Mwanangu Makonda, hakika, hautapata unachokitaka

Una lolote la kusema kwa Nchimbi tunayemjua? Tuliyewahi kumjadiri kwa tabia yake tangu Umoja wa Vijana na hatimaye waziri wa mambo ya Ndani, na wote waliouwawa akiwa waziri?
 
Huna lolote wewe. Si Makonda wala CCM yenyewe ambayo imefikiria kumuweka Makonda kwenye Ukatibu Mkuu. CCM imedhamiria kumuweka mtu mwenye nasaba ya utu uzima. Akina Makonda wanalelewa kwa ajili ya CCM ya kesho.
 
Una lolote la kusema kwa Nchimbi tunayemjua? Tuliyewahi kumjadiri kwa tabia yake tangu Umoja wa Vijana na hatimaye waziri wa mambo ya Ndani, na wote waliouwawa akiwa waziri?
Wewe umeshasema na umeanzisha takataka yako thread, unataka kumlisha mtu Maneno kwa ajenda zako binafsi?

Huwa nawaambia watu hapa kila siku Ccm ni laana kwa Taifa letu.
 

Na hakuna kitu cha namna hiyo cha kutenganisha chama na serikali kitatokea. Wewe kwa hilo endelea na kilio cha samaki! Kuhusu rais kusalimia majenerali mimi nafikiri atawasalimia tu atakapokuwa amefika maeneo yao wanakoishi! Hata Msuguri aliyezaliwa 1920 na ana zaidi ya miaka 103 hadi sasa ataenda kumsalimia tu. Msuguri ndiye mkuu wa majeshi mstaafu mwenye umri mkubwa kuliko wote uliowataja, kwa hiyo poa tu. Nyerere alizaliwa 1922 lakini Msuguri 1920.
 
Makonda kupewa ukatibu mkuu.... Either kupendekezwa...

... Itakuwa ni dharau kuu kupita yoyote Ile iliyowahi kutendeka ndani ya CCM tangu kuundwa kwake!

Hata huyo atakaempendekeza MAKONDA... ...naye Atakuwa (hamnazo!) Hana akili vilevile!...

Ccm inapita katika kikaango.....katika kipindi hiki cha mpito... Kuelekea 2024/25

Kosa likifanyika muda HUU... Kurekebisha ni vigumu sana!...

Nawaona wabunge wengi wa CCM kutokurudi bungeni...
Either Kwà kutopitishwa majina yao... ama kukatwa wazi wazi!...(juu kwa juu)

Yule mwenezi ana roho mbaya sana ya kisasi ... Hata kama mlikwazana Jf tu!
 
Makonda kibinafsi napenda sana
Uwezo wa uwajibikaji wako,
Uwezo wa kutetea na kutoa hoja,
Uweza wa kuisemea Serikali yetu,
Uwezo kukisemea chama chetu,
Uwezo wa kumsemea Rais wetu,
Uwezo wa kuwasemea viongozi
Chapa kazi!! Tunaimani na wewe
CCM iendeleee kuwa imara
 
Kama kweli alikuwa anaongea hayo maneno basi huyo Jamaa atakuwa ana tamaa sana aisee.

Pili ingependeza sana Said Mtanda RC wa Mara awe Katibu Mkuu ila naona haitaweza kutokana na mambo yenu ya udini maana itaonekana safu nzima ni Waislamu.
Huyu aliyekuwa Dc Nkasi kajitwalia open space na kujenga jengo kiaina na kuwalazimisha crdb wapange kwake? Kweli ccm hakuna msafi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani u KM,huko ccm unaombwa na muhusika ama mwenyekiiti ndio anaamua.

Wewe ukiwepo utazuia asiteuliwe kwani mnapigakura?.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Ndio hapo sasa. Kwa Sasa ccm imefika mahali atakacho mwenyekiti kwakuwa ana kofia ya urais lazima kitimie. Kura ni kutimiza taratibu lakini hazina madhara yoyote. Magufuli alipanda mbegu ya ushindi wa 100% bila hata kura Moja kukataa au kuharibika.
 
Nimekumis mzee wangu... Ila nashukuru kumbe nawe upo hapo kutujuza, nakuaminia Sana... Mpigeni stop dogo sifa haja acha bado,!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…