Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kweli hali ndivyo ilivyo Tanzania. Ndio maama nchi haiendeleiShukuru sana, wa hivyo ndo hutoboa hapa bongo ila wale vipanga, smart, faster, akili sharp huwa wanakuwa target na wanabaniwa ngumu kutoboa ila slow ka huyo wanga hawahangaiki nae maana sio tishio kimafanikio mwishowe anatoboa kiulaini, hii ndo bongo
mapenzi no hana hizo mambo hata kubalehe vizuri bado!!
zamani alikua muongo muongo vikatembea viboko had akaacha ila hilo la shule shida ipo tangu zamani !!
Ukikagua daftari lake lazima upate hasira
Mfano; kwene daftar amepata ila swali lile lile umpe afanye hawezi! hapo ndipo fimbo zilipoanza kuhusika
Pole sana.Nina kijana wa miaka 17.
Wa kiume ni mpole na mkimya lakini hayuko smart.Tofauti na ilivo kwa watu wengi wa kimya kwa kua na akili nyingi kwa kijana wangu ni tofauti ni mkimya ila sasa akija kuongea unaweza ukajiuliza ameongea wire ukiwa connected kwene switch au Laaah.
Shuleni ni average sana si mkia maksi zake 46,67,37,50,30 kifupi alipata division 3 .
Kinachonitatiza ni uwezo wa kufikiria na kuchanganua mambo mdogo. Maswali ya kawaida ya kutumia common sense hawezi !!
Ukimuelekeza kitu cha kawaida haelewi mara moja had urudie
Ni rahisi kuchanganya vitu na kusahau.
Kifupi anashindwa kujisimamia au kupambanua vitu vya kawaida vya uelewa wa kawaida .
Alafu sometimes anachanganya vitu havihusiani
Ukimuuliza swali anajibu jibu ambalo halina uhusiano na ulichomuuliza!
MIMI MZEE WAKE NIKO VIZURI!Sijui hata karithi kwa nani haya matatizo ,,,, shulen mm nilikua smart siyo sana lakin smart kiasi cha kumlizisha mzazi yyte yule average
Nifanyaje kumsaidia
Sidhani Maana Mpaka Miaka 17 angekuwa Tayari na Hx Ya Delayed Milestone ambayo mzazi angeitaja..Uwezekano wa tatizo kuwa amelipata tangu kipindi anazaliwa upo , usikute alipata birth asphyxia kipindi anazaliwa ikapelekea aka score low apgar.
Una maana gani unaposema wewe ni mzee wake?Nina kijana wa miaka 17.
Wa kiume ni mpole na mkimya lakini hayuko smart.Tofauti na ilivo kwa watu wengi wa kimya kwa kua na akili nyingi kwa kijana wangu ni tofauti ni mkimya ila sasa akija kuongea unaweza ukajiuliza ameongea wire ukiwa connected kwene switch au Laaah.
Shuleni ni average sana si mkia maksi zake 46,67,37,50,30 kifupi alipata division 3 .
Kinachonitatiza ni uwezo wa kufikiria na kuchanganua mambo mdogo. Maswali ya kawaida ya kutumia common sense hawezi !!
Ukimuelekeza kitu cha kawaida haelewi mara moja had urudie
Ni rahisi kuchanganya vitu na kusahau.
Kifupi anashindwa kujisimamia au kupambanua vitu vya kawaida vya uelewa wa kawaida .
Alafu sometimes anachanganya vitu havihusiani
Ukimuuliza swali anajibu jibu ambalo halina uhusiano na ulichomuuliza!
MIMI MZEE WAKE NIKO VIZURI!Sijui hata karithi kwa nani haya matatizo ,,,, shulen mm nilikua smart siyo sana lakin smart kiasi cha kumlizisha mzazi yyte yule average
Nifanyaje kumsaidia
Kaanza kukaa na huyo mtoto akiwa tayari ameshafika darasa la tatu .Sidhani Maana Mpaka Miaka 17 angekuwa Tayari na Hx Ya Delayed Milestone ambayo mzazi angeitaja..
Kwa Umri wake Mara nyingi sana Anasumbuliwa probably na Upigaji wa Punyeto uliokithiri...Ndo unaathiri Sana Uwezo wa Kufikiri kwa Haraka na Kutumia Common sense..
Ajaribu Kumuweka Sehemu ambayo hawezi kufanya hivyo (Kupiga nyeto)..
Au ampeleke kwenye kazi ngumu ambazo ATACHOKA SANA na atasahau kufanya hivyo..
Au ampe ushauri mwingi sana..
