Mwanangu Makonda, hakika, hautapata unachokitaka

Mwanangu Makonda, hakika, hautapata unachokitaka

Nitahakikisha hilo. Nami nipo hapa Dar es Salaam kuhudhuria vikao vya chama changu CCM kama mmoja wa mwalikwa. Uridhike na ulichopewa chamani.

Ulipoteuliwa tu kuwa Mwenezi wa CCM, hima ukaanza tamaa ya Ukatibu Mkuu. Ukaratibu bila utaratibu wala kutubu mipango ya kuifanya nafasi ya Katibu Mkuu iwe wazi.

Kisa nakijua. Ni Chongolo kukukwepa katika ziara zako mikoani. Ulitamani, ukasema na kuomba kuwa unataka ijirudie mikutano kama ile ya Kinana na Nape. Ukajiapiza kuharibu bila kutibu.

Umekuwa ukiwaambia wana-Sekretarieti kuwa muda si mrefu utawaongoza kwa ujumla wao (yaani utakuwa Katibu Mkuu). Hautaweza. Niko hapa Dar kuzuia hilo kwakuwa nilishajua na kuipata barua ya Chongolo ya kujiuzulu.

Katibu Mkuu atapendekezwa na Mama Samia na atapitishwa na chama, ila huwezi kuwa. Mama Samia, Mwenyekiti wetu wa CCM Taifa, hawezi kuichora picha ya kuogofya kirahisi kwa kukupendekeza. Ukae kwa kutulia.

Gekul, Chongolo mambo ni moto CCM!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Hivi kwa nini mnamuogopa sana Makonda kiasi hiki? Hivi Makonda ana nini cha kuwatisha kiasi hiki?
 
Jamaa akipewa hiko cheo basi ntaamini kwa namna moja bibi kaamua kugawana chaga maana huu muungano huwezi uendea direct watakuzima ..ila unatumia indirect way ili bara wachukue chaga zao na visiwani like wise.. ni mchakato ila utafanyika bila watu kujua mpk kishindo kikisikika.
 
Vuta-nkuvute, Kama ulichokisema ni kweli, basi Makonda ni kiumbe wa kuogopwa. Yaani muda mfupi tangu ateuliwe kwenye uenezi tayari amefanya mapinduzi.? Akipewa ukatibu si atataka umwenyekiti? Tusubiri muda si mrefu tushuhudia adithi ya kisa cha boss na ngamia wake.
km ni kweli ndio mwanzo wa kuanza kumdharau huyu rais Samia, sintamfuatilia tena, atakuwa ameiuza nchi yetu kwa wahuni. Nilishasemaga Makonda ana akili ndogo sana, km kweli tunaongozwa na akili km za mtu km Makonda bora tuhame nchi, maana imekuwa nchi ya mazezeta. Hivi Samia amejikwaa wapi? Tayari ameshauza chama, juzi anaenda kumsalimia Mabeyo, kwani ndio mkuu wa majeshi mstaafu pekee? Je kina Mboma, Waitara na Mwamunyange siyo wakuu wa majeshi wastaafu? Ni mambo ya sukuma gang, ni ukabila wa wazi. Kwani Makonda kuwa mwenezi ana tofauti gani na wenzake waliokuwa na hiyo nafasi? Bwana mdogo amekuwa zaidi ya Katibu mkuu wa chama na mama anafurahia, mzanzibari kweli mdebwedo. Asubiri atakapotaka uenyekiti wa chama kwamba cheo cha urais kitenganishwe na uenyekiti wa chama ndio atajua yuko na joka
 
Nitahakikisha hilo. Nami nipo hapa Dar es Salaam kuhudhuria vikao vya chama changu CCM kama mmoja wa mwalikwa. Uridhike na ulichopewa chamani.

Ulipoteuliwa tu kuwa Mwenezi wa CCM, hima ukaanza tamaa ya Ukatibu Mkuu. Ukaratibu bila utaratibu wala kutubu mipango ya kuifanya nafasi ya Katibu Mkuu iwe wazi.

Kisa nakijua. Ni Chongolo kukukwepa katika ziara zako mikoani. Ulitamani, ukasema na kuomba kuwa unataka ijirudie mikutano kama ile ya Kinana na Nape. Ukajiapiza kuharibu bila kutibu.

Umekuwa ukiwaambia wana-Sekretarieti kuwa muda si mrefu utawaongoza kwa ujumla wao (yaani utakuwa Katibu Mkuu). Hautaweza. Niko hapa Dar kuzuia hilo kwakuwa nilishajua na kuipata barua ya Chongolo ya kujiuzulu.

