Mwanangu amepoteza uwezo wakusimama na kutembea

Mwanangu amepoteza uwezo wakusimama na kutembea

Nibinti wa miaka 10 ijumaa trh 11mar,2022 amerudi toka shuleni sa11 jioni akasema ameanguka akiwa anacheza mpira wamiguu nawavulana shuleni tukamuuliza umeumia? Akasema kidogo nikweli alikua anatembea kama anavuta mguu kwa mbali sana mamaake akamuangalia miguu ipo sawa haina uvimbe wala nini.

Jumamosi ameamka vzr akajiandaa kwenda shuleni(wanafanya mitihani kila jmos)kuulizwa maumivu akasema nikidogo akapewa dawa yamaumu akameza akaondoka.

Huku nyuma tukanunua dawa yakuchua alivyorudi tukamchua bas akaendelea kupumzika pamoja na root ndogo ndogo zadukani,

Lkn jumapili tukaona anazidi kuburuza miguu anatembea kwa shida bas muda mwingi akawa ndani tu.

Jumatatu akaamka akawa anashindwa kabisa kutembea yn anatembea kwa kujishikilia ukutani anasema anapata maumivu makali sana kwene nyonga tukampeleka hsptl akapigwa exray yamiguu yote pamoja na nyonga lkn majibu yakaja kuwa hakunamvunjiko wamoja kwa moja unnaonekana wakamchukua damu kwa vipimo vingine lkn pia hawajaona shida wakatupatia vidonge vyamaumivu tu kua aendelee kutumia pamoja naile dawa yakuchua atakuwa sawa,

Hadi Jumatano mtoto hali inazidi kuwa nbaya sasa miguu yote hawezi kusimama,kutembea wala kuitikisa yan hata kuisogeza mpaka aisapoti kwa mikono, ikabidi twende hsptl nyingine nayo wakampiga exray zamiguu na nyonga wakasema hivyo hivyo kuwa hawaoni mvunjiko wowote labda ninyama tu kikubwa apumzike muda mwingi wakatupatia vidonge vya maumivu na dawa ya kuchua lkn hadi leo mtoto bado hakuna unafuu wowote na usiku akilala huwa analalamika maumivu makali juzi ilibidi tuite nesi akamchoma sindano yamaumivu akalala vzr najana akashinda vzr bila maumivu ila miguu ndo ipo totaly disable niwakubeba nakusogeza kwakila alitendalo kufika usiku muda wakulala maumivu yakaanza upya nesi akaja akamchoma sindano lkn jana pamoja nakuchomwa sindano yamaumivu aliendelea kugugumia maumivu usiku kucha usingizi niwamang'amng'am yn akisinzia kidogo anaamka anagugumia maumivu,

Amekuja kuupata usingizi mzuri sa10 hapo ndo amelala hadi sambili bila kushtuka na ameamka bila maumivu lkn bado miguu haifanyi chochote naukijaribu hata kumsimamisha anapiga yowe kwa maumivu makali anayoyapata kwene nyonga.

NIMEKUJA KWENU WAKUU MNISHAURI NIFANYE NINI KUMUOKOA MWANANGU nahofia mwanangu asije akapata ulemavu wakudumu(Eeh Mungu aepushie mbali)
Kama una imani mpeleke kanisani!! Kwa MWAMPOSA, au kanisa jingine unakopaamini.
 
Nibinti wa miaka 10 ijumaa trh 11mar,2022 amerudi toka shuleni sa11 jioni akasema ameanguka akiwa anacheza mpira wamiguu nawavulana shuleni tukamuuliza umeumia? Akasema kidogo nikweli alikua anatembea kama anavuta mguu kwa mbali sana mamaake akamuangalia miguu ipo sawa haina uvimbe wala nini.

Jumamosi ameamka vzr akajiandaa kwenda shuleni(wanafanya mitihani kila jmos)kuulizwa maumivu akasema nikidogo akapewa dawa yamaumu akameza akaondoka.

Huku nyuma tukanunua dawa yakuchua alivyorudi tukamchua bas akaendelea kupumzika pamoja na root ndogo ndogo zadukani,

Lkn jumapili tukaona anazidi kuburuza miguu anatembea kwa shida bas muda mwingi akawa ndani tu.

