Mwanangu anashindwa kutumia common sense?? Hii ni shida gani?

Mwanangu anashindwa kutumia common sense?? Hii ni shida gani?

Kaanza kukaa na huyo mtoto akiwa tayari ameshafika darasa la tatu .

Pia kulingana na maelezo yake ,kuna vitu ambayo ni kawaida kwa kijana wa miaka 17 kuwa anavijua au anaviweza sasa kitendo cha kuwa mzito kupitia kiasi kwa umri huo huenda pia alipata delayed milestone na aliscore low apgar.

Yote kwa yote akamuulize mzazi mwenzake kipindi cha ujauzito wake alipitia changamoto zipi mpaka anajifungua .
Yeah ni kweli Bila Hx ya Milestone tutakuwa tunafanya kama waganga wa Kienyeji ..
 
Sio kama wewe ndio unajichanganya? Anawezaje kujibu vyema maswali ya shule apate div.3 halafu ajibu mambo tofauti kabisa na yale unayomuuliza?

Au amejenga hofu kwako kwa ukali na ukatili?
Hujui kama siku hizi kuna Big results now (B.R.N) ndio maana kukuta darasa zima wana single digits sio jambo la kushangaza?
 
Nahisi kuna muda wazazi mnasumbuliwa na Expectation
Cha kukumbuka ni kumlea mtoto kwenye njia impasayo. MENGINE ni matokeo tu ya maisha... wazazi ni njia ya kumleta duniani tu, mtoto ni mtu huru ila ukimlea katika njia impasayo ndio utaanza kuona vile unavyotaka kuona vyema ama vibaya!
Bila kusahau kila bonadamu huja na asili yake binafsi kiakili
 
Yeah ni kweli Bila Hx ya Milestone tutakuwa tunafanya kama waganga wa Kienyeji ..
Kweli kabisa mkuu, kinachofanyoka hapa ni kubashiri ,na shida ya mleta mada anajibu O.P na anachoulizwa, hivyo inakuwa ni vigumu kujua underlying causes za tatizo la kijana wake

Huenda yeye pia alikuwa haudumii hiyo mimba hivyo ikapelekea mtoto kukosa mahitaji muhimu haswa ya lishe sahihi kipindi cha ukuaji wake.
 
Wakati mwingine wazazi wanawaharibu watoto wao bila kujua, yaani mtoto usikosee ukifanya hivi kidogo mtoto anaangushiwa lawama ambalo haliishi, hii hummaliza mtoto kwanza hajiamini Wala hawezi kujaribu Wala kushika chochote, ukimuuliza kitu anajifikiria sijui baba/mama nimjibu vipi yaani kitu kidogo kinamtia stress vibaya mno, baba akirudi kazini mtoto yupo chumbani maana hajihisi comfortable kukaa na Mzee wake, akiendelea kukua kwenye Hali hii mwisho atakuombea mabaya na hata kuchukua uelekeo usiofaa....hivyo, kabla hujafika mbali usijihisi wewe ni mkamilifu sana, jitathimini kwanza wewe.
 
Sasa mkuu unapata F KWELI!!

mimi hapo ndo nashindwa kuelewa unapataje F ?? kwamba we mwanzo mwisho miezi sita hukuwai elewa chocolate darasani!
hili ndo swala tunalogombana na kijana wangu.Mi mtu anaeshindwa shule ni ngumu sana kumuelewa hasa F na D
yawezekana kijana wangu kafata akili zako maana nayy hesabu ndo IMELALA YOOO
Hahaha Extrovert oya kuna Pacha wako huko.... Dingi miyeyusho kweli
 
mapenzi no hana hizo mambo hata kubalehe vizuri bado!!

zamani alikua muongo muongo vikatembea viboko had akaacha ila hilo la shule shida ipo tangu zamani !!
Ukikagua daftari lake lazima upate hasira

Mfano; kwene daftar amepata ila swali lile lile umpe afanye hawezi! hapo ndipo fimbo zilipoanza kuhusika
Inaonekana wewe unaamini kwenye nguvu- Mtoto wako ana-uwezo wa kawaida kubaliana na huo ukweli
Na mbaya zaidi hana character za kiume
 
Back
Top Bottom