Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haijaeleweka! Taarifa imekologwa.Kama sijaelewa, Bwana Dickson ndiye aliyegombana na mpenzi wake Rebeca kwa sababu ya mali, ikapelekea Rebeca kuchomwa moto, naye Dickson tena akaungua na moto kiaje au kivipi?
Very sad.Kwenye hizi posts, wanaume huwaoni. Ingekua mwanamke ndo amemchoma moto mwanaume wangesimamisha mishipa hapa.
Saizi dunia inaharibiwa na hao hao wanaume. Baba mzazi anabaka mtoto wake alafu yanakaa kuteteana. What a gender
Mapenzi
Bora wewe umesemaKwenye hizi posts, wanaume huwaoni. Ingekua mwanamke ndo amemchoma moto mwanaume wangesimamisha mishipa hapa.
Kama sijaelewa, Bwana Dickson ndiye aliyegombana na mpenzi wake Rebeca kwa sababu ya mali, ikapelekea Rebeca kuchomwa moto, naye Dickson tena akaungua na moto kiaje au kivipi?
Kama sijaelewa, Bwana Dickson ndiye aliyegombana na mpenzi wake Rebeca kwa sababu ya mali, ikapelekea Rebeca kuchomwa moto, naye Dickson tena akaungua na moto kiaje au kivipi?
If she didn't deserve such a cruel death,then rest in peace.
Siku zote kwenye Ndoa/mahusiano kunakuwa na amani endapo Mume ndio Mwenyela tu. Ikiwa Wote wanazo ni shida, ikiwa Mke anazo nyingi ni shida zaidi.Apumzike kwa amani Rebecca,mali siku zote ndiyo chanzo cha vifo kadhaa katika mahusiano.Mwisho wa siku unakufa na mali zenyewe wanagombania wajinga.
Yanaua.Mapenzi