Mwananchi waomba radhi baada ya wananchi wengi kupiga kura ya kuridhishwa na Sera za Uchumi za Magufuli dhidi ya marais wengine

Mwananchi waomba radhi baada ya wananchi wengi kupiga kura ya kuridhishwa na Sera za Uchumi za Magufuli dhidi ya marais wengine

Siku zote wenye akili Huwa ni wachache.Hata Nyerere alivyouliza mnataka Vyama vingi au Kimoja wengi walisema Kimoja ila Kwa kuwa siku zote wajinga ni wengi aka opt uamzi wa wachache.

Wenye akili hawajawahi kuwa wengi ndio maana Wanasiasa maigizo dizaini ya hao wanawachezea akili saizi amekuja Makonda na ana wafuasi wale wale wa kundi la Magufuli.
Hivi machizi waliokuwepo milembe na wenye akili zao mtaani wapi ni wengi?
 
Hayati JPM anastahili.

JPM kwa kazi zake, uthubutu wake, ujasiri wake, utendaji wake, ushughulikiaji wa masuala yanayogusa wananchi na yenye maslahi kwa taifa, uteteaji wa rasilimali za nchi, uzalendo kwa nchi yake ni vitu ambavyo vinamtetea hata kama hayupo.

JPM ataendelea kubaki mioyoni mwa watanzania wengi.
Matokeo ya gazeti la Mwananchi ni halisi na ndivyo wananchi wengi wanavyosema hata sasa huku mtaani.

Kama hawaamini warudie na takwimu zitaendelea kuwapa uhalisia wa jinsi anavyokubalika na wengi pamoja na kwamba ameshatangulia mbele ya haki.
 
Kwani wajinga kuwa wengi kunazuia polling? Wewe hapo niambie Magufuli amemzidi Samia lipi hasa na Mimi nikueleze Samia aliyomzidi Magufuli,hata ukitaka leta sekta Moja baada ya nyingine tulinganishe.

Narudia kukuuliza tena,wewe unadhani aliyekuza Mapato kutoka 1.5T Hadi 2.2T Kwa miaka 3 nani amefanya kazi kubwa?
Tulia wewe.
Acha kulazimisha ukweli kuwa uongo.
 
Kwani wajinga kuwa wengi kunazuia polling? Wewe hapo niambie Magufuli amemzidi Samia lipi hasa na Mimi nikueleze Samia aliyomzidi Magufuli,hata ukitaka leta sekta Moja baada ya nyingine tulinganishe.

Narudia kukuuliza tena,wewe unadhani aliyekuza Mapato kutoka 1.5T Hadi 2.2T Kwa miaka 3 nani amefanya kazi kubwa?
Cha kwannza,Magufuli amemzidi Samia kwenye hiyo polling,maana yake ni kwamba "nobody give a fvck to droopy eyes"n
Pili,nimekuuliza, kabla Magufuli hajaingia madarakani mapato yalikuwa kiasi Gani,na baada ya kuingia mapato yalikuwa Kiasi Gani? Unaleta taarabu hapa.
 
Kwani wajinga kuwa wengi kunazuia polling? Wewe hapo niambie Magufuli amemzidi Samia lipi hasa na Mimi nikueleze Samia aliyomzidi Magufuli,hata ukitaka leta sekta Moja baada ya nyingine tulinganishe.

Narudia kukuuliza tena,wewe unadhani aliyekuza Mapato kutoka 1.5T Hadi 2.2T Kwa miaka 3 nani amefanya kazi kubwa?
Sikiliza wewe kenge maji hoja ilikuwa polling na matokeo ya polling basi.
Hao walioamua kuomba msamaha ni zuga tu mbona hawajatoa matokeo mengine ya polling.
Kwa hiyo tambua hayo matokeo ya polling ndivyo hivyo jamii inamchukulia huyo mama yenu
 
Sikiliza wewe kenge maji hoja ilikuwa polling na matokeo ya polling basi.
Hao walioamua kuomba msamaha ni zuga tu mbona hawajatoa matokeo mengine ya polling.
Kwa hiyo tambua hayo matokeo ya polling ndivyo hivyo jamii inamchukulia huyo mama yenu
You nailed it bro! Ni kwamba,hakuna anayetaka siasa za vidole juu,we want work! Nothing else.
 
