Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 2,095
- 3,649
- Thread starter
-
- #181
pole sana !!Nnakumbana na changamoto hii kwa binti yangu. Yaani unachoeleza ndicho ninachokumbana nacho ila ni mdogo yuko la nne ila yani maswali ya common sense madogo tu kwake changamoto hata katika maisha. Sema mzazi mwenzangu kumbe alimwachishaga ziwa akiwa na miezi mitatu sijui ndio effect hiyo
Mtaua baba zenu kwa preshaShida yako we mzee ni mkoloni sana.
yaan mitoto ya ivi😂😂😂Mtaua baba zenu kwa presha
NotedTuanze na lishe unayompatia nyumbani, je ni mlo kamilii?.
Twende kwenye malezi unayompa hapo nyumbani, je ni malezi ya kumfanya aweze kujitegemeaa?
Tuelekee kwenye lugha ya mawasiliano kati yenu, je huwa unamkaripia/kumgombeza mara kwa mara?
Je, kwa wastani mwili wake upoje, je ni mnene, mkakamavu au lege lege?
Vipi anashiriki michezo yoyote shuleni kwao au hata hapo mtaani?.
Ni mwanao wangapi kuzaliwq kwenye hiyo familia yako?.
Graph yake ya makuzi kadi ya clinic ilikuwaje au ipoje kama bado upo nayo? (Ni muhimu sana kutunza hiyo kadi)
Ukimaliza hayo yote, vipi mwanao huyo ana mpenzi? Kama hana wewe kama baba yake umemsaidiaje hilo swala?. (Usishangae ni jukumu lako mshua)
Ukiona mwanao hawezi kucheka mbele yako inabidi ujitafakari upya kiongozi, kuna kitu kikubwa hakipo sawa kati yenu.
Tafakari hayo machache Mkuu mwenzetu, kila la heri.
Atakuwa anakuogopa wakati mwingine wazazi ndio wanaharibu Watt ..kila kitu umkaripie, umchape, umpe maneno mia..unafikiri huyo mtoto atakuwaje?mapenzi no hana hizo mambo hata kubalehe vizuri bado!!
zamani alikua muongo muongo vikatembea viboko had akaacha ila hilo la shule shida ipo tangu zamani !!
Ukikagua daftari lake lazima upate hasira
Mfano; kwene daftar amepata ila swali lile lile umpe afanye hawezi! hapo ndipo fimbo zilipoanza kuhusika
Hayo ndio malezi mtoto anatakiwa apewe. Nakumbuka kabla hatujaanza shule mzee tulikuwa tunakaa naye njie jioni anatueleza mambo ya angani comets, meteors, stars. Ni vitu ambavyo siwezi kuvisahau mpaka nakufa. Ile bond aliotujengea ndio naijenga kwa watoto wangu pia.Kukaa na mwanangu kupiga naye stori kulimjenga sana. Hata sometimes kauli anazotoa kwa wenzie unajua kabisa kaiga kwangu au kufuata nachomfundisha
Akiwa Grade 3 tu nikaanza kumpa majukumu ya kujitegemea. Ana time table ya majukumu kuanzia asubuhi mpaka usiku. Aamke kufagia uwanja, asafishe choo, amsaidie dada kuosha vyombo na ahudumie bustani. Jioni tunakaa kwenye kibweta kula stori za maisha na kumsikiliza mitazamo yake na kuiweka sawa.
Pale home kuna PS. Huwa nimewaruhusu madogo jirani walio bright wanakuja pale kucheza naye. Hata likizo huwa naangalia ndugu mwenye dogo bright basi namuomba aje kwangu likizo Anajifunza vingi sana.
Leo yupo grade 4 anajitambua sana na anajiamini.
Usimkatie tamaa, bado anaweza kubadilika huyo
Mkuu kanifurahisha tu, Btw pole sana mkuu pia huo umri wake kuna room for change akiwa kwenye mid 20 anaweza badilika na akawa fresh tuunahitaji mfano gan mkuu
😂🤣Hawa ndio wanakujibu we dingi acha ukoloni uzee unakusumbua 😂yaan mitoto ya ivi😂😂😂
mkuu hii imeendaAtakuwa anakuogopa wakati mwingine wazazi ndio wanaharibu Watt ..kila kitu umkaripie, umchape, umpe maneno mia..unafikiri huyo mtoto atakuwaje?
Saikolojia ya mtt inaharibika na kitu kidogo sana ..kuwa makini pia ,kubwa rafiki yake...anza sasa, sasahvi
Nnakumbana na changamoto hii kwa binti yangu. Yaani unachoeleza ndicho ninachokumbana nacho ila ni mdogo yuko la nne ila yani maswali ya common sense madogo tu kwake changamoto hata katika maisha. Sema mzazi mwenzangu kumbe alimwachishaga ziwa akiwa na miezi mitatu sijui ndio effect hiyo
yaan iii shida😂🤣Hawa ndio wanakujibu we dingi acha ukoloni uzee unakusumbua 😂
Kijana wako ni mtu wa maana kabisa. Usipojivunia huyo nani atajivunia sasa.lakin kwene hesabu ndo ulikua unakubali kupata F !! ni ajabu. kwakweli!
kijana wangu huwezi mshinda kucheza magame ila vingine uje shuleni hata walichofundishwa leo hakumbuki
Sasa kwa ulimwengu wa sasa akili za mtaani ndio zinatakiwa ziwe nyingi kuliko za darasani otherwise utawalea watoto hadi umri wao wa kustaafu. Kama usipowapa kazi😁!!!Amesema shule ya msingi boarding au day? Na o level vipi boarding au day?
Watoto wa dada yangu wamesoma boarding kuanzia shule ya msingi, mmoja ana division 1 na mwingine ana 2,
Kwa hiyo darasani wako vizuri ila akili za mtaani ndo changamoto, kuna malezi wanakosa.
Sent from my SM-M135FU using JamiiForums mobile app
Pole sana mkuu, hii hata mimi iliwahi nikuta eti nirudi form nyoya, wakati huo nipo form 2.Kile kitu kinaniumizaga hadi leo nikifikiria
kwaiyo bro saizi ww ni nani au unafanya nn!?Sasa kwa ulimwengu wa sasa akili za mtaani ndio zinatakiwa ziwe nyingi kuliko za darasani otherwise utawalea watoto hadi umri wao wa kustaafu. Kama usipowapa kazi😁!!!
Hili jambo la kuzingatia sana kwenye malezi ya vijana kizazi cha sasaSasa kwa ulimwengu wa sasa akili za mtaani ndio zinatakiwa ziwe nyingi kuliko za darasani otherwise utawalea watoto hadi umri wao wa kustaafu. Kama usipowapa kazi😁!!!
Bila shaka mama yake naye anasema ni matatizo ya upande wa baba yakepole sana !!
Atleast we unajua chanzo mi huyu kanyonyeshwa vizuri tu sema labda n matatzo ya upande wa mama ake labda
Sasa kwa ulimwengu wa sasa akili za mtaani ndio zinatakiwa ziwe nyingi kuliko za darasani otherwise utawalea watoto hadi umri wao wa kustaafu. Kama usipowapa kazi😁!!!
Hilo Swali ngojs Nimuulize Dr LizzyMuulize mama yake kipindi anazaliwa huyo mtoto alilia baada ya muda gani?
Alizaliwa kwa njia ya kawaida ?
DR Mambo Jambo
Nakazia hapa kwa kasi ya 5G.Huyo Sio mwanao kapime DNA kitu cha kwanza mtoto kurithi ni Akili vingine ni Extra.