Mwanangu Makonda, hakika, hautapata unachokitaka

Mwanangu Makonda, hakika, hautapata unachokitaka

km ni kweli ndio mwanzo wa kuanza kumdharau huyu rais Samia, sintamfuatilia tena, atakuwa ameiuza nchi yetu kwa wahuni. Nilishasemaga Makonda ana akili ndogo sana, km kweli tunaongozwa na akili km za mtu km Makonda bora tuhame nchi, maana imekuwa nchi ya mazezeta. Hivi Samia amejikwaa wapi? Tayari ameshauza chama, juzi anaenda kumsalimia Mabeyo, kwani ndio mkuu wa majeshi mstaafu pekee? Je kina Mboma, Waitara na Mwamunyange siyo wakuu wa majeshi wastaafu? Ni mambo ya sukuma gang, ni ukabila wa wazi. Kwani Makonda kuwa mwenezi ana tofauti gani na wenzake waliokuwa na hiyo nafasi? Bwana mdogo amekuwa zaidi ya Katibu mkuu wa chama na mama anafurahia, mzanzibari kweli mdebwedo. Asubiri atakapotaka uenyekiti wa chama kwamba cheo cha urais kitenganishwe na uenyekiti wa chama ndio atajua yuko na joka
Hata mimi simuungi mkono tena toka alipomleta Bashite
 
Hatupaswi kuhalalisha uhalifu na uovu hata akifanya rais au askofu.

Kutoka ndani ya moyo nawapenda sana wasukuma but these days mnanivunja moyo sana kutetea waovu
Hatutetei waovu,ila tunaangalia haki na watu wachapakazi .
 
Kuna jambo huwa linanichanganya kila siku: watu wengi wa vyama vya upinzani na hata baadhi wasio na vyama wanaichukia sana CCM! Wengine wanasema hata mikutano yao hawaiangalii hata kwenye Luninga! Cha ajabu kukiwa na tukio lolote huko CCM kama hili la Daniel Chongolo utakuta wapinzani ndio wanaongoza kwa ufuatiliaji. Hii maana yake nini? Wanafalsafa wanasema hivi: Ukiona anayekuchukia anakufuatilia sana mambo yako ujue ni kwa sababu wewe ni bora kuliko yeye! Na haswa sasa nimegundua kuwa CCM ni bora sana na maarufu sana kuliko vyama vyote vya upinzani ukiviunganisha pamoja!
Hujui kuwa vyama vyote vya upinzani ni CCM B kasoro kimoja tu. Au umeamua kujizima data kama Bashite
 
Hatupaswi kuhalalisha uhalifu na uovu hata akifanya rais au askofu.

Kutoka ndani ya moyo nawapenda sana wasukuma but these days mnanivunja moyo sana kutetea waovu
Unafiki tu baade unawaita wajinga na wasiojitambua!
Wasukuma hatuhitaji kupendwa wala kubebwa!
Waache wasukuma wamuunge mkono Makonda!
Makonda ni kijana wetu kila mtu apambane na hali yake!
 
Makonda kibinafsi napenda sana
Uwezo wa uwajibikaji wako,
Uwezo wa kutetea na kutoa hoja,
Uweza wa kuisemea Serikali yetu,
Uwezo kukisemea chama chetu,
Uwezo wa kumsemea Rais wetu,
Uwezo wa kuwasemea viongozi
Chapa kazi!! Tunaimani na wewe
CCM iendeleee kuwa imara
Mkuu hivi kwanini alizuiliwa kwenda Marekani? Alifanya nini?
 
Unafiki tu baade unawaita wajinga na wasiojitambua!
Wasukuma hatuhitaji kupendwa wala kubebwa!
Waache wasukuma wamuunge mkono Makonda!
Makonda ni kijana wetu kila mtu apambane na hali yake!
Bahati mbaya sana ccm inawatumia kama dekio, wakomaliza kudeki mnafichwa stoo.

Magufuli alitumiwa kunusuru ccm 2015, baada ya hapo unajua kilichotokea.

Subiria hatima ya Makonda utafurahi😂😂😂
ccm ni jina mahaba linakutaka likiwa na nnyegge tu
 
Nitahakikisha hilo. Nami nipo hapa Dar es Salaam kuhudhuria vikao vya chama changu CCM kama mmoja wa mwalikwa. Uridhike na ulichopewa chamani.