Jumatatu akaamka akawa anashindwa kabisa kutembea yn anatembea kwa kujishikilia ukutani anasema anapata maumivu makali sana kwene nyonga tukampeleka hsptl akapigwa exray yamiguu yote pamoja na nyonga lkn majibu yakaja kuwa hakunamvunjiko wamoja kwa moja unnaonekana wakamchukua damu kwa vipimo vingine lkn pia hawajaona shida wakatupatia vidonge vyamaumivu tu kua aendelee kutumia pamoja naile dawa yakuchua atakuwa sawa,

Hadi Jumatano mtoto hali inazidi kuwa nbaya sasa miguu yote hawezi kusimama,kutembea wala kuitikisa yan hata kuisogeza mpaka aisapoti kwa mikono, ikabidi twende hsptl nyingine nayo wakampiga exray zamiguu na nyonga wakasema hivyo hivyo kuwa hawaoni mvunjiko wowote labda ninyama tu kikubwa apumzike muda mwingi wakatupatia vidonge vya maumivu na dawa ya kuchua lkn hadi leo mtoto bado hakuna unafuu wowote na usiku akilala huwa analalamika maumivu makali juzi ilibidi tuite nesi akamchoma sindano yamaumivu akalala vzr najana akashinda vzr bila maumivu ila miguu ndo ipo totaly disable niwakubeba nakusogeza kwakila alitendalo kufika usiku muda wakulala maumivu yakaanza upya nesi akaja akamchoma sindano lkn jana pamoja nakuchomwa sindano yamaumivu aliendelea kugugumia maumivu usiku kucha usingizi niwamang'amng'am yn akisinzia kidogo anaamka anagugumia maumivu,

Amekuja kuupata usingizi mzuri sa10 hapo ndo amelala hadi sambili bila kushtuka na ameamka bila maumivu lkn bado miguu haifanyi chochote naukijaribu hata kumsimamisha anapiga yowe kwa maumivu makali anayoyapata kwene nyonga.

NIMEKUJA KWENU WAKUU MNISHAURI NIFANYE NINI KUMUOKOA MWANANGU nahofia mwanangu asije akapata ulemavu wakudumu(Eeh Mungu aepushie mbali)
Pole sana nenda kwa daktari wa misuli
 
Mkuu usihangaike namwanao popote ispokua hospital. Mambo yamatibabu yanachangamoto nyingi Sana hasa kiuchunguzi navipimo lakin usichoke kuhangaika naukajitikomeza kwnye njia zisizo kitaalam,

Nimuhimu kubalance mambo ya imani najitihada zako kama mzazi. Weka Imani yote mungu atamponya ilajitihada 100% weka kwenye tiba zakisayansi. Wengi wanapotea kwenye hilo nakuwaumiza Zaid wapendwa wao

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Usifanye makosa ya kuchelewa. Mpeleke hospitali kubwa kama Muhimbili etc. Mimi naamini hiyo itakuwa ni hitilafu kwenye moja ya pingili za Uti wa Mgongo, hali inayopelekea kubanwa kwa mishipa ya fahamu inayosambaa kwenda maeneo ya chini ya mwili.

Hakuna muujiza zaidi ya kuwahi haraka sana Muhimbili.

Pia, Nitaangalia kama ninayo Namba ya daktari yeyote pale MOI akupe ushauri zaidi wa kitaalamu.
 

Case 2: Acute paralysis in a 10-year-old girl​

Sarah Reid, MD FRCPC and Erick Sell, MD

Additional article information

An otherwise healthy 10-year-old girl presented with acute onset of lower extremity paresthesia, weakness and altered bladder function following the performance of long jump at school. Before and at the time of the jump, she did not complain of any pain or trauma, and was able to walk normally.

Approximately 1 h after the jump however, she experienced a gradual onset of weakness and decreased sensation in her lower extremities.

When she presented to the pediatric emergency department 12 h later, she was unable to walk. She complained of mild lower back pain and saddle paresthesia. Her vital signs were stable; she was afebrile, alert and oriented. Her cranial nerves and upper extremity examination were normal. Her reflexes were absent at the knee and ankle bilaterally. Strength was preserved at her hips (5 of 5), slightly decreased at her knees (3 of 5) and significantly decreased at her ankles (1 to 2 of 5 plantar- and dorsiflexion). Her sensation to light touch and pinprick was decreased in an L3 to S1 distribution bilaterally. She had no rectal tone. She had not voided since before the jump. Further investigation revealed the diagnosis.

The finding of diffusion restriction in the T12 to L1 region of the spinal cord was consistent with acute infarct and edema. Further investigations including MRI of the head, echocardiogram, thrombophilia screening and cerebrospinal fluid studies were normal. On follow-up MRI/magnetic resonance angiogram, postischemic gliosis was observed in the region of the infarct and no evidence of dural arteriovenous malformation was found.

READ MORE : Case 2: Acute paralysis in a 10-year-old girl

Pole mzazi kwa kuuguliwa.

Zingatia sana hapa na yaliyotolewa hapo juu.

