Mwanangu anashindwa kutumia common sense?? Hii ni shida gani?

Mwanangu anashindwa kutumia common sense?? Hii ni shida gani?

pole sana !!
Atleast we unajua chanzo mi huyu kanyonyeshwa vizuri tu sema labda n matatzo ya upande wa mama ake labda
Mi kwa uzoefu tu huwa naona watoto genes nyingi huchukua kwa mama zao ila hasara huwa kubwa kama atachukua akili za mama yake halafu akawa kilaza. Hasa first bornes wa kiume ndio huchukua sana brain za mama zao. First borne wa kike wanachukua brain ya baba zao.
 
Tuanze na lishe unayompatia nyumbani, je ni mlo kamilii?.

Twende kwenye malezi unayompa hapo nyumbani, je ni malezi ya kumfanya aweze kujitegemeaa?

Tuelekee kwenye lugha ya mawasiliano kati yenu, je huwa unamkaripia/kumgombeza mara kwa mara?

Je, kwa wastani mwili wake upoje, je ni mnene, mkakamavu au lege lege?

Vipi anashiriki michezo yoyote shuleni kwao au hata hapo mtaani?.

Ni mwanao wangapi kuzaliwq kwenye hiyo familia yako?.

Graph yake ya makuzi kadi ya clinic ilikuwaje au ipoje kama bado upo nayo? (Ni muhimu sana kutunza hiyo kadi)

Ukimaliza hayo yote, vipi mwanao huyo ana mpenzi? Kama hana wewe kama baba yake umemsaidiaje hilo swala?. (Usishangae ni jukumu lako mshua)

Ukiona mwanao hawezi kucheka mbele yako inabidi ujitafakari upya kiongozi, kuna kitu kikubwa hakipo sawa kati yenu.

Tafakari hayo machache Mkuu mwenzetu, kila la heri.
Sidhani kama kuna jambo la kuongezea umemaliza kila kitu mkuu [emoji419][emoji375]
 
Mi kwa uzoefu tu huwa naona watoto genes nyingi huchukua kwa mama zao ila hasara huwa kubwa kama atachukua akili za mama yake halafu akawa kilaza. Hasa first bornes wa kiume ndio huchukua sana brain za mama zao. First borne wa kike wanachukua brain ya baba zao.
mr extrovert umefNyanaje hii conclusion?? ni evidence based au ni mawazo yako
 
Nina kijana wa miaka 17.
Wa kiume ni mpole na mkimya lakini hayuko smart.Tofauti na ilivo kwa watu wengi wa kimya kwa kua na akili nyingi kwa kijana wangu ni tofauti ni mkimya ila sasa akija kuongea unaweza ukajiuliza ameongea wire ukiwa connected kwene switch au Laaah.

Shuleni ni average sana si mkia maksi zake 46,67,37,50,30 kifupi alipata division 3 .
Kinachonitatiza ni uwezo wa kufikiria na kuchanganua mambo mdogo. Maswali ya kawaida ya kutumia common sense hawezi !!
Ukimuelekeza kitu cha kawaida haelewi mara moja had urudie
Ni rahisi kuchanganya vitu na kusahau.
Kifupi anashindwa kujisimamia au kupambanua vitu vya kawaida vya uelewa wa kawaida .

Alafu sometimes anachanganya vitu havihusiani
Ukimuuliza swali anajibu jibu ambalo halina uhusiano na ulichomuuliza!

MIMI MZEE WAKE NIKO VIZURI!Sijui hata karithi kwa nani haya matatizo ,,,, shulen mm nilikua smart siyo sana lakin smart kiasi cha kumlizisha mzazi yyte yule average



Nifanyaje kumsaidia
Mama yake yupoje kichwani?
 
mr extrovert umefNyanaje hii conclusion?? ni evidence based au ni mawazo yako
Hio based na mazingira pia hata nikiangalia uzao wa ndugu walionizunguka unakuta hali iko hivyo zaidi.

First borne wa kiume anakuwa na traits za mama zaidi na wa kike anakuwa na traits za baba hadi brains. Sijui kwa wengine ila nikiangalia ukoo wetu uko hivi.
 
ukali ni pale napomfundisha simkaripii mambo mengine! ila kwene shule akileta uzembe namtandika
Bro inaonekana umenizidi umri mkubwa tu ila nikuchane ukweli HUONEKANI KUWA NA AKILI TIMAMU hasa za kimalezi na ujinga mwingi na udikteka wa kipumbavu usiojenga badilika wewe kwanza kabla humjambadilisha mwanao, unakaa na mto tangu akiwa na miaka 9 hadi Sasa mbinu zako za malezi ziko vilevile huna Chachi ya mtoto kujivunia baba mjinga kama wewe

Ukimaindi poa ila nishakuchana
 
Tatizo mmesahau mila na tamaduni zenu.

Huyo kijana pengine hana tatizo yeye kama yeye ila tatizo lipo kwenye ulimwengu wa roho. Unaweza kumpiga mtoto hadi ukamuumiza bure kumbe source ya mambo yote ni mizimu, uchawi na mambo kama hayo. Wengi wameathiriwa na hzi evil spirits na wazazi wa kisasa wanaishia tu kulia lia bila kuangali nje ya box.

Kama wewe ni mtu wa imani nenda kwa watumishi wa Mungu. Au kama huamini Mungu nenda kwa wataalamu. USIDHARAU.

UAMUZI NI WAKO.
 
Inawezekana kumtoa kwa Mama yake Mzazi akiwa darasa la tatu, kulimfanya asikukubali ambayo ungependa, jaribu kumbuka ulimchukuaje kwa shari au upendo?
Je kwa sasa unaishi nae na mama wa kambo?, Mama wa kambo humtendeaje nyuma ya pazia?
Je wewe humkemea kinafiki mbele Mama was kambo ili umfurahishe mkeo na watoto wako wengine?
Ukiona tatizo kwako pia jirekebishe mpende upya toka nae, mwamini, mpe majukumu mwacha ayatimize , mwache akosee mrekebishe kwa staha mpongeze, usimuogope mkeo, kuwa halisi wote ni watoto wako ikiwa una wengine wafanye wakubali ukweli huo na weka mzazi sawa kwa wote.
Narudia usimwogope mkeo au kutaka kumfurahisha kinafiki
 
Hili swali nilishawahi sikia Mzee mmoja skimuuliza mke wake.

Mzee ni lecturer na mkewe pia ana PHD ila matokeo ya watoto wao ni ya kawaida.
 
hapendi michezo anapenda kulala lala
hawezi cheza mbele yangu
Mi nimkali hasa linapokuja suala la shule
amelelewa na mama ake nimemchukua akiwa darasa la tatu
Inamaana amelelewa na mama mwingine?
Huyo ni kumuongezea confidence na decision making skills, huyo mtoto sio zamwamwa kama unavyosema switch haiconect hujamjulia tu Kuna eneo lake ambalo yupo vizuri, lastly it seems toka anajua ukaribu wako kwake ni mdogo.
 
Back
Top Bottom