DOKEZO Mwanangu ameuawa kwa kupigwa na Mwalimu lakini kesi inazungushwa

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kesi hii ni ya kuuwa ila anapiga chenga
Na hapa hawezi kujitokeza
 
Hapa tumepeta maelezo ya mzaz tayr ushachagua upande, nikulize maelezo ya mwalim umeyapata?
Wapi nimechagua upande? Ninachosisitiza ni huyo mwalimu apatikane. Kwanini anafichwa?
Mzaz n mwanadam kam tulivo wengine anaweza kudanganya pia ndomana hata mahakamani pande mbili zote husikilizwa na ushahidi wao huzingatiwa
Wewe kwanini unaamini kuwa anadanganya? Umeshasikiliza upande wa mwalimu?
 
Wewe Hakimu tuambie namna gani fimbo za Mwalimu zimemuua huyo mtoto na kumletea cancer ya damu?
Ni kwanini mwalimu hakuletwa hadharani na mtoto aeleze alichapwa vipi, na kwanini mtoto aseme alipigwa ngumi tumboni? Mtoto wa miaka7 haezi tunga story hata umfundisheje yeye atanyoosha kama ilivokuwa, nikuulize kwanza una mtoto?
 
Naona umekariri dalili za cancer tu mambo mengine unajifanya kuyapa kisogo, fahamu kwamba hata head injury inaweza kupelekea damu kutoka mdomoni na puani pia, Wengu (spleen ) kupasuka kunawezwa kusababishwa na fimbo pia.
 
Hapa tumepeta maelezo ya mzaz tayr ushachagua upande, nikulize maelezo ya mwalim umeyapata?
Wapi nimechagua upande? Ninachosisitiza ni huyo mwalimu apatikane. Kwanini anafichwa?
Mzaz n mwanadam kam tulivo wengine anaweza kudanganya pia ndomana hata mahakamani pande mbili zote husikilizwa na ushahidi wao huzingatiwa
Wewe kwanini unaamini kuwa anadanganya? Umeshasikiliza upande wa mwalimu?
 
Unazijua petechiae, ecchymosis and purpura?
Ngoja nikusaidie picha
 
sasa na ww Dkt. Gwajima D uko hapa unajidai unafuatilia mambo kumbe hamna lolote kakurudia na kukuambia namba ulizompa ni mtu asiye weza msaidia tatizo lake bado unamkomalia awasiliane nae ni ili haki yake ipotee au ndio watu wa kumshika mkono kwenye swala lake wameisha? je angekua mtoto wa mkubwa mwenzenu danadana hizo zingetokea au iingekua simu moja tu..

mzazi anatamani haki itendeke hata kama haupo hapo unanusa harufu ya uonevu msaidieni kama hamuwezi muwekeni wazi watu tuhamie kwa sangoma tunyooshe mtu..

sijapenda kukuta nawe hujamsaidia dah....
 
Hivi unampigaje mtoto was miaka Saba kiasi hicho? Hawa waalimu ni next level mental cases aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…