Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 2,095
- 3,649
- Thread starter
- #161
ndio suluhu?Huyo ni mwendo wa kumjazia mikazi na kumsimamia Kwa mbali...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio suluhu?Huyo ni mwendo wa kumjazia mikazi na kumsimamia Kwa mbali...
Tofauti na mimi miaka yote najiachia hiyo hali ya kuwa defensive imenipata baada ya ndoa kuvunjika yaani napaki basi,ukijichanganya uje vibaya inakula kwako, nimekuwa makini na nisiyemuamini mtu,kila kitu nafanya kwa uhakiki😅Mimi nilikuwa very defensive hata kipindi nimeanza mahusiano nilimpa shida sana mtoto wa watu. Sikuhizi ile hali imeisha nilikuwa sikubaligi kushindwa na very fierce. Yani ukitafta namna ya kuni attack ujue umeisha sikuwa nataka kuwa abused maana ile hali ya kutojiamini ilikuwa imentawala kwahio kabla hujanifikia kuni torture unakula chuma. Sikupi hata sekunde
Itasaidiandio suluhu?
Mimi nilikuwa very defensive hata kipindi nimeanza mahusiano nilimpa shida sana mtoto wa watu. Sikuhizi ile hali imeisha nilikuwa sikubaligi kushindwa na very fierce. Yani ukitafta namna ya kuni attack ujue umeisha sikuwa nataka kuwa abused maana ile hali ya kutojiamini ilikuwa imentawala kwahio kabla hujanifikia kuni torture unakula chuma. Sikupi hata sekunde
kwa maana ume kua defensive kwene mahusiano au umeanza kutoawaamini watu woteTofauti na mimi miaka yote najiachia hiyo hali ya kuwa defensive imenipata baada ya ndoa kuvunjika yaani napaki basi,ukijichanganya uje vibaya inakula kwako, nimekuwa makini na nisiyemyamini mtu,kila kitu nafanya kwa uhakiki😅
Mkuu,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nyumba ni msingi,shule ya msingi nilimpeleka boarding O level sand kayumba day
Watu wote tu hata kwenye biashara,au mipango nimekuwa msiri sana,kwenye mahusiano nimekuwa sijiamini kabisa kama nna wapenzi watano naona kama wataniacha wote hivyo naongeza watatu wawe 8.yaani chumbani kuna vipimo vya ukumwi utadhani maabara,kila muda nna kazi ya kupima wanawake wapya.kwa maana ume kua defensive kwene mahusiano au umeanza kutoawaamini watu wote
Hahaha hio ni kawaida sana.Wengi huwa hivyo Ila mimi kuna situations zilinijengea kuwa na huruma sana sana na watu hasa wanaopitia situations flani Ila baada ya kuingia street, naipunguza maana huruma mjini ni daraja la kutumika .
Na pia sipendi uonevu kabisaaa ndio maana nishawahi kuwa John Okello wa shule, freedom fighter, moja ya #mgomoOrganizer😁
Sikuwa na interest nazo kabisa. Kikubwa nilikuwa najua sitakwama kwenda mbele bila hata hizo hesabu😁 na sikuwahi kukwama maana ukichora mstari katika wale top 10 performers sikosekani.lakin kwene hesabu ndo ulikua unakubali kupata F !! ni ajabu. kwakweli!
kijana wangu huwezi mshinda kucheza magame ila vingine uje shuleni hata walichofundishwa leo hakumbuki
Nina kijana wa miaka 17.
Wa kiume ni mpole na mkimya lakini hayuko smart.Tofauti na ilivo kwa watu wengi wa kimya kwa kua na akili nyingi kwa kijana wangu ni tofauti ni mkimya ila sasa akija kuongea unaweza ukajiuliza ameongea wire ukiwa connected kwene switch au Laaah.
Shuleni ni average sana si mkia maksi zake 46,67,37,50,30 kifupi alipata division 3 .
Kinachonitatiza ni uwezo wa kufikiria na kuchanganua mambo mdogo. Maswali ya kawaida ya kutumia common sense hawezi !!
Ukimuelekeza kitu cha kawaida haelewi mara moja had urudie
Ni rahisi kuchanganya vitu na kusahau.
Kifupi anashindwa kujisimamia au kupambanua vitu vya kawaida vya uelewa wa kawaida .
Alafu sometimes anachanganya vitu havihusiani
Ukimuuliza swali anajibu jibu ambalo halina uhusiano na ulichomuuliza!
MIMI MZEE WAKE NIKO VIZURI!Sijui hata karithi kwa nani haya matatizo ,,,, shulen mm nilikua smart siyo sana lakin smart kiasi cha kumlizisha mzazi yyte yule average
Nifanyaje kumsaidmezaa na slay queen
Umezaa na slayqueenNina kijana wa miaka 17.
Wa kiume ni mpole na mkimya lakini hayuko smart.Tofauti na ilivo kwa watu wengi wa kimya kwa kua na akili nyingi kwa kijana wangu ni tofauti ni mkimya ila sasa akija kuongea unaweza ukajiuliza ameongea wire ukiwa connected kwene switch au Laaah.
Shuleni ni average sana si mkia maksi zake 46,67,37,50,30 kifupi alipata division 3 .
Kinachonitatiza ni uwezo wa kufikiria na kuchanganua mambo mdogo. Maswali ya kawaida ya kutumia common sense hawezi !!
Ukimuelekeza kitu cha kawaida haelewi mara moja had urudie
Ni rahisi kuchanganya vitu na kusahau.