1: Inawezekana uumiaji wa mtoto haukuwa mkubwa kuleta athari ya ghafla, ila matokeo ya kuumia ndo yameleta shida (kututumka kwa mwili/inflammation) au kadri ya tiba za kuchua zimeongeza tatizo pia.

2: Hii inahusisha athari kwenye mfumo wa uti wa mgongo ndo maana athari zinaonekana pande zote mbili za miguu (mfumo wa umeme na taarifa kutofika miguuni vizuri).

3: Baada ya Xray, CT scan ya uti wa mgongo kutegemea na level ya panapoanzia maumivu au ganzi ni muhimu.

4: Mpeleke mgonjwa kwenye hospitali ya juu zaidi yenye madaktari wa mifupa na mishipa ya fahamu pia yenye uwezo wa kufanya vipimo tajwa kulingana na ulipo.

5: Kama unatumia bima, hakikisha unapata referral note kukuondolea usumbufu.

6: Naomba msimkande au kumchua maeneo ya mgongo kwa sasa/tena. Bali aendelee na dawa za kumeza/sindano au hiyo ya kupaka ni APAKWE TU BILA KUCHUA AU KUMKANDA.

7: Msimbebe kwa kukunja uti wa mgongo bali awekwe kwenye kitu kigumu ambacho mgongo haujikunji.
 
Pole mzazi kwa kuuguliwa.

Zingatia sana hapa na yaliyotolewa hapo juu.

1: Inawezekana uumiaji wa mtoto haukuwa mkubwa kuleta athari ya ghafla, ila matokeo ya kuumia ndo yameleta shida (kututumka kwa mwili/inflammation) au kadri ya tiba za kuchua zimeongeza tatizo pia.

2: Hii inahusisha athari kwenye mfumo wa uti wa mgongo ndo maana athari zinaonekana pande zote mbili za miguu (mfumo wa umeme na taarifa kutofika miguuni vizuri).

3: Baada ya Xray, CT scan ya uti wa mgongo kutegemea na level ya panapoanzia maumivu au ganzi ni muhimu.

4: Mpeleke mgonjwa kwenye hospitali ya juu zaidi yenye madaktari wa mifupa na mishipa ya fahamu pia yenye uwezo wa kufanya vipimo tajwa kulingana na ulipo.

5: Kama unatumia bima, hakikisha unapata referral note kukuondolea usumbufu.

6: Naomba msimkande au kumchua maeneo ya mgongo kwa sasa/tena. Bali aendelee na dawa za kumeza/sindano au hiyo ya kupaka ni APAKWE TU BILA KUCHUA AU KUMKANDA.
Umemaliza kila kitu ..
Hiyo case 2 toka kwa mdau bagamoyo na maelezo yako yana mwanga wa moja kwa moja.

USISAHAU MAOMBI..
PINDI UTAKAPOPATA SULUHU.. USISITE KUTUPA MREJESHO.
 
Ukiambiwa hosipitalini kuwa nenda kajaribu kwenye maombi unabidi ujiongeze hawawezi kukuambia jaribu na dawa za wanganga wa kienyeji.Wanakuambia mpeleke kwenye maombi.​
 
NENDA HOSPITALI KUBWA :

Je katika mtoto anapata haja kubwa na ndogo kama kawaida, hapa ni kutaka kujua kama amepata maumivu ya mishipa ya fahamu ya uti wa mgongo au kiuno ambapo hupelekea mtu yeyote kushindwa kuzuia / kupata haja ndogo n.k ? Maana maumivi mengine umejaribu kuyaelezea.
Kuhusu haja kubwa mwisho amejisaidia jumapili nakula anakula vzr tu nimemuuliza inamaana husikii haja kabisa au unajibana anasema toka j3 hajahisi haja kubwa kabisa,haja ndogo anapata vzr na anacontrol(hajikojolei) huwa anasema nasikia mkojo ndo tunamuweka sehemu yakukojoa anakojoa kisha tunamtoa.
Vipimo zaidi nitampeleka hosptal yarufaa juma3 kuhusu uti wa mgongo apo sijui zaidi ila anakaa nakujisomea vitabu vyake ama kuangalia Tv vizuri tu bila kujiegemeza sehemu yoyote
 
Usifanye makosa ya kuchelewa. Mpeleke hospitali kubwa kama Muhimbili etc. Mimi naamini hiyo itakuwa ni hitilafu kwenye moja ya pingili za Uti wa Mgongo, hali inayopelekea kubanwa kwa mishipa ya fahamu inayosambaa kwenda maeneo ya chini ya mwili.
Kwa comment yako hii imenifanya nimuambie achezeshe vidole vya miguu lkn ameshindwa
 
Pole sana, tunamuombea afya
Mpeleke Hospitali kama Dar ni MOI.

