Mi kwa uzoefu tu huwa naona watoto genes nyingi huchukua kwa mama zao ila hasara huwa kubwa kama atachukua akili za mama yake halafu akawa kilaza. Hasa first bornes wa kiume ndio huchukua sana brain za mama zao. First borne wa kike wanachukua brain ya baba zao.pole sana !!
Atleast we unajua chanzo mi huyu kanyonyeshwa vizuri tu sema labda n matatzo ya upande wa mama ake labda
Sidhani kama kuna jambo la kuongezea umemaliza kila kitu mkuu [emoji419][emoji375]Tuanze na lishe unayompatia nyumbani, je ni mlo kamilii?.
Twende kwenye malezi unayompa hapo nyumbani, je ni malezi ya kumfanya aweze kujitegemeaa?
Tuelekee kwenye lugha ya mawasiliano kati yenu, je huwa unamkaripia/kumgombeza mara kwa mara?
Je, kwa wastani mwili wake upoje, je ni mnene, mkakamavu au lege lege?
Vipi anashiriki michezo yoyote shuleni kwao au hata hapo mtaani?.
Ni mwanao wangapi kuzaliwq kwenye hiyo familia yako?.
Graph yake ya makuzi kadi ya clinic ilikuwaje au ipoje kama bado upo nayo? (Ni muhimu sana kutunza hiyo kadi)
Ukimaliza hayo yote, vipi mwanao huyo ana mpenzi? Kama hana wewe kama baba yake umemsaidiaje hilo swala?. (Usishangae ni jukumu lako mshua)
Ukiona mwanao hawezi kucheka mbele yako inabidi ujitafakari upya kiongozi, kuna kitu kikubwa hakipo sawa kati yenu.
Tafakari hayo machache Mkuu mwenzetu, kila la heri.
mr extrovert umefNyanaje hii conclusion?? ni evidence based au ni mawazo yakoMi kwa uzoefu tu huwa naona watoto genes nyingi huchukua kwa mama zao ila hasara huwa kubwa kama atachukua akili za mama yake halafu akawa kilaza. Hasa first bornes wa kiume ndio huchukua sana brain za mama zao. First borne wa kike wanachukua brain ya baba zao.
Mimi ni mtu wa Masoko by profession niko kwenye hio field. We need a little maths in Marketing.kwaiyo bro saizi ww ni nani au unafanya nn!?
maana umenitisha na yale matokeo yako!!
nipe kaushuhuda atleast nilegeze kamba kwa kijana wangu
Hili hitimisho hapo sio sawa kabisa, kwa nini isiwe sababu ya malezi yako iwe tatizo upande wa mama yake.?pole sana !!
Atleast we unajua chanzo mi huyu kanyonyeshwa vizuri tu sema labda n matatzo ya upande wa mama ake labda
Mama yake yupoje kichwani?Nina kijana wa miaka 17.
Wa kiume ni mpole na mkimya lakini hayuko smart.Tofauti na ilivo kwa watu wengi wa kimya kwa kua na akili nyingi kwa kijana wangu ni tofauti ni mkimya ila sasa akija kuongea unaweza ukajiuliza ameongea wire ukiwa connected kwene switch au Laaah.
Shuleni ni average sana si mkia maksi zake 46,67,37,50,30 kifupi alipata division 3 .
Kinachonitatiza ni uwezo wa kufikiria na kuchanganua mambo mdogo. Maswali ya kawaida ya kutumia common sense hawezi !!
Ukimuelekeza kitu cha kawaida haelewi mara moja had urudie
Ni rahisi kuchanganya vitu na kusahau.
Kifupi anashindwa kujisimamia au kupambanua vitu vya kawaida vya uelewa wa kawaida .
Alafu sometimes anachanganya vitu havihusiani
Ukimuuliza swali anajibu jibu ambalo halina uhusiano na ulichomuuliza!
MIMI MZEE WAKE NIKO VIZURI!Sijui hata karithi kwa nani haya matatizo ,,,, shulen mm nilikua smart siyo sana lakin smart kiasi cha kumlizisha mzazi yyte yule average
Nifanyaje kumsaidia
Hio based na mazingira pia hata nikiangalia uzao wa ndugu walionizunguka unakuta hali iko hivyo zaidi.mr extrovert umefNyanaje hii conclusion?? ni evidence based au ni mawazo yako
Huwa tunakula samaki siku baba akifurahitujitahidi kuwapa mafuta ya samaki watoto wetu
Bro inaonekana umenizidi umri mkubwa tu ila nikuchane ukweli HUONEKANI KUWA NA AKILI TIMAMU hasa za kimalezi na ujinga mwingi na udikteka wa kipumbavu usiojenga badilika wewe kwanza kabla humjambadilisha mwanao, unakaa na mto tangu akiwa na miaka 9 hadi Sasa mbinu zako za malezi ziko vilevile huna Chachi ya mtoto kujivunia baba mjinga kama weweukali ni pale napomfundisha simkaripii mambo mengine! ila kwene shule akileta uzembe namtandika
In short wewe sio mzazi smart bali ni bora mzazi na una mentality za dark ages.ukali ni pale napomfundisha simkaripii mambo mengine! ila kwene shule akileta uzembe namtandika
Ukishapigwa na kitu kizito huwa huwezi kutaka mazoea 😁kwa maana ume kua defensive kwene mahusiano au umeanza kutoawaamini watu wote
Inamaana amelelewa na mama mwingine?hapendi michezo anapenda kulala lala
hawezi cheza mbele yangu
Mi nimkali hasa linapokuja suala la shule
amelelewa na mama ake nimemchukua akiwa darasa la tatu
yeah ni kweli watu ndo huwa wanawabadilisha wenzaoUkishapigwa na kitu kizito huwa huwezi kutaka mazoea 😁