Kifupi anashindwa kujisimamia au kupambanua vitu vya kawaida vya uelewa wa kawaida .
Alafu sometimes anachanganya vitu havihusiani
Ukimuuliza swali anajibu jibu ambalo halina uhusiano na ulichomuuliza!
MIMI MZEE WAKE NIKO VIZURI!Sijui hata karithi kwa nani haya matatizo ,,,, shulen mm nilikua smart siyo sana lakin smart kiasi cha kumlizisha mzazi yyte yule average
Nifanyaje kumsaidia
Nnakumbana na changamoto hii kwa binti yangu. Yaani unachoeleza ndicho ninachokumbana nacho ila ni mdogo yuko la nne ila yani maswali ya common sense madogo tu kwake changamoto hata katika maisha. Sema mzazi mwenzangu kumbe alimwachishaga ziwa akiwa na miezi mitatu sijui ndio effect hiyoNina kijana wa miaka 17.
Wa kiume ni mpole na mkimya lakini hayuko smart.Tofauti na ilivo kwa watu wengi wa kimya kwa kua na akili nyingi kwa kijana wangu ni tofauti ni mkimya ila sasa akija kuongea unaweza ukajiuliza ameongea wire ukiwa connected kwene switch au Laaah.
Shuleni ni average sana si mkia maksi zake 46,67,37,50,30 kifupi alipata division 3 .
Kinachonitatiza ni uwezo wa kufikiria na kuchanganua mambo mdogo. Maswali ya kawaida ya kutumia common sense hawezi !!
Ukimuelekeza kitu cha kawaida haelewi mara moja had urudie
Ni rahisi kuchanganya vitu na kusahau.
Kifupi anashindwa kujisimamia au kupambanua vitu vya kawaida vya uelewa wa kawaida .
Alafu sometimes anachanganya vitu havihusiani
Ukimuuliza swali anajibu jibu ambalo halina uhusiano na ulichomuuliza!
MIMI MZEE WAKE NIKO VIZURI!Sijui hata karithi kwa nani haya matatizo ,,,, shulen mm nilikua smart siyo sana lakin smart kiasi cha kumlizisha mzazi yyte yule average
Nifanyaje kumsaidia
Daaah pole sana mkuuNina kijana wa miaka 17.
Wa kiume ni mpole na mkimya lakini hayuko smart.Tofauti na ilivo kwa watu wengi wa kimya kwa kua na akili nyingi kwa kijana wangu ni tofauti ni mkimya ila sasa akija kuongea unaweza ukajiuliza ameongea wire ukiwa connected kwene switch au Laaah.
Shuleni ni average sana si mkia maksi zake 46,67,37,50,30 kifupi alipata division 3 .
Kinachonitatiza ni uwezo wa kufikiria na kuchanganua mambo mdogo. Maswali ya kawaida ya kutumia common sense hawezi !!
Ukimuelekeza kitu cha kawaida haelewi mara moja had urudie
Ni rahisi kuchanganya vitu na kusahau.
Kifupi anashindwa kujisimamia au kupambanua vitu vya kawaida vya uelewa wa kawaida .
Alafu sometimes anachanganya vitu havihusiani
Ukimuuliza swali anajibu jibu ambalo halina uhusiano na ulichomuuliza!
MIMI MZEE WAKE NIKO VIZURI!Sijui hata karithi kwa nani haya matatizo ,,,, shulen mm nilikua smart siyo sana lakin smart kiasi cha kumlizisha mzazi yyte yule average
Nifanyaje kumsaidia
Pole Sana mkuuMzee wangu,
Mwanao anafanan na mim kabisa, Nina miaka 32 ndo nimekuja kujigundua kuwa Nina hali hiyo kwangu nimeterm kama ni ugonjwa.
Nilienda hospital kwenye kitengo Cha ugonjwa akili natumia dawa saivi.
Kuna unafuu nauona, nimebahatika kuoa humo ndan mkewangu anasema mm ni zuzu ila najaribu kuuficha kwa kugoma ila mwenyew najua kuwa Nina hili tatizo.
Saiv Niko najaribu kujinasua
Mtoto umebambikiwa huyo sio wako aumama yake kwao ni vilazaNina kijana wa miaka 17.
Wa kiume ni mpole na mkimya lakini hayuko smart.Tofauti na ilivo kwa watu wengi wa kimya kwa kua na akili nyingi kwa kijana wangu ni tofauti ni mkimya ila sasa akija kuongea unaweza ukajiuliza ameongea wire ukiwa connected kwene switch au Laaah.
Shuleni ni average sana si mkia maksi zake 46,67,37,50,30 kifupi alipata division 3 .
Kinachonitatiza ni uwezo wa kufikiria na kuchanganua mambo mdogo. Maswali ya kawaida ya kutumia common sense hawezi !!
Ukimuelekeza kitu cha kawaida haelewi mara moja had urudie
Ni rahisi kuchanganya vitu na kusahau.
Kifupi anashindwa kujisimamia au kupambanua vitu vya kawaida vya uelewa wa kawaida .
Alafu sometimes anachanganya vitu havihusiani
Ukimuuliza swali anajibu jibu ambalo halina uhusiano na ulichomuuliza!
MIMI MZEE WAKE NIKO VIZURI!Sijui hata karithi kwa nani haya matatizo ,,,, shulen mm nilikua smart siyo sana lakin smart kiasi cha kumlizisha mzazi yyte yule average
Nifanyaje kumsaidia