Mwanangu Makonda, hakika, hautapata unachokitaka

 
Kazi imeanza!!
Mama anataka mtu strong mwenye uwezo na asiyekuwa na uoga wa kuwadhibiti wahuni aliowaainisha Polepole kuwa wapo Chamani wanaojifanya wao ndio Alfa and Omega ndani ya Chama !!

Ngoja Tusubiri tuone !! 🙏🙏
 


Unafanya matumizi sahihi ya ubongo wako… umewaza nje kabisa, safi.
 
Hajatulia. Apoze matako yake kwanza ndo aungwe.
Nasikitikia teuzi. Zuhura Yunus please mshauri dada vyema. Naita dada maana mimi ni dada yake ila kicheo simkuti.
 
Kwa vilaza kama wewe ataponzwa kweli ila kwa wenye akili Makonda ni kijana safi na mchapakazi
Shida yako wewe ni uchawa unakusumbua na unashidwa kufikiri kwa kutumia akili. Kazi hipi Makonda anaifanya na alishaifanya? Kinachokuvutia wewe ni ubabe wake, majibu ya hovyo, siasa za kukomoana na usanii sanii anaoufanya.
 


Yaani unajipinda kuandika kiasi hiki ili tu umuambukize Rais uoga wako?


Kwamba wewe unajua sana kuliko Rais wa nchi?!



Kuhusu Mobeyo, tuliza ubongo halafu itafute hotuba yake wakati wa maziko ya Rais aliyepita.


Acha ukabila.
 
Shida yako wewe ni uchawa unakusumbua na unashidwa kufikiri kwa kutumia akili. Kazi hipi Makonda anaifanya na alishaifanya? Kinachokuvutia wewe ni ubabe wake, majibu ya hovyo, siasa za kukomoana na usanii sanii anaoufanya.
Kuna wakati watu wa namna hiyo wanahitajika sana ili kuwadhibiti wahuni !!
 
Hajatulia. Apoze matako yake kwanza ndo aungwe.
Nasikitikia teuzi. Zuhura Yunus please mshauri dada vyema. Naita dada maana mimi ni dada yake ila kicheo simkuti.
Ni kweli, mama asipotulia hawa power mongers na machawa wao watamwangusha. Shida yao si kumusaidia bali ni vyeo na ulaji, wengi ni wanafiki.
 
Ndio hapo sasa. Kwa Sasa ccm imefika mahali atakacho mwenyekiti kwakuwa ana kofia ya urais lazima kitimie. Kura ni kutimiza taratibu lakini hazina madhara yoyote. Magufuli alipanda mbegu ya ushindi wa 100% bila hata kura Moja kukataa au kuharibika.


Waasisi wa kupita bila ‘kupingwa’ tumewasahau mara hii mpaka kumbebesha lawama marehemu?


Ile team ya campaign CCM 2014-2015 itadumu katika history ya nchi hii kwa karne nyingi sana. Pengine ikaibuka tena 2024-2025?
 
Ni kweli, mama asipotulia hawa power mongers na machawa wao watamwangusha. Shida yao si kumusaidia bali ni vyeo na ulaji, wengi ni wanafiki.
Nchi ni yetu wote lakini CCM inainadi kama yao wakati tunautafuta uhuru na ujamaa walikuwa hawajazaliwa au wapo kimya. Sasa tunakaa tunaangalia nchi wanaikorofisha na tunakaa kimya, kisha kufirisiwa mali, kunyanganywa vuwanja na zaidi kuambiwa wewe siyo raia kisa umetoka pembezoni.
 
Hivi hali ya kupanda gharama za maisha huko kwenye vikao vyenu huwa hamjadili kabisa?

Naona LATRA wameamua kuwatengea penalty wapinzani.


Mtu ananunuliwa hadi socks na malapa atayajuaje ya gharama za maisha kupanda?

Mtu ambae hajui Bei ya lita moja ya gas zaidi ya kusoma taarifa za EWURA kwenye makaratasi hawezi kuelewa kupanda kwa gharama za maisha.
 
Waasisi wa kupita bila ‘kupingwa’ tumewasahau mara hii mpaka kumbebesha lawama marehemu?


Ile team ya campaign CCM 2014-2015 itadumu katika history ya nchi hii kwa karne nyingi sana. Pengine ikaibuka tena 2024-2025?
Hakuna mwenye ubavu huo. Waliotangulia mbele ya haki walikuwa na ubavu hasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…