Mwanangu anashindwa kutumia common sense?? Hii ni shida gani?

Mwanangu anashindwa kutumia common sense?? Hii ni shida gani?

Nina kijana wa miaka 17.
Wa kiume ni mpole na mkimya lakini hayuko smart.Tofauti na ilivo kwa watu wengi wa kimya kwa kua na akili nyingi kwa kijana wangu ni tofauti ni mkimya ila sasa akija kuongea unaweza ukajiuliza ameongea wire ukiwa connected kwene switch au Laaah.

Shuleni ni average sana si mkia maksi zake 46,67,37,50,30 kifupi alipata division 3 .
Kinachonitatiza ni uwezo wa kufikiria na kuchanganua mambo mdogo. Maswali ya kawaida ya kutumia common sense hawezi !!
Ukimuelekeza kitu cha kawaida haelewi mara moja had urudie
Ni rahisi kuchanganya vitu na kusahau.
Kifupi anashindwa kujisimamia au kupambanua vitu vya kawaida vya uelewa wa kawaida .

Alafu sometimes anachanganya vitu havihusiani
Ukimuuliza swali anajibu jibu ambalo halina uhusiano na ulichomuuliza!

MIMI MZEE WAKE NIKO VIZURI!Sijui hata karithi kwa nani haya matatizo ,,,, shulen mm nilikua smart siyo sana lakin smart kiasi cha kumlizisha mzazi yyte yule average



Nifanyaje kumsaidia
Poleni sana kwa maumivu hayo ya ndani, kuna mwanadada mmoja pia yupo mahali anafanya shughuli zake namuona anashida kama hii uliyoielezea kwa kijana wako. Sina uhakika sanaa, lakini ninejaribu kufuatilia historia ya yule dada alilelewa na mama pekee, baba alikumbia akaiacha familia. Sasa nilikuwa nahisi pengine ni athari ya kulelewa na mzazi mmoja labda, sasa sijajua kwa upande wako mambo yapoje..? Na je tangu akiwa mdogo alikuwa ana-behave kwa namna gani?
 
Nina kijana wa miaka 17.
Wa kiume ni mpole na mkimya lakini hayuko smart.Tofauti na ilivo kwa watu wengi wa kimya kwa kua na akili nyingi kwa kijana wangu ni tofauti ni mkimya ila sasa akija kuongea unaweza ukajiuliza ameongea wire ukiwa connected kwene switch au Laaah.

Shuleni ni average sana si mkia maksi zake 46,67,37,50,30 kifupi alipata division 3 .
Kinachonitatiza ni uwezo wa kufikiria na kuchanganua mambo mdogo. Maswali ya kawaida ya kutumia common sense hawezi !!
Ukimuelekeza kitu cha kawaida haelewi mara moja had urudie
Ni rahisi kuchanganya vitu na kusahau.
Kifupi anashindwa kujisimamia au kupambanua vitu vya kawaida vya uelewa wa kawaida .

Alafu sometimes anachanganya vitu havihusiani
Ukimuuliza swali anajibu jibu ambalo halina uhusiano na ulichomuuliza!

MIMI MZEE WAKE NIKO VIZURI!Sijui hata karithi kwa nani haya matatizo ,,,, shulen mm nilikua smart siyo sana lakin smart kiasi cha kumlizisha mzazi yyte yule average



Nifanyaje kumsaidia
Mpeleke kwa psychologist atamfanyia assessment na kutoa ushauri mzuri. Kuna mambo kadhaa ya kiafya (kama walivyochangia wengine) yanaweza kuwa sababu. Pia zingatia baadhi ya shauri zilizotolewa hasa ya kutathimini mawasiliano yako na yeye.
 
Nina kijana wa miaka 17.
Wa kiume ni mpole na mkimya lakini hayuko smart.Tofauti na ilivo kwa watu wengi wa kimya kwa kua na akili nyingi kwa kijana wangu ni tofauti ni mkimya ila sasa akija kuongea unaweza ukajiuliza ameongea wire ukiwa connected kwene switch au Laaah.

