TANZIA Mwanariadha Rebecca Cheptegei aliyechomwa moto na mpenzi wake kutoka Kenya afariki dunia

TANZIA Mwanariadha Rebecca Cheptegei aliyechomwa moto na mpenzi wake kutoka Kenya afariki dunia

Kama sijaelewa, Bwana Dickson ndiye aliyegombana na mpenzi wake Rebeca kwa sababu ya mali, ikapelekea Rebeca kuchomwa moto, naye Dickson tena akaungua na moto kiaje au kivipi?
umeisahau petrol tabia yake? alimwaga petrol..
 
Kuna watu wana roho ngumu na mbaya sana hasa Wabantu
 
Huyo mbuzi lazima alikuwa anafosi apewe maokoto ambayo Rebecca karudi nayo kutoka olimpiki.
 
Back
Top Bottom