Yes, siyo lazima aniunge mkono wakati mimi simuungi mkono na siyo lazima aniunge mkono hata kama mimi namuunga mkonoYeye mwenyewe hakuungi mkono na bado hujaongea![emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes, siyo lazima aniunge mkono wakati mimi simuungi mkono na siyo lazima aniunge mkono hata kama mimi namuunga mkonoYeye mwenyewe hakuungi mkono na bado hujaongea![emoji3]
Mama hajatulia na hana msimamo ktk siasa zake. Alivyoingia na 4R zake lakini mwisho wa siku uliona kilichotokea, kaja tena na gia ya wanawake dhidi ya wanaume, naona nayo ilimwangusha. Mwanzoni teuzi zake zilionyesha waziwazi chuki yake dhidi ya mtangulizi wake, sasa anarudi kulekule na taratiibuuu inaonyesha wazi team Msoga imenuna!! Mbaya zaidi ni siasa zilizochomoza kipindi cha saga la DPW na bandari zetu. Udini na Uzanzibar ni vitu vilivyo onekana wazi na akavinyamazia akidhani kwake ni mtaji.km ni kweli ndio mwanzo wa kuanza kumdharau huyu rais Samia, sintamfuatilia tena, atakuwa ameiuza nchi yetu kwa wahuni. Nilishasemaga Makonda ana akili ndogo sana, km kweli tunaongozwa na akili km za mtu km Makonda bora tuhame nchi, maana imekuwa nchi ya mazezeta. Hivi Samia amejikwaa wapi? Tayari ameshauza chama, juzi anaenda kumsalimia Mabeyo, kwani ndio mkuu wa majeshi mstaafu pekee? Je kina Mboma, Waitara na Mwamunyange siyo wakuu wa majeshi wastaafu? Ni mambo ya sukuma gang, ni ukabila wa wazi. Kwani Makonda kuwa mwenezi ana tofauti gani na wenzake waliokuwa na hiyo nafasi? Bwana mdogo amekuwa zaidi ya Katibu mkuu wa chama na mama anafurahia, mzanzibari kweli mdebwedo. Asubiri atakapotaka uenyekiti wa chama kwamba cheo cha urais kitenganishwe na uenyekiti wa chama ndio atajua yuko na joka
Kwa vilaza kama wewe ataponzwa kweli ila kwa wenye akili Makonda ni kijana safi na mchapakaziMama hajatulia na hana msimamo ktk siasa zake. Alivyoingia na 4R zake lakini mwisho wa siku uliona kilichotokea, kaja tena na gia ya wanawake dhidi ya wanaume, naona nayo ilimwangusha. Mwanzoni teuzi zake zilionyesha waziwazi chuki yake dhidi ya mtangulizi wake, sasa anarudi kulekule na taratiibuuu inaonyesha wazi team Msoga imenuna!! Mbaya zaidi ni siasa zilizochomoza kipindi cha saga la DPW na bandari zetu. Udini na Uzanzibar ni vitu vilivyo onekana wazi na akavinyamazia akidhani kwake ni mtaji.
Anajaribu kurudisha imani kanda ya ziwa kwa kutumia sukuma gang, lakini kuwatumia watu kama akina Makonda walio na tuhuma ambazo hazijapatiwa majibu kunawexa kumponza badala ya kumusaidia. Anadanganyika kwa adaa na usanii wa Makonda wa kusomba watu kwa malori kujaza mikutano.
Asante kwa kujaNitahakikisha hilo. Nami nipo hapa Dar es Salaam kuhudhuria vikao vya chama changu CCM kama mmoja wa mwalikwa. Uridhike na ulichopewa chamani.
Ulipoteuliwa tu kuwa Mwenezi wa CCM, hima ukaanza tamaa ya Ukatibu Mkuu. Ukaratibu bila utaratibu wala kutubu mipango ya kuifanya nafasi ya Katibu Mkuu iwe wazi.
Kisa nakijua. Ni Chongolo kukukwepa katika ziara zako mikoani. Ulitamani, ukasema na kuomba kuwa unataka ijirudie mikutano kama ile ya Kinana na Nape. Ukajiapiza kuharibu bila kutibu.
Umekuwa ukiwaambia wana-Sekretarieti kuwa muda si mrefu utawaongoza kwa ujumla wao (yaani utakuwa Katibu Mkuu). Hautaweza. Niko hapa Dar kuzuia hilo kwakuwa nilishajua na kuipata barua ya Chongolo ya kujiuzulu.
Katibu Mkuu atapendekezwa na Mama Samia na atapitishwa na chama, ila huwezi kuwa. Mama Samia, Mwenyekiti wetu wa CCM Taifa, hawezi kuichora picha ya kuogofya kirahisi kwa kukupendekeza. Ukae kwa kutulia.