Cha kwannza,Magufuli amemzidi Samia kwenye hiyo polling,maana yake ni kwamba "nobody give a fvck to droopy eyes"n
Pili,nimekuuliza, kabla Magufuli hajaingia madarakani mapato yalikuwa kiasi Gani,na baada ya kuingia mapato yalikuwa Kiasi Gani? Unaleta taarabu hapa.
Huyo jamaa unahangaika nae tu maana yeye anaamini ndo anaweza kuwa na mawazo sahihi kuliko watu wote juu ya Magufuli!
Ila raia bado wanamkubali Magufuli kuliko hao walio hai kwa sasa
 
Cha kwannza,Magufuli amemzidi Samia kwenye hiyo polling,maana yake ni kwamba "nobody give a fvck to droopy eyes"n
Pili,nimekuuliza, kabla Magufuli hajaingia madarakani mapato yalikuwa kiasi Gani,na baada ya kuingia mapato yalikuwa Kiasi Gani? Unaleta taarabu hapa.
Tangu lini werevu wakawa wengi kuzidi wajinga? Na wajinga wakiamua lao si unajua matokea? Don't play with wajinga ,they don't use brain 😁😁

Nakujibu Kwa kutumia takwimu ndogo tuu,wakati Magufuli anaingia madarakani wastani wa Makusanyo TRA ilikuwa Bilioni 800 Kwa mwezi,Hadi anakufa 2021 wastani ulikuwa 1.5T..sawa na Bilioni 700 Kwa miaka 5.

Samia kutoka 1.5T Hadi 2.2T/M sawa na Bilioni 700 miaka 3.

Bajeti hii inayoendelea Sasa hivi TRA inatarajia kufikisha 2.5T Kwa mwezi na hapo hakuna mradi mkubwa hata mmja wa Magufuli umeanza Kuzalisha ,ni sera za kurudisha Imani Kwa wafanyabiashara zimelwta hela.

Huo ni ushahidi wa kwanza,nikutajie mengine? Tumia brain sio moyo kufanya judgement takwimu zinaongea ila mapenzi ni tofauti na takwimu.Kama unataka mapenzi peleka Kwa.Magu ila kama unataka takwimu Samia is here to stay
 
Sikiliza wewe kenge maji hoja ilikuwa polling na matokeo ya polling basi.
Hao walioamua kuomba msamaha ni zuga tu mbona hawajatoa matokeo mengine ya polling.
Kwa hiyo tambua hayo matokeo ya polling ndivyo hivyo jamii inamchukulia huyo mama yenu
Sikia wewe fala,nimekujibu Toka Mwanzo kwamba ni lini werevu wamewahi kuwa wengi kuzidi wajinga?
 
We want team Ndugai,Lukuvi, kabudi
Tangu lini werevu wakawa wengi kuzidi wajinga? Na wajinga wakiamua lao si unajua matokea? Don't play with wajinga ,they don't use brain 😁😁

Nakujibu Kwa kutumia takwimu ndogo tuu,wakati Magufuli anaingia madarakani wastani wa Makusanyo TRA ilikuwa Bilioni 800 Kwa mwezi,Hadi anakufa 2021 wastani ulikuwa 1.5T..sawa na Bilioni 700 Kwa miaka 5.

Samia kutoka 1.5T Hadi 2.2T/M sawa na Bilioni 700 miaka 3.

Bajeti hii inayoendelea Sasa hivi TRA inatarajia kufikisha 2.5T Kwa mwezi na hapo hakuna mradi mkubwa hata mmja wa Magufuli umeanza Kuzalisha ,ni sera za kurudisha Imani Kwa wafanyabiashara zimelwta hela.

Huo ni ushahidi wa kwanza,nikutajie mengine? Tumia brain sio moyo kufanya judgement takwimu zinaongea ila mapenzi ni tofauti na takwimu.Kama unataka mapenzi peleka Kwa.Magu ila kama unataka takwimu Samia is here to stay
Nilitaka ujilete hivyo mbwa ww! Swali,
Magufuli kutoka 800bln to 1.5,mbona team Samia na Kikwete hwakufika hapo? Hayo mapato yaliyopanda Kwa Samia,ni njia aliyowekewa na Magu namna ya kukusanya mapato. Na ndio maana Samia since have never iniated anyways to increase Revenue!
 
Back
Top Bottom