DOKEZO Mwanangu ameuawa kwa kupigwa na Mwalimu lakini kesi inazungushwa

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
DED alifuatwa kuulizwa na mwandishi wa habari anajibu simple tu. " mtoto amekufa kwasababu ya cancer" pumbafu kabisa yaani hii nchi Ina viongozi wa ovyo mpaka unashangaa Huwa wanateuliwa kwa vigezo Gani?
 
Mkuu vijana wanaoenda kufanya field mashuleni wengi wao ni wadogo sana kiumri tofauti na miaka ya nyuma, japo haimaanishi ni halali kwa hilo tukio ila kiukweli wahitimu wengi wa ualimu elimu hawajakomaa kiumri, kimaadili na hata kiutendaji kazi
 
Ina maana wiki hio au siku hio mtoto kachelewa aliyemuadhibu alikuwa ni mwalimu wa zamu kwa wakati huo, hapo cha kufanya angeuliza mtoto yeyote pale shuleni mwalimu wa zamu ni yupi, lakini pia kipindi ameadhibiwa wanafunzi wenzie walishuhudia naamini bado kuna nafasi ya kumtambua mwalimu alisababisha kifo cha mtoto.

Inasikitisha na kutia hasira, pole sana.
 
Mkuu vijana wanaoenda kufanya field mashuleni wengi wao ni wadogo sana kiumri tofauti na miaka ya nyuma, japo haimaanishi ni halali kwa hilo tukio ila kiukweli wahitimu wengi wa ualimu elimu hawajakomaa kiumri, kimaadili na hata kiutendaji kazi
Basi Kuna haja waanze kupewa seminar ya maadili yao ya kazi.

Kama wataendelea kufanya kazi Kwa mazingira hayo, hivyo vifo vitaendelea kuwa vingi Kwa Wanafunzi wetu.

Pia kama hawatapewa seminar, itapelekea wengine kuanza kutembea na wanafunzi wao wa kike, maana Kwa mazingira ya Vijijini ni kawaida kumkuta Mwanafunzi wa darasa la 5 ameota maziwa, kwahiyo wanaweza kujikuta wakaanza kuwaharibu mabinti zetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…