Gekul, Chongolo mambo ni moto CCM!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Hivi wewe kwa akili yako unaamini Makonda watu wanamchukia kiazi hicho? Kanda ya ziwa Makonda makao makuu ya Sakuma gang Makonda ndo anakubalika!Mama hajatulia na hana msimamo ktk siasa zake. Alivyoingia na 4R zake lakini mwisho wa siku uliona kilichotokea, kaja tena na gia ya wanawake dhidi ya wanaume, naona nayo ilimwangusha. Mwanzoni teuzi zake zilionyesha waziwazi chuki yake dhidi ya mtangulizi wake, sasa anarudi kulekule na taratiibuuu inaonyesha wazi team Msoga imenuna!! Mbaya zaidi ni siasa zilizochomoza kipindi cha saga la DPW na bandari zetu. Udini na Uzanzibar ni vitu vilivyo onekana wazi na akavinyamazia akidhani kwake ni mtaji.
Anajaribu kurudisha imani kanda ya ziwa kwa kutumia sukuma gang, lakini kuwatumia watu kama akina Makonda walio na tuhuma ambazo hazijapatiwa majibu kunawexa kumponza badala ya kumusaidia. Anadanganyika kwa adaa na usanii wa Makonda wa kusomba watu kwa malori kujaza mikutano.
Ulikuwa ukimuunga mkono Kutokea CDM?Hata mimi simuungi mkono tena toka alipomleta Bashite
Hujui kuwa vyama vyote vya upinzani ni CCM B kasoro kimoja tu. Au umeamua kujizima data kama Bashite
Mimi siyo Chadema lakini baada ya CCM kuweka yule muovu niliichukia sana CCM lakini baada ya Mama kuja nilianza kumuunga mkono kabla hajamrudisha muovu mwingine bashite. Ila kwa sasa siwezi kumuunga tena mkono wala mguu maana naona kama zama za Jiwe ni kama zinataka kurudi tenaUlikuwa ukimuunga mkono Kutokea CDM?
Aliwahi kuchapa kazi kwako? Nyie ndiyo mnamponza.Kwa vilaza kama wewe ataponzwa kweli ila kwa wenye akili Makonda ni kijana safi na mchapakazi
Hivi kuna mtu mwenye akili timamu anaweza mkubali mtu kama Bashite tofauti na watu wenye akili kama zako?Hivi wewe kwa akili yako unaamini Makonda watu wanamchukia kiazi hicho? Kanda ya ziwa Makonda makao makuu ya Sakuma gang Makonda ndo anakubalika!
So mkuu CCM ndiyo ina sera za kuungwa mkono huku wakiiba kura?Hakuna cha kimoja vyote havina sera yoyote ya kuwafanya wananchi wavutiwe navyo!
Huyo Bashite kichwani mwake ajua kuwa atakuja kuw rais baadae, hivyo kila nafasi aipatayo lazima aitake ya juu. Hata akipewa ukatibu atatataka umakamu mwenyekiti. Ndio hulka yake hiyo.. Mfano alipewa uDc akafaiti, akapata URc. Hakuridhika akataka ubunge ili aende kuwa waziri mkuu. Na nafasi azitakazo atatumia kakikundi chake cha mafia kukikoroga ili aliekikalia aonekane hafai.Unajua sielewi kwanini jina la Makonda linatajwa KM. Zinatoka wapi hizi habari?
Kwamba haridhiki na uenezi au ni watu tu wanazusha kuleta taharuki za kijinga
Sasa kampindua, anakaa kujipanga na kuangalia nani wa kumwondosha taratibu mpaka mwakani mwezi 4 tutakuwa na story tofauti sana hapa jamvini.MAKONDA a.k.a last born kama ameweza kumpindua Chongolo, mzee wa "kaunda suti" basi lolote litegemewe ndani ya chama: Kumbe ndiyo sababu alianza ziara na misafara mikubwa kuliko hata ya Naibu Waziri mkuu.
Zile bendera toka lini zikakataa mapendekezo ya mwenyekiti waoKura huwa lazima zipigwe, Mwenyekiti yeye hupendekeza kwa wajumbe wa NEC jina.
Mkuu kongole wewe ni "Mswahili" una ubobevu kwenye lugha.Angesema ....mmoja wa waalikwa.... ningejua ni yeye, lakini kusema......mmoja wa mwalikwa..... hicho ni kiswahili cha siku hizi cha vijana wa mitaani ambapo utasikia mara nyingi wakisema.....moja ya kitu ninachokipenda...... badala ya kusema .....moja ya vitu ninavyovipenda......