Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 2,095
- 3,649
- Thread starter
-
- #221
well ! ukaribu si mdogo kiivo kwa maana mimi ndo namlea tangu 2019 had leoInamaana amelelewa na mama mwingine?
Huyo ni kumuingezea confidence na decision making skills, huyo mtoto sio zamwamwa kama unavyosema switch haiconect hujamjulia tu Kuna eneo lake ambalo yupo vizuri, lastly it seems toka anajua ukaribu wako kwake ni mdogo.
Kumsaidia mtoto ni vizuri kwanza umuelewe. Unaweza kua wewe unamuona hivyo ila yeye anajiona tofauti. Kwa kua wewe ndio mzazi na unataka kumsaidia tafuta kumjua bila judgements zozote kwanza.Nina kijana wa miaka 17.
Wa kiume ni mpole na mkimya lakini hayuko smart.Tofauti na ilivo kwa watu wengi wa kimya kwa kua na akili nyingi kwa kijana wangu ni tofauti ni mkimya ila sasa akija kuongea unaweza ukajiuliza ameongea wire ukiwa connected kwene switch au Laaah.
Shuleni ni average sana si mkia maksi zake 46,67,37,50,30 kifupi alipata division 3 .
Kinachonitatiza ni uwezo wa kufikiria na kuchanganua mambo mdogo. Maswali ya kawaida ya kutumia common sense hawezi !!
Ukimuelekeza kitu cha kawaida haelewi mara moja had urudie
Ni rahisi kuchanganya vitu na kusahau.
Kifupi anashindwa kujisimamia au kupambanua vitu vya kawaida vya uelewa wa kawaida .
Alafu sometimes anachanganya vitu havihusiani
Ukimuuliza swali anajibu jibu ambalo halina uhusiano na ulichomuuliza!
MIMI MZEE WAKE NIKO VIZURI!Sijui hata karithi kwa nani haya matatizo ,,,, shulen mm nilikua smart siyo sana lakin smart kiasi cha kumlizisha mzazi yyte yule average
Nifanyaje kumsaidia
yeah ni kweli watu ndo huwa wanawabadilisha wenzao
hapana mama ake hajawai msemea kitu kibaya
Hapa pia aseme ni shule private au hizi za serikali (Kayumba)Vipi anashiriki michezo yoyote shuleni kwao au hata hapo mtaani?.
Mzee anazingua bana😊Mtaua baba zenu kwa presha
Nina mtoto wa dada yani toka std 1 akifaulu sana ni wa pili kutoka mwisho hata form 4 ni kuungaunga hadi kamaliza, mama ake kachapa, fundisha sana yani unaweza fundisha 1+1=2 dk2 ukimuuliza tena kasahau ila sasa mpe asimamie biashara hapo hapotezi hata 100 na anajua kutengeneza faida ikabidi amsapoti na biashara tu ndipo alipo vizuriAkishindwa huwa unatoa reaction gani au maneno gani huwa unamuambia
Vipi kama kila ukimuuliza kitu anahisi kama unataka kumpima na kumuhukumu kiasi cha yeye kupata hofu ya kujibu kwa uwezo wake halisi
Na je, umeshawahi kumpima intelligence yake kwenye mambo mengine maana unaweza kumkuta darasani au kwenye public speaking sio mzuri lakini akawa mzuri kwenye creative works kama graphics design, videography au chochote kile anachokipenda
Yawezekana shida ikawa kwake lakini ikawa kwako pia kwa kutafuta kitu unachokitaka kwa mwanao kuliko kile alichonacho..
Yawezekana ukawa disgraced nae kiasi cha kumuona ni useless ila kama hana health issues, ipo siku atakushangaza hususani akipata supportive system nzuri huko nje
Wale watu watakaomuelewa na kumkubali kwa uwezo alionao kuliko alichokikosa. Na hapo ndipo utajijua umekuwa failure kiasi gani kama mzazi licha ya kuwa na akili za kufaulu darasani
Kwamba tunamfanyaje fafanua mm nataka nimsaidieKila la heri, haya mambo ni magumu na huwezi kunielewa kamwe, Huyo mtoto ni victim wa Miungu ya wazazi wake ambao ni wewe na mke wako.
😂😂😂apana mkuu,,, furaha yangu ni kuona mtoto akirudi anaelewa nn amejifunza siku hiyo!!View attachment 2987076mambo upendayo haya😂 shule 24/7
Atleast sasa huyo biashara anaijuaNina mtoto wa dada yani toka std 1 akifaulu sana ni wa pili kutoka mwisho hata form 4 ni kuungaunga hadi kamaliza, mama ake kachapa, fundisha sana yani unaweza fundisha 1+1=2 dk2 ukimuuliza tena kasahau ila sasa mpe asimamie biashara hapo hapotezi hata 100 na anajua kutengeneza faida ikabidi amsapoti na biashara tu ndipo alipo vizuri
heeeeShukuru sana, wa hivyo ndo hutoboa hapa bongo ila wale vipanga, smart, faster, akili sharp huwa wanakuwa target na wanabaniwa ngumu kutoboa ila slow ka huyo wanga hawahangaiki nae maana sio tishio kimafanikio mwishowe anatoboa kiulaini, hii ndo bongo
Inaonekana ulimlea kwa sheria kali sana na ulikuwa unamuadhibu kwa kiboko mara kwa mara. Hiyo ilimjengea hofu,uoga na kutokujiamini. Kwa pamoja vitu hivyo vilitawala akili yake kiasi cha akili kukosa fursa ya kujifunza zaidi ya kuwaza adhabu na bakora kutoka kwako. Malezi ya kufoka foka huleta matoto yenye tabia kama za mwanaoNina kijana wa miaka 17.
