uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,045
- 8,608
Udini utakumalizaJiwe nae alikuwa fisadi tu sema alithibiti Bunge, Mahakama na Vyombo vya habari pamoja na whistleblowers.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Udini utakumalizaJiwe nae alikuwa fisadi tu sema alithibiti Bunge, Mahakama na Vyombo vya habari pamoja na whistleblowers.
Marehemu kawagaragaza tena!Sio kwamba hujaolewa maelezo ya gazeti au?
Sana! Kina Makmba, kinana, Nape wamegalagazwaWaliopiga kura itakuwa wanyonge walalahoi wala mihogo tu
Wewe mgomvi😂 Hata wasemeje
Tayari
Message sent and delivered
Kwanza nashangazwa sna samia amepataje hzo kura alipazwa alambe negative kbsa hkn mvhumi hapoKwa hayo matokeo ni wazi umepanic, wanasema kazini kwako kuna kazi 😂😂
Ukiliona ubao wowote ule njoo uchukue mia kwanguHivi halipo tena lile gazeti hata sijui!
Ukiwa fisadi lakini unafanya maendeleo makubwa hakuna shidaJiwe nae alikuwa fisadi tu sema alithibiti Bunge, Mahakama na Vyombo vya habari pamoja na whistleblowers.
Hivi mtu na akili zako timamu utampenda Samia na Genge lake kwa lipi?Na huo ndio UKWELI na uhalisia ulivyo hata huku mtaani!
Sio hayo mapambio ya eti mama anaupiga mwingi!? ..waaapi!?
Na hapo Bado sikuiona hii!..! NILIKUWA SIJA-CAST KURA YANGU!
NINGEPIGA KURA NA MIMI...MNGEENDELEA KUMVUA HUYO MAMAENU NGUO!... NA KUENDELEA KUSHUKA PENGINE HADI -0.001%
Hayo ya mwananchi(gazeti) kuomba radhi.... Ni matakwa/ maagizo kutoka juu...
Wameona uhalisia ulivyo kwa ground!...Mwananchi hawajaomba kwa utashi wao!
Acha longolongo zako hata uweke vigezo gani ishu ni waliopiga Kura .Ni kweli vigezo havikuwa sahihi, sera za uchumi ni budi zipimwe kwa matokeo yake sio kwa malengo yake (dreams).
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Hata mamayo kagalagazzwa!Wanaomjua Mkapa alifanya nini ni wenye umri wa 50 years and above ambao ni less than 20% ya population. Na kati ya hao wanaoingia kwenye mitandao ni less 40%.
Ungeniuliza mimi ningekuambia marais wote kuanzia Awamu ya 4 wanatembelea kwenye misingi ya BW Mkapa.
Kura kama hii huwezi kuifanyia statistical analysis kwa kuwa hujui demographic factors zake.
Ni sawa tufaye wewe ndio Kati ya hao mliompigia samia , Ila ndio hivyo mpo wachache mmeshindwa mama yenu hana kituUkiniuliza Mimi Nina sababu Milioni za kusapoti Samia over Magufuli na nimekuwa naelezea humu jukwaani bila kujalisha Sukuma gang wanasemaje.
Ushahidi?Jiwe nae alikuwa fisadi tu sema alithibiti Bunge, Mahakama na Vyombo vya habari pamoja na whistleblowers.
CCMchannel am misding you so much😂 Hata wasemeje
Tayari
Message sent and delivered
Siku zote wenye akili Huwa ni wachache.Hata Nyerere alivyouliza mnataka Vyama vingi au Kimoja wengi walisema Kimoja ila Kwa kuwa siku zote wajinga ni wengi aka opt uamzi wa wachache.Ni sawa tufaye wewe ndio Kati ya hao mliompigia samia , Ila ndio hivyo mpo wachache mmeshindwa mama yenu hana kitu
Acha ujinga wewe jamaa, Takwimu za polling zipo wazi acha kuleta takwimu zako ,kama vipi anzisha polling hapa hapa Kwenye thread hiiNina chuki au natumia takwimu 😂😂😂😁
Chuki za nini hasa? 😂😂 ,Mbona takwimu hamtaki ila mnataka kutumia moyo kama mambo ya kitandani 🤣🤣
Sio busara kushindana na Marehemu,ogopa sana jamii ikiwa na wajinga wengi ndio huchagua Hadi RaisMarehemu kawagaragaza tena!
Ndio mtaelewa kwanini watu walikuwa wanajaa kwa Makonda kuliko hayo mapooza ya sasa hivi kuna nchimbi.
Inaonekana walipiga kura wenyewe wafanyakazi wa the Citizen na familia zao kupunguza aibu!pamoja na hayo matokeo naona kabisa magufuri wamemwibia kura...samia na kikwete hawakustahili kupata hapa chembe
Kwani wajinga kuwa wengi kunazuia polling? Wewe hapo niambie Magufuli amemzidi Samia lipi hasa na Mimi nikueleze Samia aliyomzidi Magufuli,hata ukitaka leta sekta Moja baada ya nyingine tulinganishe.Acha ujinga wewe jamaa, Takwimu za polling zipo wazi acha kuleta takwimu zako ,kama vipi anzisha polling hapa hapa Kwenye thread hii
mama kaanguka Gazeti la Mwananchi wametumia Jecha style