Ulipoteuliwa tu kuwa Mwenezi wa CCM, hima ukaanza tamaa ya Ukatibu Mkuu. Ukaratibu bila utaratibu wala kutubu mipango ya kuifanya nafasi ya Katibu Mkuu iwe wazi.

Kisa nakijua. Ni Chongolo kukukwepa katika ziara zako mikoani. Ulitamani, ukasema na kuomba kuwa unataka ijirudie mikutano kama ile ya Kinana na Nape. Ukajiapiza kuharibu bila kutibu.

Umekuwa ukiwaambia wana-Sekretarieti kuwa muda si mrefu utawaongoza kwa ujumla wao (yaani utakuwa Katibu Mkuu). Hautaweza. Niko hapa Dar kuzuia hilo kwakuwa nilishajua na kuipata barua ya Chongolo ya kujiuzulu.

Katibu Mkuu atapendekezwa na Mama Samia na atapitishwa na chama, ila huwezi kuwa. Mama Samia, Mwenyekiti wetu wa CCM Taifa, hawezi kuichora picha ya kuogofya kirahisi kwa kukupendekeza. Ukae kwa kutulia.

Gekul, Chongolo mambo ni moto CCM!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
VUTA-NKUVUTE wewe ni mchawi, kigagula, mpotoshaji. Dkt Samia ndiye mwenye maamuzi!
 
CCm wanasera nzuri lakini wamejaa tamaa na ufisadi ndio maana hawakumpenda Magufuli.

Wengi walimchukia kwasababu ya kubana mianya ya rushwa wizi na utovu wa nizamu ndio maana wengi katika chama chao hawakuwa na amani kwasababu mfumo wa upigaji ulisambaa mpaka kwa balozi wanyumbaki.

Msemakweli ni mpezi wa Mungu.

Wewe pia ni mmoja kati ya wanao mchukia Magu kwa sababu zisizoeleweka, wote nawaweka kwenye kundi la wachumiatumbo.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Kuna mtu alikuwa fisadi na muovu kama Jiwe? Au mkuu wewe hukuwa Nchini? Acha kutukumbusha machungu aisee
 
Makonda akiwa katibu mkuu twafaaa

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Atawafaa sana. Labda kama upo nje ya ccm.

Maana ye hana kinyongo na mwanaccm msafi labda uwe mwizi, mzembe, mla rushwa.

Otherwise wana ccm wanamuelewa sana tu na alipokuwa RC alijenga ofisi nyingi sana za CCM, hata Chongolo alipata kukiri hili.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
Unafiki tu baade unawaita wajinga na wasiojitambua!
Wasukuma hatuhitaji kupendwa wala kubebwa!
Waache wasukuma wamuunge mkono Makonda!
Makonda ni kijana wetu kila mtu apambane na hali yake!
Kama kweli unamaanisha basi utakuwa mtu wa style yake. Ila siyo Wasukuma wote wako kama Bashite
 
Nitahakikisha hilo. Nami nipo hapa Dar es Salaam kuhudhuria vikao vya chama changu CCM kama mmoja wa mwalikwa. Uridhike na ulichopewa chamani.

Ulipoteuliwa tu kuwa Mwenezi wa CCM, hima ukaanza tamaa ya Ukatibu Mkuu. Ukaratibu bila utaratibu wala kutubu mipango ya kuifanya nafasi ya Katibu Mkuu iwe wazi.

Kisa nakijua. Ni Chongolo kukukwepa katika ziara zako mikoani. Ulitamani, ukasema na kuomba kuwa unataka ijirudie mikutano kama ile ya Kinana na Nape. Ukajiapiza kuharibu bila kutibu.

Umekuwa ukiwaambia wana-Sekretarieti kuwa muda si mrefu utawaongoza kwa ujumla wao (yaani utakuwa Katibu Mkuu). Hautaweza. Niko hapa Dar kuzuia hilo kwakuwa nilishajua na kuipata barua ya Chongolo ya kujiuzulu.

Katibu Mkuu atapendekezwa na Mama Samia na atapitishwa na chama, ila huwezi kuwa. Mama Samia, Mwenyekiti wetu wa CCM Taifa, hawezi kuichora picha ya kuogofya kirahisi kwa kukupendekeza. Ukae kwa kutulia.

Gekul, Chongolo mambo ni moto CCM!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Kuwa ccm ni matatizo sana
 
Back
Top Bottom