani Mimi Nina div 1 kuanzia Std seven hadi form 6 atapataje shida?

Nyie wajinga ambao mnatumia hisia za chumbani kwenu kulinganisha na mnakimbia takwimu ndio Walimu wenu waliokata shida 🤣🤣

Takwimu za uhalisia hizi hapa 👇View attachment 2973831
Div 1 ikatoke kwenye kichwa maji hicho
 
Kaka ni better kwako sio kwa watu wote na huu ujinga wa kusema ni better kuliko Magufuli jitahidi kuuficha hasa utaje humu jukwaani! Ila huko mtaani utakuwa kituko!
Ndio maana nakwambia kwani wewe ukisema Magufuli ndio better itaondoa ukweli kwamba kule Rukwa
-Samia amefungua Barabara Vijijini ambavyo vilikuwa havina mawasiliano?
-Kwani itaondoa ukweli kwamba Samia anajenga uwanja wa ndege wa Sumbawanga
-Kwani itaondoa ukweli kwamba Samia anajenga Barabara za mtaani za lami na taa Juu?
-Kwani itafuta ukweli kwamba Samia anajenga Barabara za lami kwenda Zambia na Bonde la Rukwa?

Yaani huo ni mfano mmja tuu ya yaliyofanyika Kwa miaka 3 hayakuwa kufanyika kipindi Cha Magufuli miaka yote 5.

Sasa ipo hivyo Mikoa yooote Tanzania hii.Narudia kukwambia kwamba Samia ni zaidi ya Magufuli ni upende au usipende ndio ukweli huo.
 
Atapataje shida wakati darasani tunajaza majibu sahihi? Yaani Mimi Nina div 1 kuanzia Std seven hadi form 6 atapataje shida?

Nyie wajinga ambao mnatumia hisia za chumbani kwenu kulinganisha na mnakimbia takwimu ndio Walimu wenu waliokata shida 🤣🤣

Takwimu za uhalisia hizi hapa 👇View attachment 2973831

Achana na hayo matakwimu ya kutengeneza ya uwongo .
Polling ndio ukweli wenyewe nakushanga Kwa nini unakataa ukweli na kuja na matakwimu ya kupika
 
Back
Top Bottom