mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Hayajidhihirishi mpaka yanapofikia late stage?Magonjwa mengi hasa Kansa yanapofika hatua ya kuonesha dalili huwa yako katika late stage hivyo humzidia nguvu mgonjwa kwa haraka
Kwamba unajaribu kupingana na uhalisia au mimi ndio sijakuelewa?Hayajidhihirishi mpaka yanapofikia late stage?
Kuna kitu hakipo sawa.
Upo pamoja naye kusapoti kufichwa kwa mwalimu mwenye tuhuma za mauaji?Nipo pamoja nawew
Utakuwa hauna mtoto na Mungu akunyime kabisa ili uendelee na huo moyo wakoHuenda mtoto alimsumbua mwalimu wakati anampa adhabu ya fimbo,kwa hiyo akawa anamtoa wenge kwa ngumi ili atulie.
Kesi hii ni ya kuuwa ila anapiga chengaRais Samia aliongelea hili jambo juzi ila naona mawazir wake washamsoma na kumzoea wanaona anaongea tu hakuna hatua kwahiyo linaingilia upande mmoja wa sikio linatokea upande wa pili, huyo Dorothy Gwajima ni msanii tu anawahadaa watu kwa kujifanya anatoa mawasiliano yake mtandaoni ili Hali hakuna anachokifanya kuwasaidia wahusika maana kama kweli angekuwa anawasaidia angekuwa anatoa feedback ila hakuna ni kutafuta kiki tu
Wapi nimechagua upande? Ninachosisitiza ni huyo mwalimu apatikane. Kwanini anafichwa?Hapa tumepeta maelezo ya mzaz tayr ushachagua upande, nikulize maelezo ya mwalim umeyapata?
Wewe kwanini unaamini kuwa anadanganya? Umeshasikiliza upande wa mwalimu?Mzaz n mwanadam kam tulivo wengine anaweza kudanganya pia ndomana hata mahakamani pande mbili zote husikilizwa na ushahidi wao huzingatiwa
Ni kwanini mwalimu hakuletwa hadharani na mtoto aeleze alichapwa vipi, na kwanini mtoto aseme alipigwa ngumi tumboni? Mtoto wa miaka7 haezi tunga story hata umfundisheje yeye atanyoosha kama ilivokuwa, nikuulize kwanza una mtoto?Wewe Hakimu tuambie namna gani fimbo za Mwalimu zimemuua huyo mtoto na kumletea cancer ya damu?
Naona umekariri dalili za cancer tu mambo mengine unajifanya kuyapa kisogo, fahamu kwamba hata head injury inaweza kupelekea damu kutoka mdomoni na puani pia, Wengu (spleen ) kupasuka kunawezwa kusababishwa na fimbo pia.Mimi nipo kusema ukweli na sio kufurahisha watu. Narudia tena kwa dalili anazoeleza mama wa mtoto zinaendana na ugonjwa husika uliomuua mtoto kulingana na ripoti ya Madaktari bingwa na wabobezi kutoka KCMC. Anything against that ni uongo unless proven otherwise.
Labda nikuulize tu km wewe sio hii Gen Z, haujawahi kuchapwa na Mwalimu? Je, ulikufa? Kwa sisi tuliosoma zamani kidogo tumechapwa sana na tumeshuhudia wenzetu wakichapwa na adhabu za kung'oa visiki n.k na hatukuwahi kushuhudia mwanafunzi kafa
Tatizo la hiki kizazi cha single mothers ni malezi mabovu yanayotengeneza kizazi cha hovyo kwa kuleta hasira za kutelekezewa watoto kila mahali hata shuleni.
Wapi nimechagua upande? Ninachosisitiza ni huyo mwalimu apatikane. Kwanini anafichwa?Hapa tumepeta maelezo ya mzaz tayr ushachagua upande, nikulize maelezo ya mwalim umeyapata?
Wewe kwanini unaamini kuwa anadanganya? Umeshasikiliza upande wa mwalimu?Mzaz n mwanadam kam tulivo wengine anaweza kudanganya pia ndomana hata mahakamani pande mbili zote husikilizwa na ushahidi wao huzingatiwa
Wewe ni mjinga.Hakuna wa kuthibitisha ilo, na sidhani kama alimpiga ngumi sina hakika, nadhani madaktari hawafanyi kazi kwa hisia, bali uchunguzi na mahakamani wanaangalia hasa report ya daktari.
Unazijua petechiae, ecchymosis and purpura?Kansa inaweka na alama za kupigwa mwilini, na mtoto kama kaeleza alipigwa tumboni? Atakuwa amewahiwa hospital dr akapewa cha kupewa akaandika hivo kwenye report, hayo mambo yapo hata postmortem zinapindishwa saana hasa upande wa mashtaka wakiwa hawana kitu
Watu wanabaka au kuua watoto wa miezi kadhaa ije iwe huyo? Dunia hii ina watu makatili.Hivi Kuna mwalimu anaweza kukapiga ngumi katoto ka miaka 7
Moyo wangu haujui, huenda haujaelewa ila sikulazimishi na wala sikupingi. Mungu hayupo kama wewe,umechelewa.Utakuwa hauna mtoto na Mungu akunyime kabisa ili uendelee na huo moyo wako
Unamfundisha ujinga? Kumuachia Mungu ndiyo nini?Kachukue maiti ili uuhifadhi mwili wa kijana wetu.
Halafu muachie Mungu la sivyo utaendelea kuzunguushwa na mwanao hata Rudi Tena.
Ndio ni kweli Kansa ya damu inawez kukuletea michirizi ya kuvilia damu (Ecchymosis, Petechiae and Purpura)marisi schwein io kansa ndo ilimuekea michirizi ya fimbo kwenye uti wa mgongo?k
Inatokea gafla au inaanza taratibu?Ndio ni kweli Kansa ya damu inawez kukuletea michirizi ya kuvilia damu (Ecchymosis, Petechiae and Purpura)