Usisikilize upuuzi wa kwenda kwa mganga wala maombi,
sijawahi maisha mwangu kujua, kuona wala kushuduhudia mtu yeyeto aliye na critical illness kutibiwa na kupona na mganga wala makelele ya maombi.
 
Onana na Neurologist kama yupo pale MOI,

Inawezekana kuna tatizo katika mfumo mzima wa nyonga au katika mfumo wake wa kichwa....


PDX sciatica
 
Nibinti wa miaka 10 ijumaa trh 11mar,2022 amerudi toka shuleni sa11 jioni akasema ameanguka akiwa anacheza mpira wamiguu nawavulana shuleni tukamuuliza umeumia? Akasema kidogo nikweli alikua anatembea kama anavuta mguu kwa mbali sana mamaake akamuangalia miguu ipo sawa haina uvimbe wala nini.

Jumamosi ameamka vzr akajiandaa kwenda shuleni(wanafanya mitihani kila jmos)kuulizwa maumivu akasema nikidogo akapewa dawa yamaumu akameza akaondoka.

Huku nyuma tukanunua dawa yakuchua alivyorudi tukamchua bas akaendelea kupumzika pamoja na root ndogo ndogo zadukani,

Lkn jumapili tukaona anazidi kuburuza miguu anatembea kwa shida bas muda mwingi akawa ndani tu.

Jumatatu akaamka akawa anashindwa kabisa kutembea yn anatembea kwa kujishikilia ukutani anasema anapata maumivu makali sana kwene nyonga tukampeleka hsptl akapigwa exray yamiguu yote pamoja na nyonga lkn majibu yakaja kuwa hakunamvunjiko wamoja kwa moja unnaonekana wakamchukua damu kwa vipimo vingine lkn pia hawajaona shida wakatupatia vidonge vyamaumivu tu kua aendelee kutumia pamoja naile dawa yakuchua atakuwa sawa,

Hadi Jumatano mtoto hali inazidi kuwa nbaya sasa miguu yote hawezi kusimama,kutembea wala kuitikisa yan hata kuisogeza mpaka aisapoti kwa mikono, ikabidi twende hsptl nyingine nayo wakampiga exray zamiguu na nyonga wakasema hivyo hivyo kuwa hawaoni mvunjiko wowote labda ninyama tu kikubwa apumzike muda mwingi wakatupatia vidonge vya maumivu na dawa ya kuchua lkn hadi leo mtoto bado hakuna unafuu wowote na usiku akilala huwa analalamika maumivu makali juzi ilibidi tuite nesi akamchoma sindano yamaumivu akalala vzr najana akashinda vzr bila maumivu ila miguu ndo ipo totaly disable niwakubeba nakusogeza kwakila alitendalo kufika usiku muda wakulala maumivu yakaanza upya nesi akaja akamchoma sindano lkn jana pamoja nakuchomwa sindano yamaumivu aliendelea kugugumia maumivu usiku kucha usingizi niwamang'amng'am yn akisinzia kidogo anaamka anagugumia maumivu,

Amekuja kuupata usingizi mzuri sa10 hapo ndo amelala hadi sambili bila kushtuka na ameamka bila maumivu lkn bado miguu haifanyi chochote naukijaribu hata kumsimamisha anapiga yowe kwa maumivu makali anayoyapata kwene nyonga.

NIMEKUJA KWENU WAKUU MNISHAURI NIFANYE NINI KUMUOKOA MWANANGU nahofia mwanangu asije akapata ulemavu wakudumu(Eeh Mungu aepushie mbali)
Mkuu kwa mujibu ya maelezo yako huyo binti wako amekumbwa na upepo wa pepo mchafu Shetani ndio anaye msumbuwa utamaliza vipimo vyote vya hospitali na maradhi hayawezi kuyaona na hata ukimpeleka kwa wachungaji sio rahisi huyo pepo mchafu kumtowa. Nitafute mimi kwa wakati wako nipate kumtoa pepo mchafu aliye mkumba binti yako ili aweze kupona maradhi yake.
 
Kwa comment yako hii imenifanya nimuambie achezeshe vidole vya miguu lkn ameshindwa
Pole sana mkuu, naungana na wote wanaoshauri utafiti wa kisayansi, sikatai kuwa kuwa kuna mambo ya kienyeji lakini kwa case yako tafadhali zingatia sana sana vipimo vya kisayansi na tiba yake.
Fanya hivyo huku ukimwomba mwenyeezi mungu amponye binti yako inshaallah.

Sent from my D6616 using JamiiForums mobile app
 
Ni tatizo la moyo watoto huwa wanapata stroke.... Mpeleke hospital kubwa mwanangu
 
Back
Top Bottom