Katibu Mkuu atapendekezwa na Mama Samia na atapitishwa na chama, ila huwezi kuwa. Mama Samia, Mwenyekiti wetu wa CCM Taifa, hawezi kuichora picha ya kuogofya kirahisi kwa kukupendekeza. Ukae kwa kutulia.

Gekul, Chongolo mambo ni moto CCM!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Huu Mnyukano Dah 😅😅
Mzee tupatupa ulipotelea wapi wanao tulipitia mengi sana kwenye chama....

Mpaka kina Gekul nadhani umesikia
 
Nchi kama imeweza kuongozwa na watu incompetent, waliojazana ndani ya chama kwa miaka nenda! Naamini hata apewe mtu kilaza namna gani, bado ataweza tu kuongoza vizuri.
Sawa ndio nauliza kutoka kwa hawa hawa watoa taarifa au kuna upinzani unaojipanga.?

Ni kweli watu wameichoka ccm ila nani sasa?

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
Nitahakikisha hilo. Nami nipo hapa Dar es Salaam kuhudhuria vikao vya chama changu CCM kama mmoja wa mwalikwa. Uridhike na ulichopewa chamani.

Ulipoteuliwa tu kuwa Mwenezi wa CCM, hima ukaanza tamaa ya Ukatibu Mkuu. Ukaratibu bila utaratibu wala kutubu mipango ya kuifanya nafasi ya Katibu Mkuu iwe wazi.

Kisa nakijua. Ni Chongolo kukukwepa katika ziara zako mikoani. Ulitamani, ukasema na kuomba kuwa unataka ijirudie mikutano kama ile ya Kinana na Nape. Ukajiapiza kuharibu bila kutibu.

Umekuwa ukiwaambia wana-Sekretarieti kuwa muda si mrefu utawaongoza kwa ujumla wao (yaani utakuwa Katibu Mkuu). Hautaweza. Niko hapa Dar kuzuia hilo kwakuwa nilishajua na kuipata barua ya Chongolo ya kujiuzulu.

Katibu Mkuu atapendekezwa na Mama Samia na atapitishwa na chama, ila huwezi kuwa. Mama Samia, Mwenyekiti wetu wa CCM Taifa, hawezi kuichora picha ya kuogofya kirahisi kwa kukupendekeza. Ukae kwa kutulia.

Gekul, Chongolo mambo ni moto CCM!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Kuna jambo huwa linanichanganya kila siku: watu wengi wa vyama vya upinzani na hata baadhi wasio na vyama wanaichukia sana CCM! Wengine wanasema hata mikutano yao hawaiangalii hata kwenye Luninga! Cha ajabu kukiwa na tukio lolote huko CCM kama hili la Daniel Chongolo utakuta wapinzani ndio wanaongoza kwa ufuatiliaji. Hii maana yake nini? Wanafalsafa wanasema hivi: Ukiona anayekuchukia anakufuatilia sana mambo yako ujue ni kwa sababu wewe ni bora kuliko yeye! Na haswa sasa nimegundua kuwa CCM ni bora sana na maarufu sana kuliko vyama vyote vya upinzani ukiviunganisha pamoja!
 
Nitahakikisha hilo. Nami nipo hapa Dar es Salaam kuhudhuria vikao vya chama changu CCM kama mmoja wa mwalikwa. Uridhike na ulichopewa chamani.

Ulipoteuliwa tu kuwa Mwenezi wa CCM, hima ukaanza tamaa ya Ukatibu Mkuu. Ukaratibu bila utaratibu wala kutubu mipango ya kuifanya nafasi ya Katibu Mkuu iwe wazi.

Kisa nakijua. Ni Chongolo kukukwepa katika ziara zako mikoani. Ulitamani, ukasema na kuomba kuwa unataka ijirudie mikutano kama ile ya Kinana na Nape. Ukajiapiza kuharibu bila kutibu.

Umekuwa ukiwaambia wana-Sekretarieti kuwa muda si mrefu utawaongoza kwa ujumla wao (yaani utakuwa Katibu Mkuu). Hautaweza. Niko hapa Dar kuzuia hilo kwakuwa nilishajua na kuipata barua ya Chongolo ya kujiuzulu.

Katibu Mkuu atapendekezwa na Mama Samia na atapitishwa na chama, ila huwezi kuwa. Mama Samia, Mwenyekiti wetu wa CCM Taifa, hawezi kuichora picha ya kuogofya kirahisi kwa kukupendekeza. Ukae kwa kutulia.

Gekul, Chongolo mambo ni moto CCM!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Mbo mbo ngafu!!!
 
Back
Top Bottom