Mwanangu anashindwa kutumia common sense?? Hii ni shida gani?

pole sana !!
Atleast we unajua chanzo mi huyu kanyonyeshwa vizuri tu sema labda n matatzo ya upande wa mama ake labda
 
Noted
 
Atakuwa anakuogopa wakati mwingine wazazi ndio wanaharibu Watt ..kila kitu umkaripie, umchape, umpe maneno mia..unafikiri huyo mtoto atakuwaje?

Saikolojia ya mtt inaharibika na kitu kidogo sana ..kuwa makini pia ,kubwa kuwa rafiki yake...anza sasa, sasahvi
 
Hayo ndio malezi mtoto anatakiwa apewe. Nakumbuka kabla hatujaanza shule mzee tulikuwa tunakaa naye njie jioni anatueleza mambo ya angani comets, meteors, stars. Ni vitu ambavyo siwezi kuvisahau mpaka nakufa. Ile bond aliotujengea ndio naijenga kwa watoto wangu pia.
 


Ultimation of parenting is to make ur daughter to be productive to herself even in her society.

Endelea kujifunza zaidi ili uamishie huo ufahamu to ur daughter is possible
 
Sasa kwa ulimwengu wa sasa akili za mtaani ndio zinatakiwa ziwe nyingi kuliko za darasani otherwise utawalea watoto hadi umri wao wa kustaafu. Kama usipowapa kazi😁!!!
 
Sasa kwa ulimwengu wa sasa akili za mtaani ndio zinatakiwa ziwe nyingi kuliko za darasani otherwise utawalea watoto hadi umri wao wa kustaafu. Kama usipowapa kazi😁!!!
kwaiyo bro saizi ww ni nani au unafanya nn!?

maana umenitisha na yale matokeo yako!!
nipe kaushuhuda atleast nilegeze kamba kwa kijana wangu
 
Sasa kwa ulimwengu wa sasa akili za mtaani ndio zinatakiwa ziwe nyingi kuliko za darasani otherwise utawalea watoto hadi umri wao wa kustaafu. Kama usipowapa kazi😁!!!


Azingatie kumfanya mtoto kuwa na tija tu

Akiwa na tija tayari atakuwa na potential na akiwa na potential atakuwa marketable to his her career

Then ajitahidi kuulewa mtaa ili ajilinde dhidi ya uraibu , Kama ,drugs, alcohol ,sex ,gambling and so on .

Kumlea mtoto kuwa productive ni vita kati ya intangible stuffs vs tangible stuffs

Aendelee kuwa patience hata mawaziri , na matajiri tunaona
huwa wanakwama Sana , mfano nyerere watoto wake .nk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…