Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 2,095
- 3,649
- Thread starter
- #181
pole sana !!Nnakumbana na changamoto hii kwa binti yangu. Yaani unachoeleza ndicho ninachokumbana nacho ila ni mdogo yuko la nne ila yani maswali ya common sense madogo tu kwake changamoto hata katika maisha. Sema mzazi mwenzangu kumbe alimwachishaga ziwa akiwa na miezi mitatu sijui ndio effect hiyo
Atleast we unajua chanzo mi huyu kanyonyeshwa vizuri tu sema labda n matatzo ya upande wa mama ake labda