Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Unataka apate?Subiri na tuone
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka apate?Subiri na tuone
Kuna mbigiri zinamuona Makonda ni mkombozi, nchi hii ina watu wa hovyo kuliko shetaniMungu hawezi panga kuleta shetani. Hiyo ni mipango ya wanadamu waovu
Kwani na wewe ni kati ya watu wanaofaa kutiliwa manani? Maana sioni tofauti yako na BashiteMimi naona Makonda anafaa tu. Tatizo makundi haya ndani ya chama. Inaonekana kama Magufuli ameanza kukumbukwa. Lile kundi lingine la "watu wema hawafi" sijui kama litakubali... "Ugomvi wetu furaha yao"
Huyu ndio VUTA-NKUVUTE ninayemjuwa Mimi, ni kweli njama za maharamia wa Ccm zimefeli.Nitahakikisha hilo. Nami nipo hapa Dar es Salaam kuhudhuria vikao vya chama changu CCM kama mmoja wa mwalikwa. Uridhike na ulichopewa chamani.
Ulipoteuliwa tu kuwa Mwenezi wa CCM, hima ukaanza tamaa ya Ukatibu Mkuu. Ukaratibu bila utaratibu wala kutubu mipango ya kuifanya nafasi ya Katibu Mkuu iwe wazi.
Kisa nakijua. Ni Chongolo kukukwepa katika ziara zako mikoani. Ulitamani, ukasema na kuomba kuwa unataka ijirudie mikutano kama ile ya Kinana na Nape. Ukajiapiza kuharibu bila kutibu.
Umekuwa ukiwaambia wana-Sekretarieti kuwa muda si mrefu utawaongoza kwa ujumla wao (yaani utakuwa Katibu Mkuu). Hautaweza. Niko hapa Dar kuzuia hilo kwakuwa nilishajua na kuipata barua ya Chongolo ya kujiuzulu.
Katibu Mkuu atapendekezwa na Mama Samia na atapitishwa na chama, ila huwezi kuwa. Mama Samia, Mwenyekiti wetu wa CCM Taifa, hawezi kuichora picha ya kuogofya kirahisi kwa kukupendekeza. Ukae kwa kutulia.
Gekul, Chongolo mambo ni moto CCM!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Mkuu imekuaje huko?Huyu ndio VUTA-NKUVUTE ninayemjuwa Mimi, ni kweli njama za maharamia wa Ccm zimefeli.
Hata anachoongea Mwenyekiti wao yeye mwenyewe hakielewi.Mkuu imekuaje huko?
Wewe Nchimbi,kwani wewe Mungu?Huwezi zuia ridhiki ya mtu bwana.Na ulivyo mchawi basi utatafuta hata sumu umuwekee ili afe .Kama ulivyofanya kwa Ipi.Nitahakikisha hilo. Nami nipo hapa Dar es Salaam kuhudhuria vikao vya chama changu CCM kama mmoja wa mwalikwa. Uridhike na ulichopewa chamani.
Ulipoteuliwa tu kuwa Mwenezi wa CCM, hima ukaanza tamaa ya Ukatibu Mkuu. Ukaratibu bila utaratibu wala kutubu mipango ya kuifanya nafasi ya Katibu Mkuu iwe wazi.
Kisa nakijua. Ni Chongolo kukukwepa katika ziara zako mikoani. Ulitamani, ukasema na kuomba kuwa unataka ijirudie mikutano kama ile ya Kinana na Nape. Ukajiapiza kuharibu bila kutibu.
Umekuwa ukiwaambia wana-Sekretarieti kuwa muda si mrefu utawaongoza kwa ujumla wao (yaani utakuwa Katibu Mkuu). Hautaweza. Niko hapa Dar kuzuia hilo kwakuwa nilishajua na kuipata barua ya Chongolo ya kujiuzulu.
Katibu Mkuu atapendekezwa na Mama Samia na atapitishwa na chama, ila huwezi kuwa. Mama Samia, Mwenyekiti wetu wa CCM Taifa, hawezi kuichora picha ya kuogofya kirahisi kwa kukupendekeza. Ukae kwa kutulia.
Gekul, Chongolo mambo ni moto CCM!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Umoja wa vitu ni kituAngesema ....mmoja wa waalikwa.... ningejua ni yeye, lakini kusema......mmoja wa mwalikwa..... hicho ni kiswahili cha siku hizi cha vijana wa mitaani ambapo utasikia mara nyingi wakisema.....moja ya kitu ninachokipenda...... badala ya kusema .....moja ya vitu ninavyovipenda......
CCm wanasera nzuri lakini wamejaa tamaa na ufisadi ndio maana hawakumpenda Magufuli.Ndio hapo sasa. Kwa Sasa ccm imefika mahali atakacho mwenyekiti kwakuwa ana kofia ya urais lazima kitimie. Kura ni kutimiza taratibu lakini hazina madhara yoyote. Magufuli alipanda mbegu ya ushindi wa 100% bila hata kura Moja kukataa au kuharibika.
Mbona ndg zangu Wasukuma mmekuwa wa ajabu mnoo?Wewe Nchimbi,kwani wewe Mungu?Huwezi zuia ridhiki ya mtu bwana.Na ulivyo mchawi basi utatafuta hata sumu umuwekee ili afe .Kama ulivyofanya kwa Ipi.
Kuwa makini mkuu, huyo jamaa anaweza kukufanya mbayaMbowe kwenye ID
Walifanya kitu gani kiovu kwa pamoja?Huwezi kuzuia mafuriko kwa mikono. Hayo mnayonitungia sitakata tamaa. Nilishasema siwezi kumkana Magufuli hata nikiwekea bastola
Hata km mmmhWako wengi sema wanazidia nguvu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukiwaona CCM kwenye hicho kikao unaweza kudhani ni chama safi kabisa na wana uhalali kutawala
Ila huwezi kuamini ndio majizi ya kura hayo hayo kwenye kila uchaguzi.
Umemuumbua mkuu, Bashite kaajiri watu wa kumpigia debe na kumtetea mtandaoniHawa ndio wale "wachafuzi JF" waliojiunga na JF baada ya Makonda kupewa kazi ya uenezi asiyoiweza na wamejisajili kwa dozens of multiple ID watuzuge na uchawa wao.
View attachment 2828483
Nafikiri ni vile chama chao hawataki kurudia kosa la kuweka mtu muovu nafasi ya juuHivi kwa nini mnamuogopa sana Makonda kiasi hiki? Hivi Makonda ana nini cha kuwatisha kiasi hiki?
No one is perfect wewe,yaliyopita yamepita. Unajua Mbowe alimfanya nini Chacha Wangwe?Mbona ndg zangu Wasukuma mmekuwa wa ajabu mnoo?
Ukabila umewapofusha macho hadi uovu wa DAB hamuuoni tena?
Mbona kuna watu wema sana usukumani kwanini huyu tu?
Hatupaswi kuhalalisha uhalifu na uovu hata akifanya rais au askofu.No one is perfect wewe,yaliyopita yamepita. Unajua Mbowe alimfanya nini Chacha Wangwe?