Shuleni ni average sana si mkia maksi zake 46,67,37,50,30 kifupi alipata division 3 .
Kinachonitatiza ni uwezo wa kufikiria na kuchanganua mambo mdogo. Maswali ya kawaida ya kutumia common sense hawezi !!
Ukimuelekeza kitu cha kawaida haelewi mara moja had urudie
Ni rahisi kuchanganya vitu na kusahau.
Kifupi anashindwa kujisimamia au kupambanua vitu vya kawaida vya uelewa wa kawaida .

Alafu sometimes anachanganya vitu havihusiani
Ukimuuliza swali anajibu jibu ambalo halina uhusiano na ulichomuuliza!

MIMI MZEE WAKE NIKO VIZURI!Sijui hata karithi kwa nani haya matatizo ,,,, shulen mm nilikua smart siyo sana lakin smart kiasi cha kumlizisha mzazi yyte yule average



Nifanyaje kumsaidia
Common sense is not very common. Askari akikiongea na askari mwenyewe akataja neno magazine, yule mwenziwe anaweza kudhani kuwa linalitajwa ni chombo cha Kuhifadhi risasi; lakini mwandishi akitaja neno hilo hilo kwa mwandishi mwenziwe, huyo mwenzake anaweza kudhani kuwa kinachizungumziwa ni jarida. Inawezekana kabisa wewe ndiye usiyetumia common sense kwa sababu COMMON SENSE IS NOT VERY COMMON
 
mapenzi no hana hizo mambo hata kubalehe vizuri bado!!

zamani alikua muongo muongo vikatembea viboko had akaacha ila hilo la shule shida ipo tangu zamani !!
Ukikagua daftari lake lazima upate hasira

Mfano; kwene daftar amepata ila swali lile lile umpe afanye hawezi! hapo ndipo fimbo zilipoanza kuhusik
Jaribu pia kumuelewesha umuhimu wa kile anachotakiwa kukifanya, hii itamsaidia sana kuzingatia na kuwa makini na kile anachokifanya. Imekuwa ni utamaduni wa familia nyingi kuwakurupusha watoto alfajiri na kuwataka wajiandae wawahi shule. Ni jambo jema lakini ukimuuliza mtoto kwa anaenda shule kuanzia j3 hadi ijumaa. Ni wachache sana wanaweza kukujibu kwa ufasaha.
 
Common sense is not very common. Askari akikiongea na askari mwenyewe akataja neno magazine, yule mwenziwe anaweza kudhani kuwa linalitajwa ni chombo cha Kuhifadhi risasi; lakini mwandishi akitaja neno hilo hilo kwa mwandishi mwenziwe, huyo mwenzake anaweza kudhani kuwa kinachizungumziwa ni jarida. Inawezekana kabisa wewe ndiye usiyetumia common sense kwa sababu COMMON SENSE IS NOT VERY COMMON
Unaweza ukawa sahihi kwa upande wako ila naamanisha nachokisema hapa!!
vile vitu vya kawaida
 
mapenzi no hana hizo mambo hata kubalehe vizuri bado!!

zamani alikua muongo muongo vikatembea viboko had akaacha ila hilo la shule shida ipo tangu zamani !!
Ukikagua daftari lake lazima upate hasira

Mfano; kwene daftar amepata ila swali lile lile umpe afanye hawezi! hapo ndipo fimbo zilipoanza kuhusika
ana behave hivyo akiwa mbele yako tu, nimefatilia huu Uzi na majibu yako kwenye comments,

nimegundua una tatizo kubwa sana.

ukitaka kumrekebisha mtu yeyote kiurahisi fanya in a positive way.

mfano kuna vitu vyake anavyofanya vizuri, hivyohivyo ndo unamsifia navyo

akiona wewe kama baba una appreciate anajiamini kwa kiasi kubwa sana na anaendelea kufanya vizuri zaidi

ila unavyojisifu kwa kumtandika mtoto wa miaka 17 unakosea,

huo ni unri flani ivi ambao mtu anajielewa sana kaa nae vizuri tuu, asione hata dalili za kwamba unamuona dishi limeyumba, haisaidii

hizo tabia zote nauhakika anaonyesha kwako ukiwa negative sana hautaweza kumuelewa

inabidi awe free kiasi kwamba hakufichi vitu, bila hivo utakua unasikia tuu kwa watu, anavuta bangi.. anafanyia hivi...

kwaiyo hiyo sio namna ya kumbadilisha mtu,
 
ana behave hivyo akiwa mbele yako tu, nimefatilia huu Uzi na majibu yako kwenye comments,

nimegundua una tatizo kubwa sana.