Swali la Kumuuliza Ni Vipi kuhusu Ukuaji wa Nywele zake???
Madini ya Zinc Ni muhimu sana kwa Ubongo
Akishapima then? Mtoto ndio hatokuwa mbumbumbu tena?Usitafute mchawi.
KAPIME DNA
baba akeUna maana gani unaposema wewe ni mzee wake?
AiseeAkishapima then? Mtoto ndio hatokuwa mbumbumbu tena?
Zaidi ya asilimia 75 akili ya mtoto inatoka kwa mama ndio maana tunaoa wenye akili sio wenye wowowo ,ila ukipata ana vyote basi ni komasavaNina kijana wa miaka 17.
Wa kiume ni mpole na mkimya lakini hayuko smart.Tofauti na ilivo kwa watu wengi wa kimya kwa kua na akili nyingi kwa kijana wangu ni tofauti ni mkimya ila sasa akija kuongea unaweza ukajiuliza ameongea wire ukiwa connected kwene switch au Laaah.
Shuleni ni average sana si mkia maksi zake 46,67,37,50,30 kifupi alipata division 3 .
Kinachonitatiza ni uwezo wa kufikiria na kuchanganua mambo mdogo. Maswali ya kawaida ya kutumia common sense hawezi !!
Ukimuelekeza kitu cha kawaida haelewi mara moja had urudie
Ni rahisi kuchanganya vitu na kusahau.
Kifupi anashindwa kujisimamia au kupambanua vitu vya kawaida vya uelewa wa kawaida .
Alafu sometimes anachanganya vitu havihusiani
Ukimuuliza swali anajibu jibu ambalo halina uhusiano na ulichomuuliza!
MIMI MZEE WAKE NIKO VIZURI!Sijui hata karithi kwa nani haya matatizo ,,,, shulen mm nilikua smart siyo sana lakin smart kiasi cha kumlizisha mzazi yyte yule average
Nifanyaje kumsaidia
MmhKaanza kukaa na huyo mtoto akiwa tayari ameshafika darasa la tatu .
Pia kulingana na maelezo yake ,kuna vitu ambayo ni kawaida kwa kijana wa miaka 17 kuwa anavijua au anaviweza sasa kitendo cha kuwa mzito kupitia kiasi kwa umri huo huenda pia alipata delayed milestone na aliscore low apgar.
Yote kwa yote akamuulize mzazi mwenzake kipindi cha ujauzito wake alipitia changamoto zipi mpaka anajifungua .
Kama ameweza kupata division 3 sio mmbaya sana wapo watoto ambao ni slow leaners. Zipo shule unaweza kumpeleka kwa level aliofika sio lazima aendele na secondary tena anaweza kwenda chuo au hata vyuo vya ufundi atafute skill ya kufanya kama anapenda. Watoto hawafanani wengine sio smart darasani lakini wapo smart street.Nina kijana wa miaka 17.
Wa kiume ni mpole na mkimya lakini hayuko smart.Tofauti na ilivo kwa watu wengi wa kimya kwa kua na akili nyingi kwa kijana wangu ni tofauti ni mkimya ila sasa akija kuongea unaweza ukajiuliza ameongea wire ukiwa connected kwene switch au Laaah.
Shuleni ni average sana si mkia maksi zake 46,67,37,50,30 kifupi alipata division 3 .
Kinachonitatiza ni uwezo wa kufikiria na kuchanganua mambo mdogo. Maswali ya kawaida ya kutumia common sense hawezi !!
Ukimuelekeza kitu cha kawaida haelewi mara moja had urudie
Ni rahisi kuchanganya vitu na kusahau.
Kifupi anashindwa kujisimamia au kupambanua vitu vya kawaida vya uelewa wa kawaida .
Alafu sometimes anachanganya vitu havihusiani
Ukimuuliza swali anajibu jibu ambalo halina uhusiano na ulichomuuliza!
MIMI MZEE WAKE NIKO VIZURI!Sijui hata karithi kwa nani haya matatizo ,,,, shulen mm nilikua smart siyo sana lakin smart kiasi cha kumlizisha mzazi yyte yule average
Nifanyaje kumsaidia
Sio kama wewe ndio unajichanganya? Anawezaje kujibu vyema maswali ya shule apate div.3 halafu ajibu mambo tofauti kabisa na yale unayomuuliza?Alafu sometimes anachanganya vitu havihusiani
Ukimuuliza swali anajibu jibu ambalo halina uhusiano na ulichomuuliza!
Maulid sio yako, iweje waivalia kanzu?Akishapima then? Mtoto ndio hatokuwa mbumbumbu tena?