Wa kiume ni mpole na mkimya lakini hayuko smart.Tofauti na ilivo kwa watu wengi wa kimya kwa kua na akili nyingi kwa kijana wangu ni tofauti ni mkimya ila sasa akija kuongea unaweza ukajiuliza ameongea wire ukiwa connected kwene switch au Laaah.
Shuleni ni average sana si mkia maksi zake 46,67,37,50,30 kifupi alipata division 3 .
Kinachonitatiza ni uwezo wa kufikiria na kuchanganua mambo mdogo. Maswali ya kawaida ya kutumia common sense hawezi !!
Ukimuelekeza kitu cha kawaida haelewi mara moja had urudie
Ni rahisi kuchanganya vitu na kusahau.
Kifupi anashindwa kujisimamia au kupambanua vitu vya kawaida vya uelewa wa kawaida .
Alafu sometimes anachanganya vitu havihusiani
Ukimuuliza swali anajibu jibu ambalo halina uhusiano na ulichomuuliza!
MIMI MZEE WAKE NIKO VIZURI!Sijui hata karithi kwa nani haya matatizo ,,,, shulen mm nilikua smart siyo sana lakin smart kiasi cha kumlizisha mzazi yyte yule average
Nifanyaje kumsaidia
Ndio mkuu sikatai kwa upande mwingine lakini kiasiri mtoto ni mwoga sana !!Inaonekana ulimlea kwa sheria kali sana na ulikuwa unamuadhibu kwa kiboko mara kwa mara. Hiyo ilimjengea hofu,uoga na kutokujiamini. Kwa pamoja vitu hivyo vilitawala akili yake kiasi cha akili kukosa fursa ya kujifunza zaidi ya kuwaza adhabu na bakora kutoka kwako. Malezi ya kufoka foka huleta matoto yenye tabia kama za mwanao
Nyinyi ndo nyie wazazi mlio amini mtoto akicheza na watoto wenzake atafundishwa tabia mbaya mkaamua kumfungia ndani Aishi.Nina kijana wa miaka 17.
Wa kiume ni mpole na mkimya lakini hayuko smart.Tofauti na ilivo kwa watu wengi wa kimya kwa kua na akili nyingi kwa kijana wangu ni tofauti ni mkimya ila sasa akija kuongea unaweza ukajiuliza ameongea wire ukiwa connected kwene switch au Laaah.
Shuleni ni average sana si mkia maksi zake 46,67,37,50,30 kifupi alipata division 3 .
Kinachonitatiza ni uwezo wa kufikiria na kuchanganua mambo mdogo. Maswali ya kawaida ya kutumia common sense hawezi !!
Ukimuelekeza kitu cha kawaida haelewi mara moja had urudie
Ni rahisi kuchanganya vitu na kusahau.
Kifupi anashindwa kujisimamia au kupambanua vitu vya kawaida vya uelewa wa kawaida .
Alafu sometimes anachanganya vitu havihusiani
Ukimuuliza swali anajibu jibu ambalo halina uhusiano na ulichomuuliza!
MIMI MZEE WAKE NIKO VIZURI!Sijui hata karithi kwa nani haya matatizo ,,,, shulen mm nilikua smart siyo sana lakin smart kiasi cha kumlizisha mzazi yyte yule average
Nifanyaje kumsaidia
Uwezekano wa tatizo kuwa amelipata tangu kipindi anazaliwa upo , usikute alipata birth asphyxia kipindi anazaliwa ikapelekea aka score low apgar.Hilo Swali ngojs Nimuulize Dr Lizzy
Swali zuriMuulize huyo mwanamke mtoto kipindi anazaliwa alilia baada ya muda gani?
Je huyo mwanamke alijifungua kwa njia gani?
Hapana kabisa. Tatizo umemlea ukiwa na matokeo yako mfukoni. Ulitaka awe kama unavyotaka kwa kutumia Fimbo na vitisho. Huo unaoona ujinga au kutokuwa na uwezo wa kufikiri! Ndicho kitu ubongo wake umeona afanye ukidhani ndicho unachotaka ili bakora na ukali wako umuepuke. Kumbe ndio nakosea zaidi na kuzidi kwenda tofauti na matokeo yako uliyonayo mfukoniNdio mkuu sikatai kwa upande mwingine lakini kiasiri mtoto ni mwoga sana !!
nadhan pia kuna mahusiano ya utoto wake na kipindi cha mimba