ukitaka kumrekebisha mtu yeyote kiurahisi fanya in a positive way.

mfano kuna vitu vyake anavyofanya vizuri, hivyohivyo ndo unamsifia navyo

akiona wewe kama baba una appreciate anajiamini kwa kiasi kubwa sana na anaendelea kufanya vizuri zaidi

ila unavyojisifu kwa kumtandika mtoto wa miaka 17 unakosea,

huo ni unri flani ivi ambao mtu anajielewa sana kaa nae vizuri tuu, asione hata dalili za kwamba unamuona dishi limeyumba, haisaidii

hizo tabia zote nauhakika anaonyesha kwako ukiwa negative sana hautaweza kumuelewa

inabidi awe free kiasi kwamba hakufichi vitu, bila hivo utakua unasikia tuu kwa watu, anavuta bangi.. anafanyia hivi...

kwaiyo hiyo sio namna ya kumbadilisha mtu,
Nimelichukua hili
 
Hana tatizo la kusikia vizuri? Mimi nina tatizo la kusikia vizuri lilinikuta nikiwa around iyo iyo age ya mwanao mwanzoni ilikua ngumu kujikubali hata kitu ambacho sijasikia naitikia tu sometimes naulizwa kitu kingine najibu kitu kingine baada ya miaka kwenda nikajibali sasa hivi nikikutana na mtu sijuani nae mwanzo kabisa wa maongezi namwambia sisikii vizuri. Kama hana tatizo la usikivu basi chunguza kitu gani anapenda halafu muendelezo katika hicho hicho, binafsi naamini kila mtu ni genius katika angle yake.
 
Tuanze na lishe unayompatia nyumbani, je ni mlo kamilii?.

Twende kwenye malezi unayompa hapo nyumbani, je ni malezi ya kumfanya aweze kujitegemeaa?

Tuelekee kwenye lugha ya mawasiliano kati yenu, je huwa unamkaripia/kumgombeza mara kwa mara?

Je, kwa wastani mwili wake upoje, je ni mnene, mkakamavu au lege lege?

Vipi anashiriki michezo yoyote shuleni kwao au hata hapo mtaani?.

Ni mwanao wangapi kuzaliwq kwenye hiyo familia yako?.

Graph yake ya makuzi kadi ya clinic ilikuwaje au ipoje kama bado upo nayo? (Ni muhimu sana kutunza hiyo kadi)

Ukimaliza hayo yote, vipi mwanao huyo ana mpenzi? Kama hana wewe kama baba yake umemsaidiaje hilo swala?. (Usishangae ni jukumu lako mshua)

Ukiona mwanao hawezi kucheka mbele yako inabidi ujitafakari upya kiongozi, kuna kitu kikubwa hakipo sawa kati yenu.

Tafakari hayo machache Mkuu mwenzetu, kila la heri.
Majibu yote ya maswali ya mtoa mada yatapatikana hapa.
Swali la kuongezea hapa je anaishi na mama wa kambo au mama yake mzazi?tatizo kubwa la mwanao kwa makisio yangu inahusiana na mambo ya saikolojia(lack of confidence).
Watu wa aina hiyo wakipataga nafasi ya kujiamini/confidence huwa wanakujaga kufanya maajabu na kila mtu anabaki mdomo wazi.
Hata mimi zamani nilikuwa naonekana hivyo mtaani kwangu na kwa jamii yangu lakini baadae nilikuja kuwaprove wrong na naweza kusema kwamba mimi ndio kijana niliyeonesha dira kwenye mtaa wangu na hakuna mwingine wa kunifananisha naye kwa mambo niliyowaonesha.
Kwa hiyo nikuondoe wasiwasi ndugu yangu,baadae atabadilika na utashangaa.
Watu wa aina hiyo huwa ni watu wa kutafakari sana kiasi kwamba akili inahama inakuwa iko mbali so wakati wewe unamuuliza swali fulani arakujibu tu ili mradi umuondolee kiwingu ili aendelee na tafakuri zake.
Ukimuuliza swali akakosea kujibu haimaanishi kwamba hajui jibu la hilo swali ila ni kwamba tu ubongo wake unakuwa bize na hataki umtoe kwenye reli.
 
Back
Top Bottom