Mwanangu amepoteza uwezo wakusimama na kutembea

Mwanangu amepoteza uwezo wakusimama na kutembea

Kaka, tujuze hali ya mtoto tafadhali.

Ulikwenda hospitali?

Vipimo vimeonesha nini?

Ana nafuu yeyote mpaka sasa?
Hospital vipimo havijabaini tatizo lolote,
wazee walinitaka nimpeleke kjijini,
Nilifanya hivyo nahadi sasa yupo huko.
Jambo lakushukuru kwasasa unafuu unaonekana,miguu anaweza kuisogeza bila kuisapot kwamikono.amekuwa kama mtoto anaejifunza kusimama nakutembea ila inatia moyo.
 
Hospital vipimo havijabaini tatizo lolote,
wazee walinitaka nimpeleke kjijini,
Nilifanya hivyo nahadi sasa yupo huko.
Jambo lakushukuru kwasasa unafuu unaonekana,miguu anaweza kuisogeza bila kuisapot kwamikono.amekuwa kama mtoto anaejifunza kusimama nakutembea ila inatia moyo.
Mwenyezi Mungu atamponya mkuu.. Mpambanie binti kwa kila namna
 
Pole sana, tunamuombea afya
Mpeleke Hospitali kama Dar ni MOI.

Usisikilize upuuzi wa kwenda kwa mganga wala maombi,
sijawahi maisha mwangu kujua, kuona wala kushuduhudia mtu yeyeto aliye na critical illness kutibiwa na kupona na mganga wala makelele ya maombi.
YOU ARE VERY FOOLISH INDEED.

HIZO SAYANSI ZAKO UCHWARA UNAFIKIRI ZINAFUA DAFU ENDAPO MTU AMEINGIWA NA KIUMBE MWILINI MWAKE?

ACHA MCHEZO WEWE, NA BADO HUJAUJUA ULIMWENGU VIZURI.

UNACHEZA TU, MTOTO MDOGO WEWE.
 
Achana na habari za maombi na waganga. Nenda hospital kubwa
HOSPITALI KUBWA IPI?

UMEAMBIWA VIPIMO VYA HOSPITALI HAVIONESHI TATIZO LOLOTE.

NYIE NDIO WACHAWI WENYEWE MSIOTAKA MTOTO APONE.
 
Maombi maombi, acha upotoshaji ndugu. Nani alipona ugonjwa kwa kuombewa , toka lini kuongea kukatibu mwili wa mwanadamu
WEWE NI MCHAWI MBAYA SANA.

ACHA MTOTO AOMBEWE.
 
Hospital vipimo havijabaini tatizo lolote,
wazee walinitaka nimpeleke kjijini,
Nilifanya hivyo nahadi sasa yupo huko.
Jambo lakushukuru kwasasa unafuu unaonekana,miguu anaweza kuisogeza bila kuisapot kwamikono.amekuwa kama mtoto anaejifunza kusimama nakutembea ila inatia moyo.
Mungu mkubwa...usidharau tiba zetu za Kiafrika.....duh dunia ina mitihani hiii!
 
Hospital vipimo havijabaini tatizo lolote,
wazee walinitaka nimpeleke kjijini,
Nilifanya hivyo nahadi sasa yupo huko.
Jambo lakushukuru kwasasa unafuu unaonekana,miguu anaweza kuisogeza bila kuisapot kwamikono.amekuwa kama mtoto anaejifunza kusimama nakutembea ila inatia moyo.
Pole sana ndugu yangu. Mungu ampe nafuu mtoto wetu, atapona, poleni nanyi kwa mtihani huo, Mungu awape subira katika kumuuguza binti.
 
Hospital vipimo havijabaini tatizo lolote,
wazee walinitaka nimpeleke kjijini,
Nilifanya hivyo nahadi sasa yupo huko.
Jambo lakushukuru kwasasa unafuu unaonekana,miguu anaweza kuisogeza bila kuisapot kwamikono.amekuwa kama mtoto anaejifunza kusimama nakutembea ila inatia moyo.
Mkuu mtoto anaendeleaje?
 
Mkuu mtoto anaendeleaje?
Mungu ni mwema sana Jambo lakusukuru mtoto amepona kabisa anatembea nakukimbia vzr bila shida yoyote na amerudi toka kijijini mwezi huu mwanzoni nasasa anaenda shule kama kawaida.
NAWASHUKURU SANA WANAJF KWA MAWAZO YENU.
kwakweli ulikuwa ni mtiihani mkubwa sana kuupitia kabla.
 
Mungu ni mwema sana Jambo lakusukuru mtoto amepona kabisa anatembea nakukimbia vzr bila shida yoyote na amerudi toka kijijini mwezi huu mwanzoni nasasa anaenda shule kama kawaida.
NAWASHUKURU SANA WANAJF KWA MAWAZO YENU.
kwakweli ulikuwa ni mtiihani mkubwa sana kuupitia kabla.
Nini kimetokea mkuu nakumbuka ulitaka kuja had muhimbili
 
Mungu ni mwema sana Jambo lakusukuru mtoto amepona kabisa anatembea nakukimbia vzr bila shida yoyote na amerudi toka kijijini mwezi huu mwanzoni nasasa anaenda shule kama kawaida.
NAWASHUKURU SANA WANAJF KWA MAWAZO YENU.
kwakweli ulikuwa ni mtiihani mkubwa sana kuupitia kabla.
Mungu ni mwema[emoji120], Mungu azidi kumkuza vema.
 
Jf ni platfom kubwa sana watu wengi wapo humu.
Dr aliyemfanyia mwanangu kipimo cha CT SCAN yupo humu, sikulijua hilo ila wakat naanza kumpa maelezo yangu kwakuwa hayakuwa na utofauti na niliyoandika humu basi akati nimeanza kumuelezea kufika katkat akanistopisha akaniambia "nimesoma story kama hiyo huko Jf na unavyonielezea hapa nihivyo hivyo nilivyoisoma kwakweli niliumia sana nilitamani kukufahamu ili tuone jinsi yakumsaidia huyo mtoto"nikamumbia bas ndio mimi.kwakweli alinipa ushirikiano mkubwa sana ,
Ubarikiwe sana Dr..
 
Vipi mrejesho ulipata uponyaji?
Kama bado tutiririke hapa. Hakuna shida mpya duniani, zote ni mapito
 
Waone maspecialist wa mifupa Moi! Nadhani hapo angefanyiwa kipimo cha MRI Lumbar spine.Lakini kama specialist ataona ni muhimu kufanyiwa kipimo hicho!
 
Back
Top Bottom