Mwananchi waomba radhi baada ya wananchi wengi kupiga kura ya kuridhishwa na Sera za Uchumi za Magufuli dhidi ya marais wengine

Mwananchi waomba radhi baada ya wananchi wengi kupiga kura ya kuridhishwa na Sera za Uchumi za Magufuli dhidi ya marais wengine

Wanaharakati huko mtandaoni X wanadai Vijana wa Sasa Wengi hawakushuhudia utendaji Kazi uliotuka wa hayati Mkapa ila wamebahatika kumshuhudia hayati Magufuli tu

Maria Sarungi & co kwahiyo mnatuambia Mkapa ndio amejenga Uchumi Bora wa Tanzania?

Ni hilo tu

Mlale Unono

Kanisa Moja Takatifu La Mitume 😀
Kwani mzee sarungi alikuwa waziri kipindi gani vile?
 
Kura za watu 1,025!

Huu ni uduwanzi
Tena wanaojua kingereza kibongobongo ni watu wenye ufahamu fulani!
Njoo sasa mtaani huku ulete huo utafiti kama Samia hapati asilimia 2! Endelea kuita uduanzi unadhani hata wangekuwa milioni moja asilimia za Mama zingepanda na kumzidi Magufuli? Punguza ujinga unao sukumwa na chuki!
 
Wanaharakati huko mtandaoni X wanadai Vijana wa Sasa Wengi hawakushuhudia utendaji Kazi uliotuka wa hayati Mkapa ila wamebahatika kumshuhudia hayati Magufuli tu

Maria Sarungi & co kwahiyo mnatuambia Mkapa ndio amejenga Uchumi Bora wa Tanzania?

Ni hilo tu

Mlale Unono

Kanisa Moja Takatifu La Mitume 😀
ndio
 
Sasa we gazeti unaombaje radhi au lwa kuwa sa100kaambulia 17 swali nawauliza je samia angepata kura nyingi je mngeomba radhi? Au
 
Wanaomjua Mkapa alifanya nini ni wenye umri wa 50 years and above ambao ni less than 20% ya population. Na kati ya hao wanaoingia kwenye mitandao ni less 40%.

Ungeniuliza mimi ningekuambia marais wote kuanzia Awamu ya 4 wanatembelea kwenye misingi ya BW Mkapa.

Kura kama hii huwezi kuifanyia statistical analysis kwa kuwa hujui demographic factors zake.
Mkapa alietuweka kwenye mgao wa umeme unawaka saa sita usiku hadi kumi na moja asubuhi? Mkapa alieuza nyumba za Oyster Bay? Mkapa aliye binafsisha mashirika bila faida kwa umma. CCM haijawahi kuwa na viongozi wazuri.
 
Wanaomjua Mkapa alifanya nini ni wenye umri wa 50 years and above ambao ni less than 20% ya population. Na kati ya hao wanaoingia kwenye mitandao ni less 40%.

Ungeniuliza mimi ningekuambia marais wote kuanzia Awamu ya 4 wanatembelea kwenye misingi ya BW Mkapa.

Kura kama hii huwezi kuifanyia statistical analysis kwa kuwa hujui demographic factors zake.
'Statistics' kama ilivyo kwa taaluma ya uchumi, huwezi kukosa sababu ya kisingizio kwa nini namba hazionyeshi kama ulivyotegemea wewe. Hapa unahoji 'demographics'; lakini isingewezekana Mwananchi wachambue watu maalum wa kuwauliza maswali ili wapate majibu sahihi. Labda unachoweza kusema sasa hivi, ni kuchambua hizo data walizopata, kama kulikuwepo na kipengere cha umri, sasa waangalie hao 'responders' wa umri gani wanalalia kwa kiongozi yupi.
Lakini hilo haliwezi kufanya matokeo ya utafiti yasiwe halali.
 
Sikiliza wenye akili zao wanavomuongelea MAGUFULI
 

Attachments

  • professor_patrick_lumumba_described_late_john_pombe_magufuli_tanzanian_president_in_video._h26...mp4
    5.1 MB
Jiwe nae alikuwa fisadi tu sema alithibiti Bunge, Mahakama na Vyombo vya habari pamoja na whistleblowers.
 
Ila ex seminarian wa Katoke asingekuwa na vya kuua ua kisa demokrasia na kupenda kuongoza nchi kama familia ni alikuwa na uthubutu wa kutupeleka sehem!
Basi tu ujasiri bila maarifa huzaa msiba!
Umeaminishwa ivyo na mafisadi ukaamini
 
Back
Top Bottom